Kufahamiana ni jambo jema sana

Tukijuana inaondoa ladha kabisa, bora hivihivi gizani ndio tamu.
 
Khaaa! Watakuwa wametumwa na mtu mkubwa sana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kila siku zinabuniwa njia za kutaka kutufhamu, yaani watasanda sana, mwambieni aliyewatumA hamtupati ng'ooooo
 
haha wanakijiji wa jf si wa kuaminika sana be very careful
 
Na kujamiiana ni jambo jema zaidi
 
wanaotaka kujuana mchango ni tshs 10,000 mimi napokea
 
Niko kibiti pale maaskari walipopigwa hadi kufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…