Kufahamu mambo yako hapa: Ramli ya kutizama mambo unayotaka

Rakims mimi ninakuomba tu ufafanuzi na maana ya picha ifuatayo:-

Katikati ya hao samaki wawili kumefichwa nini?

Hilo Tu.


Wabillah Tawfiq,


 
Uhusiano kati ya siku malaika na jini anayetawala siku hiyo...
Kwa mfano siku ya juma pili ina tawaliwa na malaika yupi na jini yupi?
Vile vile nahitj kufaham mpngilio wa malaika na majini hao kulingana na ukubwa wa nguvu na uwezo wao kuanzia wakwanza mpka wa mwisho
.....
 
Inatakiwa ujue ni nani ataanza mpira na kakaa upande gani kwanza na mechi inachezwa saa ngapi?
itafaa live betting na lazima umsikilize commentator aseme timu fulani ipo upande gani baada ya kutoss coin 😂
 
Duuh duniani kuna mambo ila kusema kweli kupitia nyota za magazetini na redioni nilishaona ni uongo na wizi tu ila hapa umenishawishi ngoja ni ku pm Rakims
 
Nataka kumuangali MTU kupitia mlango wa saba.
Inawezekana!?
 
Mkuu Rakims mbona namba yako haipatikani? 0626085437. Nataka uniangalizie namba moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…