The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Chauro nakujua sana wewe nilikusaidia sana kupata application chuo hata kunialika kwenye graduation yako ukaona nitafaidi sanaaWakati mwingine ni kutazama mambo kukaa kimya na kujisogeza mbali na watu wa sampuli za namna hii .Watu wengi tuna utu wa machoni lakini mioyoni ni mishetani tuliopitiliza.
Ubaya tabia ni kama upele huwa haijifichi.