Kufahamiana [JF Identities] - Faida na Hasara [?]

Interview ya NN/Lizzy ............ Endeleeni tafadhali..Huenda ikatoa somo kwa wasomaji
 
Uaminifu na heshima.

hivyo kwa bishanga ni mtihani mkubwa kuliko hata kumwambia apande mlima kilimanjaro bila jacket! Bishanga ni helikopta , popote anatua!
 
naandika ambacho nadhani ni sawa kuandika .
kwa hiyo kama topic imekaa shang'alabagala usitegemee
majibu ya maana.. na kama topic ina mambo yanayoeleweka
basi ntajibu kama topic ilivyo..

Kufahamiana na mtu haiingiliani kabisa "hatakama ni ndugu"
 
Huwa wanaanza hivyo hivyo.

Anyways, sasa hapa mnataka kufahamiana au kutongozana? Au kujuana au kupeana deal wapi kitimoto poa au jamii sacosi au shamba la jf au nini hasa.
 
habari za asubuhi mabibi na mabwana.
Vipi mshafahamiana?
 
Huwa wanaanza hivyo hivyo.

Anyways, sasa hapa mnataka kufahamiana au kutongozana? Au kujuana au kupeana deal wapi kitimoto poa au jamii sacosi au shamba la jf au nini hasa.

mi nafikiri kukutana wana mmu ni kutongozana na mambo yote ya kimahusiano, misiba, harusi etc. Kule business forum ndio wanakutana kibusiness zaidi.
 
sijaelewa....!

halaf napita tu vrouuuuuuuuuuuuuuuuuuuum!:yawn:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…