Ile ishu ya "mke wa mtu" imepunguza heshima.
Thanks anyway.
Labda mie ndiye mwenye matatizo,
I don't care if I know someone or not!!
Muda wenyewe wa kukaa kuhangaika na watu nauokoteza wapi???
Hata hivyo watu wanaong'ang'aniza urafiki wa kufahamiana kama vile wanaomba uraia wa US au UK ni wa kupotezea!!
hahahahhaaaaa!!!!!! Acha kubeba garbage!
afu lizzy
unanifuatilia? Mbona hii imetokea jana tu kwangu
kama hamtaniani
bora msitaniane kabisa
akijaribu kukutania, anachoona yeye utani wewe unaona t.u.s.i au haichekeshi hata kidigo
bora kuuishi ukweli tu
Most people are only alive because it is illegal to shoot them...unaweza fungua dirisha la nyumba yako ili hewa safi iingie
ghafla unakuta nzi na wadudu wa kila aina wameingia...
just be carefull.....
Ile ishu ya "mke wa mtu" imepunguza heshima.
Thanks anyway.
Wewe ni mke wa mtu?
Nope. . .
Mie sifahamiani na yeyote lakini natamani kweli kuwafahamu watu humu~~~~~~~~ hususan The Boss, japo kasema anahofu akifungua dirisha la kufahamiana nzi na wadudu wa kila aina wataingia lakini namtoa wasiwasi mie ni mdudu kipepeo, nikiingia nitaipendezesha nyumba~~~~~LOL,
Nipokuwa Dar mwishoni mwa mwaka jana kula X-Max, niliwajulisha wana JF, lakini wote walinichunia, jamani wana JF wa Dar ni wabaya kweli~~~~~~~~~~~LOL
Kwa nini hujaolewa?
Hajajitokeza anaetaka kunioa.
Inategemea. . .Akijitokeza utakubali?
Most people are only alive because it is illegal to shoot them...
Inategemea. . .
Na nini?
Atakua na yapi ya kutoa kwangu (offer).
Unataka nini kwani?
Yeye atasema aliyonayo alafu mimi naangalia kama ni worth it.
Unapenda nini wewe?