Kufahamu mambo yako hapa: Ramli ya kutizama mambo unayotaka

Kufahamu mambo yako hapa: Ramli ya kutizama mambo unayotaka

Habari wakuu,
Natumai nyote ni wazima lengo la thread hii ni kwa wale wanaohitaji kutazama milango yao yote 12 kwa karata pia kwa usulil hikmat na divination ya milango 12 pamoja na kufahamu yote yanayohusiana na target pamoja na betting na kujua kama wewe upo ok katika fani ya kubet na siku maalum na muda maalum Wa kufanya betting..

Kwa wanaohitaji pia kupata jambo linachelewa kujua ufanye nini karibuni na mengineyo mengi yanayohusu maajabu na miujiza karibuni...
Milango 12 ni hii:

1: Mlango wako binafsi
2: Mlango Wa pesa na nafasi
3:mawasiliano
4: mizunguko na asili
5: mbinu jinsia,na ngono
6: afya na Huduma
7: ndoa na mwenza
8: aina ya kifo na ufufuo
9: Akili na safari ndefu
10: kazi
11: marafiki na jamii
12: Siri na Majini

Kwa wale ambao ni wataalam pia nawakaribiasha
Natumia Ifreet Wa karata,ifrit Wa kitabu na ifrit Wa Geomancy
@mzizi_mkavu
Rakims /spiritual man
Huo Ni ushirikina
Kumbe mkuu bado unapiga ramli serikali ishakataza


Mpe Yesu Maisha yako achana na ushirikina utakupeleka please pabaya
 
Mkuu nifasirie namba 2 tafadhAli ..naweza kuku pm jina langu na la bimkubwa "!?
 
shirku billah
si hiyo pekee mambo mengi tu ila kama yamekuepuka shukuru mungu lakini kama kuna hata moja unalo basi jua wal'munafiquna fi naar jahanam pia
 
Huo Ni ushirikina
Kumbe mkuu bado unapiga ramli serikali ishakataza


Mpe Yesu Maisha yako achana na ushirikina utakupeleka please pabaya
ramli ni nini?
 
Mkuu nifasirie namba 2 tafadhAli ..naweza kuku pm jina langu na la bimkubwa "!?
ndio karibu, namba mbili ni mlango wa pesa huu unahusika katika kutizama pesa zako zitapatikana kutokea wapi na kipi kinakwamisha pesa zako na jinsi gani unaweza pata pesa yani kila linalohusu pesa utalijua hapo

rakims
 
Habari wakuu,
Natumai nyote ni wazima lengo la thread hii ni kwa wale wanaohitaji kutazama milango yao yote 12 kwa karata pia kwa usulil hikmat na divination ya milango 12 pamoja na kufahamu yote yanayohusiana na target pamoja na betting na kujua kama wewe upo ok katika fani ya kubet na siku maalum na muda maalum Wa kufanya betting..

Kwa wanaohitaji pia kupata jambo linachelewa kujua ufanye nini karibuni na mengineyo mengi yanayohusu maajabu na miujiza karibuni...
Milango 12 ni hii:

1: Mlango wako binafsi
2: Mlango Wa pesa na nafasi
3:mawasiliano
4: mizunguko na asili
5: mbinu jinsia,na ngono
6: afya na Huduma
7: ndoa na mwenza
8: aina ya kifo na ufufuo
9: Akili na safari ndefu
10: kazi
11: marafiki na jamii
12: Siri na Majini

Kwa wale ambao ni wataalam pia nawakaribiasha
Natumia Ifreet Wa karata,ifrit Wa kitabu na ifrit Wa Geomancy
@mzizi_mkavu
Rakims /spiritual man
Mkuu namba 2nimeielewa sana na matamani sana kufaham je , nikutumie ayo majina pm? Na je jina la mwanzo tu?
 
Mkuu namba 2nimeielewa sana na matamani sana kufaham je , nikutumie ayo majina pm? Na je jina la mwanzo tu?
Ndio ni jina la kwanza la mama na jina la kwanza la muhusika tu, pia umri na mkoa au jiji uliopo,

Rakims
 
Mtoa mada ana ID fake, na anaomba jina lako na la mama yako, wewe mwenye ID fake, ila kwa tamaa ya kufanikiwa utatoa tu, mwisho wa siku unalia kutapeliwa. #Just a WARNING.
Wewe umeshatapeliwa? Na nani anaweza kutapeli elfu 2 au elfu 5
Au uko kwenu?
 
Back
Top Bottom