Kufahamiana [JF Identities] - Faida na Hasara [?]

Kufahamiana [JF Identities] - Faida na Hasara [?]

Wakati mwingine ni kutazama mambo kukaa kimya na kujisogeza mbali na watu wa sampuli za namna hii .Watu wengi tuna utu wa machoni lakini mioyoni ni mishetani tuliopitiliza.
Ubaya tabia ni kama upele huwa haijifichi.
Chauro nakujua sana wewe nilikusaidia sana kupata application chuo hata kunialika kwenye graduation yako ukaona nitafaidi sanaa
 
Wakati mwingine ni kutazama mambo kukaa kimya na kujisogeza mbali na watu wa sampuli za namna hii .Watu wengi tuna utu wa machoni lakini mioyoni ni mishetani tuliopitiliza.
Ubaya tabia ni kama upele huwa haijifichi.

Chauro na wengi ndio sampuli hizo sasa
Unamfahamu muda mfupi ila atakayoeleza utafikiri umefahamiana nae miaka kumi iliyopita
Yaani anakujua zaidi ya ujijuavyo
Na ukikosana nae sasa shuhudia kitakachomtoka
 
Be careful not all JF members have genuine ideas to join JF. kuna wale CIA wa mafisadi pia wapo wengi sana. kuna member mmoja nilifahamiana nae kumbe ni usalama wa taifa siku zilivyozidi kwenda nikawa napata vitisho kibao na watu nisio wajua ila baadae nilikuja kurealise huyu jamaa walikuwa anasambaza usenge wake nikatemana nao na mpaka leo sitaki kufahamiana na mtu humu ndani...tutapingana kwa hoja lakini kaa hukohuko tusijuane
 
Inasikitisha sana wengi tumeumbwa na wivu na chuki zisizokuwa na maana hatupendi kusikia mazuri ya wenzetu
na pale linapotokea jema basi mtu lazima atafute chokochoko kuchafua yale mema .........
inakuwa faraja kwake.

Chauro na wengi ndio sampuli hizo sasa
Unamfahamu muda mfupi ila atakayoeleza utafikiri umefahamiana nae miaka kumi iliyopita
Yaani anakujua zaidi ya ujijuavyo
Na ukikosana nae sasa shuhudia kitakachomtoka
 
Hahaaaaaaaa njoo uchukue vijisenti vyako na shule nilishamaliza ilooooooooo😛hoto:

Chauro nakujua sana wewe nilikusaidia sana kupata application chuo hata kunialika kwenye graduation yako ukaona nitafaidi sanaa
 
Inasikitisha sana wengi tumeumbwa na wivu na chuki zisizokuwa na maana hatupendi kusikia mazuri ya wenzetu
na pale linapotokea jema basi mtu lazima atafute chokochoko kuchafua yale mema .........
inakuwa faraja kwake.

Ni ujinga na ulimbukeni kumuwazia mwenzako mabaya na kujiona wewe ni bora au ufanyayo ni bora kuliko yeye
Na hata kama yakiwepo kwa nini ya nje myalete ndani ambako hayahusiki
Kwa nini mnashindwa kumalizia huko huko nje na mkiingia humu mnakuwa kama hamjuani kabisa

Hao unaowatangazia wanafaidika nini na hayo wakati hayawahusu
 
I discourage "blowing of the cover" by disclosing true identity. This should remain as the forum where people open up freely without prejudice of who you are in this community.there are a lot of other forums where people make friends. Let this remain a forum where free minds of those who dare to talk openly meet.
 
Ok.... hapa nadhani ni busara kusoma mazingira tu kwanza..!
 
Kukutana na Kufahamiana fahamiana sio kuzuri wala nini hasa kukutana bila sababu za msingi.
 
tatizo la watu wehu sio tu kukutana nao na kufahamiana nao

humu kuna watu wameshaanzisha thread juu ya mtu ambae hawajawahi kukutana nae
na hawamjui..
...

wengine obssession zao kwa mtu zinawatuma tu kuandika chochote wanachokihisi....

humu kuna watu wana akili zao
wapo wenye heshima zao
wapo wenye 'matatizo ya akili pia'....

Kwa wale ambao mmefahamiana na mkaendelea kudumisha urafiki - that is well and good ....

Tatizo ninaloliona hapa ni wale ambao wamekuwa na urafiki but all of sudden kukatokea mtafaruku, kuna nafasi kubwa ya vendetta!

Nikisoma baadhi ya "posts" za "new members" - ambao wanaongezeka exponentially [of which is good?] naona kama there is a growing tension of misunderstanding between some members and this is "killing the spirit of JF"!

Possibly it is a high time MODS waka-move in ku-clear the sky!

Mmejuaje?
JF members kuweni makini .Watu wamelizwa humu.Umdhaniaye ndiye kumbe siye.
 
Hadi ufahamiane na mtu kiuhalisia inabidi umwamini mtu huyo
Bila kuwa na uaminifu kati ya hao wanaofahamiana
Wanaweza dhuriana bada hasa wakitofautiana

Ni kuwa makini tu na type ya mtu unayepanga kukutana naye.
kama mimi na wewe tulivyofahamiana baada ya kujenga uamnifu,au sio kongosho?
 
So far kwangu mimi niliofahamiana nao hapa JF nimepata faida nyingi sana hao tunaofahamiana nao wanazijua hizo faida na bado tunaendelea kubishana na kupingana humu humu JF kila siku na hata tukiwa nje ya JF tunabishana na kuwa na healthy arguments na maisha yanaendelea bila kuwapo hard feelings..
mshafahamiana na Eliza wa tegeta? Na SL?
 
Kwani we hujui kama kumjua Lizzy wa JF ni ujiko?

Lizzy yule...mi namjua yule. Namjua tokea praimare. Kuna mjomba'angu alikuwa anaishi karibu na nyumbani kwao pale karibu na kwa Mromboo. Yule Lizzy hawezi kunambia kitu mimi yule.

Nimecheka mpaka basi! Kumbe kama anaishi karibu na mjomba'ako.....hawezi kukuambia kitu?
BTW, Kwani "ukimfahamu mtu' just bcoz ulisoma naye, ukajua anaishi wapi, ukamuona barabarani, japo hujawahi hata kuthubutu kumsemesha inakupa advantage gani?hehehheheh....kweli uswahili ni kazi kwelikweli!
 
Ukishahusisha sura yako, jina lako halisi na identinty
Mpaka ulobaki ni mdogo sana
Kama ni mtu smart
Anakupata kirahisi sana

Hata hivyo kudhuriwa nako kunategemea wewe ni nani
Sidhani kama mtu ana-interest ya kudhuru kapuku
For what?
kama vile ambavyo mi na wewe hatudhuriani,au vipi?
 
tufahamiane kwa misimamo tuu , huyu yuko mlengo na huyo yuko mlengo gani. Zaidi ya hapo haina maana, tutaanza kupeana mlungura kusafisha watu na kuwaponda wengine au mnaonaje ndg jf?
 
Nimecheka mpaka basi! Kumbe kama anaishi karibu na mjomba'ako.....hawezi kukuambia kitu?


Hayo ya kutoniambia kitu ni madoido ya misemo tu.

BTW, Kwani "ukimfahamu mtu' just bcoz ulisoma naye, ukajua anaishi wapi, ukamuona barabarani, japo hujawahi hata kuthubutu kumsemesha inakupa advantage gani?hehehheheh....kweli uswahili ni kazi kwelikweli!

Hakuna advantage yoyote.
 
Bishanga unavyopenda nyumba ndogo ndo tufahamiane live uje home uanze kumtamani bint yangu au mke wangu si itakuwa balaa hapa jf?
 
Kuamini au kutokumuamini mtu it depends na wewe mwenyewe maana unaweza ukawa unafahamiana na mtu miaka 10 iliyopita lakini ukawa haumuamini....so kwa hapa JF it's the matter of how you interact with people in here especially kwenye kuchambua mada mbalimbali automatically mnanjikutaka you begin to be friends..
i concur with you TF,na proof ya hili ni jinsi watu wanavyotaniana humu ndani hata kama hawajuani,na si wote wanataniana,mfano spirin anamtania Klloro na malaria sugu,Kaizer anamtania Ashadii,SL ,AD, Husn wanamtania
TF n.k you see kutaniana means they are comfortable with each other hata kama hawafahamiani kwa sura.Na kuna watu humu ma long timer katu hawataniani mfano Lizzy na Dena....you see? Kwa hiyo hata kama hatufahamiani lakini suala la vibe liko pale pale.
Just an observation,msinitoe macho mwanawane!
 
Back
Top Bottom