Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hili la brain kutofanya kazi, ikiacha kufanya kazi athari nje ya mwili kunakuwa na nini?
kwa mtindo huu, mimi natamani nikifa nisizikwe waniweke tu sehemu hadi nitakapoharibika basi ndio wanizike.maana nafikiri umestuka upo kaburini au frijini hv inakuwaje haya ni mateso sana.
kwa mtindo huu, mimi natamani nikifa nisizikwe waniweke tu sehemu hadi nitakapoharibika basi ndio wanizike.maana nafikiri umestuka upo kaburini au frijini hv inakuwaje haya ni mateso sana.
hii kuna siku nilijiuliza sana, baadae nikadhani kuwa labda nimepatwa na uchungu mkubwa ndo maana nikafikia kujiuliza hivyo, nikaishia kumwomba msamaha Mungu na maisha yakaendelea. hiyo siku nilimpoteza mtoto wa mdogo wangu, alikuwa 6 months, sikuwepo wakati wa tukio, ila nilipofika home nilimgombeza sana dada yetu mmoja ambaye alikuwa hospitali na mdogo wangu wakati mtoto anafariki, nikamwuliza alikubalije wamchukue mtoto na kumpeleka mochwari? alithibitisha vipi kama kweli yule mtoto alikuwa amekufa?maana daktari mmoja alikuwa akieleza swala zima la kufa nikaogopa kidogo maana alisema asilimia 60 ya watu wanaowapima watu na kukamilisha kuwa wamekufa huwa wanakosea kwani mtu anaweza zimia hata kwa siku 3 na bado akawa hajafa akaenda kufia kaburini kwa kukosa hewa na joto na vitu vingine.
ukiwa huwezi kusema tena, hakuna wa kukutetea, watakuweka tu kwa friji. nadhani huku kuogopa mtu aliyekufa kunasababisha kuwapoteza wapendwa wetu kabla hawajafa. maana utakuta mtu kahangaika kidogo, mwisho kimya, dr. anasema ameshakufa, ndani ya nusu saa tayari yupo kwenye frijikwa mtindo huu, mimi natamani nikifa nisizikwe waniweke tu sehemu hadi nitakapoharibika basi ndio wanizike.maana nafikiri umestuka upo kaburini au frijini hv inakuwaje haya ni mateso sana.
nadhani wengi wetu tungetamani hili, lakini nani atakubali kukaa na mtu ambaye anadhani amekufa ndani ya nyumba? hata "sweetheart" hapo hakutaki tenahii inakuwa kama habari ya bibi wa kichina ambaye alikuwa amekufa lakini mwili wake bado ni wamoto na aharibiki hii hali amekuwa nayo kwa zaidi ya miaka 20+
labda na wewe unaweza fanya hivyo ili tujue kama utakuwa umekufa au la..
hii inakuwa kama habari ya bibi wa kichina ambaye alikuwa amekufa lakini mwili wake bado ni wamoto na aharibiki hii hali amekuwa nayo kwa zaidi ya miaka 20+
labda na wewe unaweza fanya hivyo ili tujue kama utakuwa umekufa au la..
Naomba kuelimishwa juu ya hiki kitu kufa.
Tukisema mtu kafa kinachokufa ni nini? Je, kutopumua ni kufa? Brain kutofanya kazi ni kufa? Mapigo ya moyo yakiacha kufanya kazi ndio kufa au roho kutoka ndio kufa?
Napata shida mno nisaidieni maana naanza kuhisi watu wanaweza kuwa wanazikwa wazima.
Sure...watu wengi wanazikwa wakiwa wazima kwa sababu kufa sio kazi rahisi kama wataalam wetu wanavyofikiri au vyombo vyao vinavyothibitisha...MAANA HALISI YA KUFA NI KUUACHA MWILI,SO SWALI NI JINSI GANI MTU ANAUACHA MWILI NI MPAKA UJUE MTU NI NINI NA MWILI NI NINI maana hivi ni vitu viwili vyenye uhusiano lakini havifanani OTHERWISE TUTAKESHA NDUGU KUDISCUSS HII MADA...Kuna watu tunasema wamewahi kufikia karibu na kifo(near the death experience) yaani vifaa vya kitaalam vilishafeli kufanya kazi na kuthibitisha mtu amekufa then baadae anaamka au kuanza kupumua...na katika hali kama hii watu wengine wakathubutu kutudanganya eti walikufa na kufufuka na kuanza kutoa ushuhuda wa uongo na tukawaheshimu na hata kuwapa utukufu...kufa ni process ndefu thats why watu wengi hufia chumba cha maiti a.k.a montually kama si kaburini kama unavyohisi!!