Kufahamu engine ya gari kwa Muonekano

Kufahamu engine ya gari kwa Muonekano

Hakuna

1gd ili replace ile 3L diesel na sio engine zingne


Ziliendelea hadi 2020 ndipo wakaamua kuwa Prado zote zitakuja na auto transmission tu na engine moja 2.8L 1GD

Hivo gari iliopitwa sio ya 2020, Wala 2019 Wala 2018 wala haiko na 1GD hio prado
Aisee kijana wa A Town bado kuna vitu vya msingi kwenye hizi gari hujavielewa..

1. Engine ya 3L kwenye Prado ilishaachwa kwenye 2nd generation.. Prado 90 aka Mchaga..!

2. 1GD imereplace 1KD..

3. Hiyo miaka uliyoitaja kilichofanyika ni technical update ya same engine..
1GD ya 2016 sio sawa na 1GD ya 2020..kuna maboresho..!

_20230203_132644.JPG

_20230203_132712.JPG

Hii ni KDJ150.. 1KD Engine

_20230203_132604.JPG

_20230203_132735.JPG

Hii ni GD150.. 1GD engine

Halafu STM unategemea iwe gari ya 2017..!!!?
Serikali tunanunua gari mpya.. Sio mitumba kama Wananchi..!
 
Four cylinders haiwezi moto wa Six cylinders..
Amarok ameweka engine nzuri.. 3.0TDi ni powerful kuliko Landcruiser V8 1VD ya single turbo..!
Toyota alitakiwa atengeneze 6 cylinders ya diesel kwa gari kama Prado n Hilux..!
Kinacho matter ni horse power ya hio gari na sio number of cylinder ukicheki hapo ni gari mbili karibu zilingane weight moja ina kama 202hp ingne ina 258hp what do you expect? Gari zikishakuwa na turbo zote Ni swala la muundaji aamue aboost power kwa kiasi gani , Toyota kaishia hp hizo Kwanza kwenye engine hio kama mnakumbuka 1gd ilipoanza ilikuwa na 177hp miaka inavozidi kwenda Hadi Sasa wamefikia 204hp bila shaka kwenye engine hi0 hio ,, na Toyota hawakuunda hio engine ili ishindane na amarok ameunda kwa matumizi yake akitaka pata the best of all kwanzia emmision standard, power, fuel consumption pia,



Kumbuka engine Ni four cylinder tu na zinaeza handle hizo hp vizuri bila shaka , pia Hana 6 cly ya disel nzuri Kama kina Audi,vw, na wenzake Wana engine za 6 nzuri japo zingne wanatumia za BMW , Kama zile discovery na range Rover TDV6 Zina 190hp zinaweza panda au kushuka kulingana na inapoenda fungwa


Amarok pia naona ana 2L FSI Ina option ya horse power tatu tofauti kulingana na inapoenda fungwa


Kwenye scania 94 series hp inaanzia 220 -310 Sasa huwezi sema kuwa 94 5 cylinder haiwezi fua dafu kwa zhongtong ama yutong f12 wakati umechukua 94 220 chukua ile 310 utaona balaa lake


Tofauti ya cylinder mbili Ni ndogo Sana ..huko ma mbele tumeshuhudia W16 buggati ikipelekwa na gari yenye 8cly tu Tena Ni legal hata wewe unaeza ipata ukatumia huko bongo ,


Number of cylinder isikuogepeshe angalia hp zake ndo utajua inacharuka kiasi gani ,, Kuna video Dodge Challenger imeikimbimbia helcopter ikaipoteza ilikuwa chase ..waliokuwa kwenye helcopter hawakusema cc za gari Wala number of cylinder Bali walisema gari Ina hp 707
 
Kinacho matter ni horse power ya hio gari na sio number of cylinder ukicheki hapo ni gari mbili karibu zilingane weight moja ina kama 202hp ingne ina 258hp what do you expect? Gari zikishakuwa na turbo zote Ni swala la muundaji aamue aboost power kwa kiasi gani , Toyota kaishia hp hizo Kwanza kwenye engine hio kama mnakumbuka 1gd ilipoanza ilikuwa na 177hp miaka inavozidi kwenda Hadi Sasa wamefikia 204hp bila shaka kwenye engine hi0 hio ,, na Toyota hawakuunda hio engine ili ishindane na amarok ameunda kwa matumizi yake akitaka pata the best of all kwanzia emmision standard, power, fuel consumption pia,



Kumbuka engine Ni four cylinder tu na zinaeza handle hizo hp vizuri bila shaka , pia Hana 6 cly ya disel nzuri Kama kina Audi,vw, na wenzake Wana engine za 6 nzuri japo zingne wanatumia za BMW , Kama zile discovery na range Rover TDV6 Zina 190hp zinaweza panda au kushuka kulingana na inapoenda fungwa


Amarok pia naona ana 2L FSI Ina option ya horse power tatu tofauti kulingana na inapoenda fungwa


Kwenye scania 94 series hp inaanzia 220 -310 Sasa huwezi sema kuwa 94 5 cylinder haiwezi fua dafu kwa zhongtong ama yutong f12 wakati umechukua 94 220 chukua ile 310 utaona balaa lake


Tofauti ya cylinder mbili Ni ndogo Sana ..huko ma mbele tumeshuhudia W16 buggati ikipelekwa na gari yenye 8cly tu Tena Ni legal hata wewe unaeza ipata ukatumia huko bongo ,


Number of cylinder isikuogepeshe angalia hp zake ndo utajua inacharuka kiasi gani ,, Kuna video Dodge Challenger imeikimbimbia helcopter ikaipoteza ilikuwa chase ..waliokuwa kwenye helcopter hawakusema cc za gari Wala number of cylinder Bali walisema gari Ina hp 707
Yes kwa horsepower..
Number of cylinders ni muhimu zaidi..
Cylinders ni kama mikono inayozungusha engine.. Mikono mingi = urahisi wa kuzunguka..
2GR V6 na EJ25 Flat 4 nani atafika mapema 260kph..!!?

W16 engine ya kitambo sana..!
Kabla hata Apple haijatengeneza simu..!
Sio comparison sawa..!
Halafu hiyo gari iliyoipita Bugatti(1600hp)ina HP zaidi au less kwa Bugatti..!!? Ili tupate uhakika wa kauli yako ya HP..!!! 8 cylinders gani legal ina HP hizo!!?
 
Yes kwa horsepower..
Number of cylinders ni muhimu zaidi..
Cylinders ni kama mikono inayozungusha engine.. Mikono mingi = urahisi wa kuzunguka..
2GR V6 na EJ25 Flat 4 nani atafika mapema 260kph..!!?

W16 engine ya kitambo sana..!
Kabla hata Apple haijatengeneza simu..!
Sio comparison sawa..!
Halafu hiyo gari iliyoipita Bugatti(1600hp)ina HP zaidi au less kwa Bugatti..!!? Ili tupate uhakika wa kauli yako ya HP..!!! 8 cylinders gani legal ina HP hizo!!?
Mikono mingi urahisi wa kuzunguka kivp?

Unamaanisha Engine yenye 300hp 8cyl itakuwa na nguvu au hio unayosema kuzunguka kirahisi na kukimbia kuliko engine engine yenye 370hp 6cyl ..na kwamba ile gari itakimbia kuliko ya 6cyl wakati hio six ndo Ina nguvu kuliko ile 8??


Afu una compare 3.5L v6 mfano ilioko tu kwa crown athlete na model zingne Ina 310hp una compare au kutaka shindanisha na EJ25? Ambayo sijui Ina hp kulingana na ilipotumika? Unahisi Subaru angeweka displacement hizo Bado angetumia 4cyl otherwise engine inaenda tumika kwenye gari ya mizigo ila na yeye lazima angetumia 6cyl kwa ujazo huo wa engine..Bado sio comparison sawa haiko fair


Na hio w16 unavosema ya zaman Kwan haina update unakumbuka first time ilikuwa na hp ngap na Sasa Ina ngapi?


Koenigsegg agera Ni miongoni kwa models legal kabisa na Ni 8cyl tu 5L inayotoa zaidi ya 1300hp

Ndo Mana nimesema achana na cc achana na number of cylinder ,, ukishajua hp yake ndo unajua huyu namkata au simkati

Tunaweza kuwa na model Moja ya gari eg Subaru yako ikawa na 270hp stock Mimi yangu nikafanya mapping ikafika 400hp ujue hapo Mimi sio mwenzio Tena japo vitu vingne ni sawa ila unapaswa iogopa hio gari inakuwa haipo kwenye level zako Tena
 
Mikono mingi urahisi wa kuzunguka kivp?

Unamaanisha Engine yenye 300hp 8cyl itakuwa na nguvu au hio unayosema kuzunguka kirahisi na kukimbia kuliko engine engine yenye 370hp 6cyl ..na kwamba ile gari itakimbia kuliko ya 6cyl wakati hio six ndo Ina nguvu kuliko ile 8??


Afu una compare 3.5L v6 mfano ilioko tu kwa crown athlete na model zingne Ina 310hp una compare au kutaka shindanisha na EJ25? Ambayo sijui Ina hp kulingana na ilipotumika? Unahisi Subaru angeweka displacement hizo Bado angetumia 4cyl otherwise engine inaenda tumika kwenye gari ya mizigo ila na yeye lazima angetumia 6cyl kwa ujazo huo wa engine..Bado sio comparison sawa haiko fair


Na hio w16 unavosema ya zaman Kwan haina update unakumbuka first time ilikuwa na hp ngap na Sasa Ina ngapi?


Koenigsegg agera Ni miongoni kwa models legal kabisa na Ni 8cyl tu 5L inayotoa zaidi ya 1300hp

Ndo Mana nimesema achana na cc achana na number of cylinder ,, ukishajua hp yake ndo unajua huyu namkata au simkati

Tunaweza kuwa na model Moja ya gari eg Subaru yako ikawa na 270hp stock Mimi yangu nikafanya mapping ikafika 400hp ujue hapo Mimi sio mwenzio Tena japo vitu vingne ni sawa ila unapaswa iogopa hio gari inakuwa haipo kwenye level zako Tena
Aisee unajichanganya sana..
Unasema mbio ni hp..
Then unasema W16 1600hp inapitwa na 5L 1300hp..!!!

Mbio sio HP..kuna vitu vingi..
LC200 1VD 282hp
BMW E53 M62 282 hp
Landcruiser haitoona hata vumbi la BMW..!Diesel vs Petrol..

Mfano wa 2GR na Ej25 ni sababu zina hp zinakaribiana..!

Watu wa A Town mnaziamini kweli Subaru..
Subaru ni gari za 0 to 60mph.. Baada ya hapo 4 cylinders hazina ujanja kutoka 200kph kuitafuta 260kph..
Muwe mnakuja na highway muone advantages za cylinders nyingi..
 
Aisee unajichanganya sana..
Unasema mbio ni hp..
Then unasema W16 1600hp inapitwa na 5L 1300hp..!!!

Mbio sio HP..kuna vitu vingi..
LC200 1VD 282hp
BMW E53 M62 282 hp
Landcruiser haitoona hata vumbi la BMW..!Diesel vs Petrol..

Mfano wa 2GR na Ej25 ni sababu zina hp zinakaribiana..!

Watu wa A Town mnaziamini kweli Subaru..
Subaru ni gari za 0 to 60mph.. Baada ya hapo 4 cylinders hazina ujanja kutoka 200kph kuitafuta 260kph..
Muwe mnakuja na highway muone advantages za cylinders nyingi..
Wapi nimesema w16 Ina hp 1600 ? Unaji mix Sana ulisema hadi habari za 3L nikakuacha Kwanza me hio engine sikuisema kabisa , w16 imeanzia miaka ya nyuma kipindi Ina 800hp to 1007hp , alafu engine hio hio Ina Hadi 1500hp kwenye Chiron ...na engine niliokutajia Ina update tofauti nimekwambia zaidi ya hp 1300 sikusema exactly hp yake sababu inategemea imefungwa kwenye model gani ila na enyewe inatoa zaidi ya 1500hp

Huo mfano unatosha kabisa kuamini number of cylinder zisikutishe Kuna watu hawalali wanagangaika na techonology tofauti namna wanaweza pata power kubwa kwenye engine ndogo,,

Lc200 Ina 267hp ila zikishindana hata na brevis tu mpya Kama walivoshindanisha amarok na Hilux ,lc200 haitoboi mbele ya sedan yoyote yenye hp above 200 ..gari za ku angalia hp Ni gari ambazo karibia zilingane maumbo ,weight ..mwenye hp kubwa ndo anakaa mbele ila gari zikishakuwa tofauti Kuna factor nyingi za kuamua Nani akae mbele

Hio EJ25 Ina hp ngapi
 
Wapi nimesema w16 Ina hp 1600 ? Unaji mix Sana ulisema hadi habari za 3L nikakuacha Kwanza me hio engine sikuisema kabisa , w16 imeanzia miaka ya nyuma kipindi Ina 800hp to 1007hp , alafu engine hio hio Ina Hadi 1500hp kwenye Chiron ...na engine niliokutajia Ina update tofauti nimekwambia zaidi ya hp 1300 sikusema exactly hp yake sababu inategemea imefungwa kwenye model gani ila na enyewe inatoa zaidi ya 1500hp

Huo mfano unatosha kabisa kuamini number of cylinder zisikutishe Kuna watu hawalali wanagangaika na techonology tofauti namna wanaweza pata power kubwa kwenye engine ndogo,,

Lc200 Ina 267hp ila zikishindana hata na brevis tu mpya Kama walivoshindanisha amarok na Hilux ,lc200 haitoboi mbele ya sedan yoyote yenye hp above 200 ..gari za ku angalia hp Ni gari ambazo karibia zilingane maumbo ,weight ..mwenye hp kubwa ndo anakaa mbele ila gari zikishakuwa tofauti Kuna factor nyingi za kuamua Nani akae mbele

Hio EJ25 Ina hp ngapi
OK tuachane na habari za nani kasema au hakusema..!

HP ni marketing figures..
Mbio za gari zinavitu vingi nje ya HP..!
 
Hilux inakuja na 1GD ftv hii ngoma achana nayo kabisa vijana wanasema acha iende

Zile LX v8 single turbo zinakaa hapo

Engine hio ipo kwa latest hiace , Prado, Fortuner pia Zina option ya engine hio
broo sijajua maybe sijafuatilia hilux sana but all I know ni kwamba Toyota hilux zinakuwa na 1kd,2kd,5l-t.3,2,L 3RZ,2Rz na 1gr bila kusahau 3y engine sijawahi sikia sana kuhusu hio 1gd nafikiri engine utayokuwa ukiiawmea hapa in 2.8 ambayo nadhan ni 1kd
 
broo sijajua maybe sijafuatilia hilux sana but all I know ni kwamba Toyota hilux zinakuwa na 1kd,2kd,5l-t.3,2,L 3RZ,2Rz na 1gr bila kusahau 3y engine sijawahi sikia sana kuhusu hio 1gd nafikiri engine utayokuwa ukiiawmea hapa in 2.8 ambayo nadhan ni 1kd
2.8L Ni 1GD



Nina picha niliipiga Hilux mwaka 2020 Ina nembo ya 1GD mpya kabisa ipo kwa back up nitaenda tafuta


Hilux,hiace, Fortuner, na Prado zinashea engine hizo kina 5L, 2KD, 1GD ziko pote pote
 
Hilux inakuja na 1GD ftv hii ngoma achana nayo kabisa vijana wanasema acha iende

Zile LX v8 single turbo zinakaa hapo

Engine hio ipo kwa latest hiace , Prado, Fortuner pia Zina option ya engine hio
Hio GD-6 ni mashine ya kwenda.
 
broo sijajua maybe sijafuatilia hilux sana but all I know ni kwamba Toyota hilux zinakuwa na 1kd,2kd,5l-t.3,2,L 3RZ,2Rz na 1gr bila kusahau 3y engine sijawahi sikia sana kuhusu hio 1gd nafikiri engine utayokuwa ukiiawmea hapa in 2.8 ambayo nadhan ni 1kd
Toleo la mbele la 1KD ni hio 1GD 2800cc ambayo imepungua kwa 200cc toka kwa 1KD mwenye 3000cc. Nyuma ya 1KD kulikuwa na 1KZ-TE nayo ilikuwa 3000cc.
 
Imekuwa fashions tu kuweka badge za AMG
C -class AMG ni 6200cc top speed ni 340km/hr

So simply hizi AMG za mlimani city uongo[emoji28][emoji28]
Wanawachanganya maboya tu. Hamnaga AMG ya 1800cc au 2000cc.
 
Segment ya Pick up amarok anawagaragaza sana ndugu zake.



Hiyo video wametumia Amarok ya 3.0TDI ila nakuambia hata kama ingekuwa ni Amarok ya 2.0TDI au 2.0Bi-TDI bado Hilux asingefua dafu.



Amarok hizo gari zinatembea sana.

Amarok Gearbox anatumia nzuri kuliko ya hilux. Ńgoja itoke GR hilux ilioveshwa 3.3L ya landcruser 300 uone kama Amarok atatamba
 
Aisee kijana wa A Town bado kuna vitu vya msingi kwenye hizi gari hujavielewa..

1. Engine ya 3L kwenye Prado ilishaachwa kwenye 2nd generation.. Prado 90 aka Mchaga..!

2. 1GD imereplace 1KD..

3. Hiyo miaka uliyoitaja kilichofanyika ni technical update ya same engine..
1GD ya 2016 sio sawa na 1GD ya 2020..kuna maboresho..!

View attachment 2504752
View attachment 2504755
Hii ni KDJ150.. 1KD Engine

View attachment 2504753
View attachment 2504754
Hii ni GD150.. 1GD engine

Halafu STM unategemea iwe gari ya 2017..!!!?
Serikali tunanunua gari mpya.. Sio mitumba kama Wananchi..!
1GD ya 2022 ina 200HP+ ila hilux wana plan kuweka engine ya cruiser humu itakuwa balaa
 
2.8L Ni 1GD



Nina picha niliipiga Hilux mwaka 2020 Ina nembo ya 1GD mpya kabisa ipo kwa back up nitaenda tafuta


Hilux,hiace, Fortuner, na Prado zinashea engine hizo kina 5L, 2KD, 1GD ziko pote pote
Hakuna Prado yenye 2KD.. Labda ya kichina..!!!
Prado ni zaidi ya Hilux.. Fortuner.. Hiace..
Zinafungwa code name 1 sio 2..
1KD
1GD
 
Wadau nahitaji ushauri..Nataka kununua gari aina Honda(Sina uzoefu na magari) nimejichanga sasa Nataka ninunue...vipi spare na ubora wake?
 
Back
Top Bottom