Kufahamu mambo yako hapa: Ramli ya kutizama mambo unayotaka

Mkuu Rakims mbona namba yako haipatikani? 0626085437. Nataka uniangalizie namba moja
Mkuu hii niliizima maana simu zilikuwa zinapigwa usiku sana na niliomba kutumiwa message peke yake
 
Naomba nikuulize jambo mkuu. Kuna watu huambiwa nyota yako ina milango let's say 7 mwingine anwambiwa 10 mwingine 12. Hii huwa ina uhusiano gani na ilo. Tofauti kati ya mweny nyota ya milango 7 na milango 12 ni nn?. Je Lina ukweli
wowote hili suala. Na hapo hapo mwisho wa milango ya nyota wanasemaga ni 14 je kunaukwel kweny ilo. Na wapo wanaosema ni Bora uwe na nyota milango 10 kuliko 11 sababu. Nyota ya milango mizuri inabidi igawanyike kwa mbili.
 
si hiyo pekee mambo mengi tu ila kama yamekuepuka shukuru mungu lakini kama kuna hata moja unalo basi jua wal'munafiquna fi naar jahanam pia

Kwahiyo umekubali kwamba unafanya ushirikina na pia unakubali adhabu?

70:27. Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi
28.Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.
 
Habari mkuu, yote hayo ni hadithi za baadhi ya waganga kujitahidi kula pesa za watu, unapoambiwa nyota yako ina milango saba maana yake hapo anakuletea hadithi tu za kiganga ili kukupoteza akikwambia hivyo jua anamaanisha nyota yako ni nyota ya saba katika mlolongo wa nyota 12 na pia nyota hizi mpangilio wake umechukuliwa katika mlolongo wa kutizama(ramli ya uganga) wa kiarabu na pia haziendani sana kama madai yanavyodai kuwa zimepangana hivyo hewani,
hukumu ya uganga sahihi inadai nyota zipo 12 tu pekee na pia nazo zinabadilika kulingana na mwenendo wa mwezi na jua na pia kwa ulimwengu wa elimu ya anga unatizama nyota 13 ambayo mpya hiyo imejulikana hivi karibuni ya 13 hakuna kitabu cha zamani cha uganga ambacho nimewahi kusoma kinaizungumzia hiyo,

Na hii milango ya nyota ukiambiwa ipo 14 hakwambii milango ya nyota anakwambia milango ya ramli mkuu na pia nayo haiishii 14 inaenda hadi 16.
Ukweli kwa utabibu unazungumzia nyota 12 na ambazo zinagusa matukio ya viumbe vya kale pia. Waongo ni wengi na masomo ni mengi hivyo mtu kupata elimu sahihi ya Fani hii ni ngumu kwa ulimwengu wa sasa.

Rakims
 
Kwahiyo umekubali kwamba unafanya ushirikina na pia unakubali adhabu?

70:27. Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi
28.Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.
Habari mkuu,
Naheshimu mitizamo ya dini na wala sina ubishi wa kumbishia mtu kitu alichoamini kama ni sahihi au si sahihi.

Na kila mtu anaouelekeo wake na wewe unadini yako na mimi ninadini yangu,

Pia hili jukwaa sio la dini ningetaka kuchambuliwa kidini ningepeleka kwenye jukwaa la dini

Rakims
 

51:55. Na kumbusha, kwani ukumbusho huwafaa Waumini

Nilidhani wewe ni muumini, basi niwie radhi
 
Mkuu mm nyota yng ni Virgo mkuu nilikuwa naomba unitizamie kuhusu mlango wa kazi umekaaje kwa upande wangu.
Ili kuweza kutizama mlango huo mkuu nitahitaji jina lako na la mama tarehe mwezi na mwaka wa kuzaliwa pamoja na pesa ya kuchambulia sh elfu 2 unalipa kwa airtel money kama upo teyari nikupe namba

Rakims
 
Rakims,naomba no ya kurusha pesa nataka unichekie mlango wa 2 na 12,pia mlango upi unatakiwa uniangalizie ili nijue jinsi ya kushinda betting?nyota yangu ni punda Kwa ndoo
 
Rakims,naomba no ya kurusha pesa nataka unichekie mlango wa 2 na 12,pia mlango upi unatakiwa uniangalizie ili nijue jinsi ya kushinda betting?nyota yangu ni punda Kwa ndoo
Habari mkuu.
Ili kuweza kukuangalizia hayo uliyoomba nitahitaji jina lako jina la mama tarehe mwezi na mwaka wa kuzaliwa pamoja na saa kama uliambiwa na eneo la kuzaliwa na pia hizo details natumia kutizama kila kitu chako hivyo nitakwambia kulingana na uliyoyalipia wateja wangu wana experience na hili namba ni 0783930601 ukituma na details zako utaambatanisha kwenye message maana kwa siku hupokea watu tofauti tofauti mtandaoni

Rakims
 

Sawa nitakujazia majibu moja moja p.m nipe muda hadi kufikia kesho

rakims
 
Sawa nitakujazia majibu moja moja p.m nipe muda hadi kufikia kesho

rakims
Hivi kumbe nilishawahi kukomenti humu😅

Mkuu niangalize namba moja nione huo ujuzi wako Ila hela sina..😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…