Kufahamu engine ya gari kwa Muonekano

Kufahamu engine ya gari kwa Muonekano

Hilux inakuja na 1GD ftv hii ngoma achana nayo kabisa vijana wanasema acha iende

Zile LX v8 single turbo zinakaa hapo

Engine hio ipo kwa latest hiace , Prado, Fortuner pia Zina option ya engine hio

Segment ya Pick up amarok anawagaragaza sana ndugu zake.



Hiyo video wametumia Amarok ya 3.0TDI ila nakuambia hata kama ingekuwa ni Amarok ya 2.0TDI au 2.0Bi-TDI bado Hilux asingefua dafu.



Amarok hizo gari zinatembea sana.
 
Imekuwa fashions tu kuweka badge za AMG
C -class AMG ni 6200cc top speed ni 340km/hr

So simply hizi AMG za mlimani city uongo[emoji28][emoji28]
Wanaweka Logo za AMG halafu wanashindwa hata kuondoa logo ya C180 Kompressor au C200.

Wakati AMG ni C32 au C63...

Hii C32 ni diesel kwenye W203 halafu ni 3.0L tu....
 
Hilux inakuja na 1GD ftv hii ngoma achana nayo kabisa vijana wanasema acha iende

Zile LX v8 single turbo zinakaa hapo

Engine hio ipo kwa latest hiace , Prado, Fortuner pia Zina option ya engine hio
Hizi gari ni manual transmissions Acha kabisa kufanya nayo ubishi
 
Segment ya Pick up amarok anawagaragaza sana ndugu zake.



Hiyo video wametumia Amarok ya 3.0TDI ila nakuambia hata kama ingekuwa ni Amarok ya 2.0TDI au 2.0Bi-TDI bado Hilux asingefua dafu.



Amarok hizo gari zinatembea sana.

Four cylinders haiwezi moto wa Six cylinders..
Amarok ameweka engine nzuri.. 3.0TDi ni powerful kuliko Landcruiser V8 1VD ya single turbo..!
Toyota alitakiwa atengeneze 6 cylinders ya diesel kwa gari kama Prado n Hilux..!
 
J150 kuanzia 2015 zina 1GD..!
Hakuna

1gd ili replace ile 3L diesel na sio engine zingne


Ziliendelea hadi 2020 ndipo wakaamua kuwa Prado zote zitakuja na auto transmission tu na engine moja 2.8L 1GD

Hivo gari iliopitwa sio ya 2020, Wala 2019 Wala 2018 wala haiko na 1GD hio prado
 
Back
Top Bottom