Kufahamiana ni jambo jema sana

Kufahamiana ni jambo jema sana

Ingependeza zaidi kama ingetokea siku moja wana JamiiForums wa mkoa mmoja wangeweza kukutana ili wafahamiane na kuunda kitu kama jumuia hivi kwa ajili ya kupeana kampani pind litokeapo tatizo kama misiba ugonjwa na mengineyo. Umoja ni nguvu.

Huo ni mtazamo wangu wa ndugu.
Tunakutanaga kwenye forex usijali
 
Fahamianeni ni kitu kizuri, binafsi sipotayari.
 
HUO UMOJA MLIOUNDA HUKO MITAANI HAUTOSH? BS TAFUTEN HT UMOJA WA VIBAMIA.. JF SYO KAZ YAKE
 
Kujuana ndio kulisababisha Nyani Ngabu akapigwa life ban....[emoji13] [emoji13]
 
Hivi hamchokagi habari za jumuiya na kujuana, mna vikundi vifuatavyo:
.Jumuiya za kanisa
.Kikundi cha kusaidiana cha watu wa kabila lenu mlioko hapo mkoani kwenu.
.Saccos ya Office
.Kikundi cha mliosoma wote Primary,o'level,A'level,University
.Kwenye VICOBA sijui
.Bado mnataka na cha JF tena.
 
Ingependeza zaidi kama ingetokea siku moja wana JamiiForums wa mkoa mmoja wangeweza kukutana ili wafahamiane na kuunda kitu kama jumuia hivi kwa ajili ya kupeana kampani pind litokeapo tatizo kama misiba ugonjwa na mengineyo. Umoja ni nguvu.

Huo ni mtazamo wangu wa ndugu.

upo sahihi mkuu na hii nzuri sana pindi tunapopata matatizo
 
Hivi hamchokagi habari za jumuiya na kujuana, mna vikundi vifuatavyo:
.Jumuiya za kanisa
.Kikundi cha kusaidiana cha watu wa kabila lenu mlioko hapo mkoani kwenu.
.Saccos ya Office
.Kikundi cha mliosoma wote Primary,o'level,A'level,University
.Kwenye VICOBA sijui
.Bado mnataka na cha JF tena.

mkuu kujuana hakuna mwisho especially kwa ssi binadamu matatizo na furaha ziko kwetu ss sote hvyo unachokisema unakosea sana jaribu kutafakari msemo wake, ila kama ww tayari uano watu wanaokujua basi acha wengine watengenze ukaribu na wengine coz ukifa leo hujui nani atakae kuzika.
 
mkuu kujuana hakuna mwisho especially kwa ssi binadamu matatizo na furaha ziko kwetu ss sote hvyo unachokisema unakosea sana jaribu kutafakari msemo wake, ila kama ww tayari uano watu wanaokujua basi acha wengine watengenze ukaribu na wengine coz ukifa leo hujui nani atakae kuzika.
Malengo ya jf hayakua hayo,nadhani wenye kuhitaji hizo mambo kuna sites special kwa ajili hio.

Salamu za Dhati ziende kwa watu wasiojulikana popote pale walipo.
 
Back
Top Bottom