Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
wanajamii kuna tatizo linanisumbua sana hapa,ni hili suala la mimi kufananishwa sana nkikutana na watu mbalimbali,yani kwa siku inaeza tokea nafananishwa hata mara tano...napenda jua hii inasababishwa na nini kitaalamu kwan kuna mida hua nawaza pengine ni ushirikina.