Uchaguzi 2020 Kufanya Afya: Tundu Lissu ameudanganya Umma na kunakili ilani ya CCM kuhusu Afya

Uchaguzi 2020 Kufanya Afya: Tundu Lissu ameudanganya Umma na kunakili ilani ya CCM kuhusu Afya

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Wasalaamu wanaJF tunaposema tufanye siasa za kistarabu na siasa za kweli tunamaanisha.

Ni jambo baya sana kuona baadhi ya wanasiasa wanabakia katika mirengo ile ile ya siasa za ulaghai za miaka iliyopita wakati tupo kwenye nyakati za teknolojia.

Mimi ni mdau mkubwa sana unapogusia suala la afya ya jamii...na mara nyingi huwa nakwazwa sana na mwanasiasa anayetaka kulaghai umma na huwa simcheleweshi namchana live mapema mno.

Akihojiwa kupitia ITV Tundu Lissu ameongelea suala la afya na ametanabaisha kuwa hata huko Ubelgiji alipoenda alishihudia kuwa ukihitaji matibabu utaulizwa na kutakiwa kuwa na bima ya afya ameeleza kuwa bima hiyo itakufanya utibiwe sawa sawa na mfalme wa ubelgiji(sina uhakika na hili).

Lissu akaahidi kwa kusema kuwa ilani ya CHADEMA italiaccomodate suala hili yaani kwa lugha rahisi lipo kwenye ilani yao.

KWANINI NASEMA KAUDANGANYA UMMA.

Nimepitia Ilani ya Chadema(mimi sio mvivu wa kusoma ilani) Sijaona sehemu waliyoorodhesha suala hili na ushahidi nitauweka hapa.

Screenshot_20200903-224010_Drive.jpg


NI KWA VIPI LISSU AMEIBA NA KUINADI ILANI YA CCM
Katika kipengele 83 (e)cha Ilani ya CCM Kinaongelea kuhusu universal health insuarance coverage na kimeainisha wazi ni namna gani suala hili litafanyika.Tazama ushahidi hapo chini...
Screenshot_20200903-231011_Drive.jpg


Ukiisoma Ilani ya CCM ndiyo inayoongelea wazi kuwa watahakikisha universal health insuarance coverage kupitia NHIF na CHF...
Hawa walaghai hawajagusia eneo hilo na inaonekan a wanatupeleka kwenye kuifanya afya kuwa biashara ya sekta binafsi kama marekani na ubelgiji.

MY TAKE:
Watanzania tujifunze kusoma na kuzielewa ilani za vyama hasa nyakati hizi za uchaguzi kwani matapeli wanaotaka kuneemesha matumbo yao na ya mabeberu ni wengi.

HII NI KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

VIVA JPM!!

Uchaguzi 2020 - Kumbe sera ya Bima ya afya kwa watanzania wote Tundu Lissu ka copy kutoka Ilani ya CCM!
 

Attachments

  • Screenshot_20200903-223948_Drive.jpg
    Screenshot_20200903-223948_Drive.jpg
    150.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20200903-224031_Drive.jpg
    Screenshot_20200903-224031_Drive.jpg
    156.1 KB · Views: 1
Nawapongeza kwa ilani bora kwa sasa ajira ni nyingi. Na milioni hamsini kila kijiji na mtaa zimefika. Pamoja na vyuma kulegezwa. Mitambo ya ushindi imewaka!!
 
Kweli nyani haoni kundule.

CCM mlivosema kwenye ilani yenu ya 2015 kwamba mikoa ya kusini itakua kwa uchumi wa gas, vipi? Maana mlikuta plant ya kufua gas inafanya kazi na mnaiacha ipo ICU.

Mlisema 2015 katika ilani yenu mtatoa ajira Milioni 1, ziko wapi hizo ajira? Halafu safari hii mnatuambia mtatoa ajira millioni 8.

Mlisema mtaongeza hekta laki 9 za kilimo cha umwagiliaji. Hamjaongeza hata nusu eka.
 
Elimu,uchumi wa viwanda,kupambana na ufisadi hizi Ni ilani za CDM,Soma ilani za CDM 2015
 
Kweli nyani haoni kundule.

CCM mlivosema kwenye ilani yenu ya 2015 kwamba mikoa ya kusini itakua kwa uchumi wa gas, vipi? Maana mlikuta plant ya kufua gas inafanya kazi na mnaiacha ipo ICU.

Mlisema 2015 katika ilani yenu mtatoa ajira Millioni 1, ziko wapi hizo ajira? Halafu safari hii mnatuambia mtatoa ajira millioni 8.
Tuongelee hili la afya kwanza
 
Ilani ya CCM imegusa vipaumbele vya watawala na si wananchi,hakuna mtz yeyeto aliyewahi lalamika ugumu wa maisha yake ni kwa sababu ya kutokuwapo kwa sgr,ndege,kuijenga chato,ikulu na majengo dodoma hivi si vipaumbele vya wananchi maana ugusa wachache asilimia 10,na si watz wote
 
Ilani ya CCM imegusa vipaumbele vya watawala na si wananchi,hakuna mtz yeyeto aliyewahi lalamika ugumu wa maisha yake ni kwa sababu ya kutokuwapo kwa sgr,ndege,kuijenga chato,ikulu na majengo dodoma hivi si vipaumbele vya wananchi maana ugusa wachache asilimia 10,na si watz wote
Soma na ujikite kwenye kipe ngele cha afya
 
Mfumo wa universal health services anao uongelea Lissu unafanya kazi kama ifuatavyo:

Kila mfanyakazi anachangia na unakatwa juu kwa juu kwenye mshahara wako na bado mwajiri pia anachangia. Kadri mshahara wako ulivyo mkubwa ndio utachangia zaidi itumie hospitali za serikali au la. Ina maana baada yakulipa PAYE, Pension utaongezewa na bima ya afya na wewe mfanyabiashara utatakiwa kuchangia bima ya afya kila mwajiri wako.

Kwa ivyo wachangiaji wakubwa kwenye universal health systems ni biashara na wafanyakazi; watu ambao anadai anataka kuwapunguzia kodi. Na hiyo ni nusu habari kwa sababu watu 15 millioni walioajiriwa awawezi lipia matibabu ya watu million 56 na kulipa mishahara ya wahudumu wote. Hili kufanikisha hilo unaitaji walau over 90% ya population iwe kwenye ajira ndio maana mambo kama hayo utakuta nchi tajiri tu.

Hapo hapo mtu huyu huyu anadai ya kuwa atapunguza kodi za wafanyakazi na kuongeza mishahara na watu hao hao wanaoshangilia sera zake za biashara ndio hao hao wanasifia sera zake za afya. Unajiuliza hivi wanaelewa kweli anachokiongea huyu mtu au wanashangilia tu.

Sasa imagine mtu ambae akiumwa kawaida anaenda private kutokana na huduma mbovu za hospitali za serikali halafu leo aambiwe achangie bima ya afya kwa lazima kwa ajili ya wengine. Mambo mengine yanafanyika huko kwa wenzetu kwa sababu ya walipofikia kiuchumi sio kuiga kila kitu.
 
Wasalaamu wanaJF tunaposema tufanye siasa za kistarabu na siasa za kweli tunamaanisha.

Ni jambo baya sana kuona baadhi ya wanasiasa wanabakia katika mirengo ile ile ya siasa za ulaghai za miaka iliyopita wakati tupo kwenye nyakati za teknolojia.

Mimi ni mdau mkubwa sana unapogusia suala la afya ya jamii...na mara nyingi huwa nakwazwa sana na mwanasiasa anayetaka kulaghai umma na huwa simcheleweshi namchana live mapema mno.

Akihojiwa kupitia ITV Tundu Lissu ameongelea suala la afya na ametanabaisha kuwa hata huko Ubelgiji alipoenda alishihudia kuwa ukihitaji matibabu utaulizwa na kutakiwa kuwa na bima ya afya ameeleza kuwa bima hiyo itakufanya utibiwe sawa sawa na mfalme wa ubelgiji(sina uhakika na hili).

Lissu akaahidi kwa kusema kuwa ilani ya CHADEMA italiaccomodate suala hili ..yaani kwa lugha rahisi lipo kwenye ilani yao.

KWANINI NASEMA KAUDANGANYA UMMA.

Nimepitia Ilani ya Chadema(mimi sio mvivu wa kusoma ilani) Sijaona sehemu waliyoorodhesha suala hili na ushahidi nitauweka hapa.

View attachment 1557831

NI KWA VIPI LISSU AMEIBA NA KUINADI ILANI YA CCM
Katika kipengele 83 (e)cha Ilani ya CCM Kinaongelea kuhusu universal health insuarance coverage na kimeainisha wazi ni namna gani suala hili litafanyika.Tazama ushahidi hapo chini...
View attachment 1557835

Ukiisoma Ilani ya CCM ndiyo inayoongelea wazi kuwa watahakikisha universal health insuarance coverage kupitia NHIF na CHF...
Hawa walaghai hawajagusia eneo hilo na inaonekan a wanatupeleka kwenye kuifanya afya kuwa biashara ya sekta binafsi kama marekani na ubelgiji.

MY TAKE:
Watanzania tujifunze kusoma na kuzielewa ilani za vyama hasa nyakati hizi za uchaguzi kwani matapeli wanaotaka kuneemesha matumbo yao na ya mabeberu ni wengi.

HII NI KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

VIVA JPM!!
Sisi Chadema tunatuma Maombi Maalum kwa Mgombea Urais wa CCM Mzee Daktari bingwa wa kemia duniani Bwana Magufuli Kukubali Kuwa na MDAHALO na Mgombea Urais Wa Chadema Kamanda Tundu Lissu ili Kushindanisha SERA na Mitazamo Yao kwa Nchi Yetu Live kwenye TV na Redio Zote za Duniani na Wananchi Wote Watasikiliza!:
 
Asante Jingalao kwa uchambuzi makini hasa kwenye kulinganisha ilani mbili za vyama pendwa, inamaana hata huu uchambuzi murua unaoufanya hapa unaufanya kijingajinga? Au ni jina tu ndio linanibabaisha!
 
Pamoja na kwamba jina lako ni la kijinga, lakini mara nyingi pamoja na kwamba vijembe vyako vinakuaga zaidi ya ujinga, unakuaga vere relaxed!! Leo umepanic haswa, kisu kimegusa mfupa?!

Tulia hivyo hivyo, it’s still early days, mwisho wa October bado ni mbali, meza dawa zako kama ulivyo elekezwa na daktari wako, ili usije ukakatia pumzi hapa katikati!
 
Aibu sana mgombea Urais kuwa mwongo mwongo.
 
Sisi Chadema tunatuma Maombi Maalum kwa Mgombea Urais wa CCM Mzee Daktari bingwa wa kemia duniani Bwana Magufuli Kukubali Kuwa na MDAHALO na Mgombea Urais Wa Chadema Kamanda Tundu Lissu ili Kushindanisha SERA na Mitazamo Yao kwa Nchi Yetu Live kwenye TV na Redio Zote za Duniani na Wananchi Wote Watasikiliza!:

Na iwe siku nzima kuanzia asubuhi mpaka jioni, na hilo siku itangazwe rasmi kuwa siku ya mapumziko... wahakikishe kila mtanzania atakae tarajia kuisikiliza au kuiona, mitambo husika inawashwa ipasavyo kwani uwezo huo tunao...

Wamalize hapo hapo siku hiyo... hii mambo ya kutumia mabilioni ya pesa ndio nini sasa!!! Kwani lazima wapande majukwaani na watu wasimame chini ya jua kali na kuonja mfano mdogo wa siku ya kiama ndio wafurahi upande zote mbili (wagombea na wananchi)?
 
Back
Top Bottom