Uchaguzi 2020 Kufanya Afya: Tundu Lissu ameudanganya Umma na kunakili ilani ya CCM kuhusu Afya

Uchaguzi 2020 Kufanya Afya: Tundu Lissu ameudanganya Umma na kunakili ilani ya CCM kuhusu Afya

Kiukweli Sihitaji Kujuia Ilani Ya CCM maana Magufuli Vision take ni ilani Tosha Yaani Magufuli Anatosha bila Ilani Kwa Uthubu alionao Kweli kuna sehemu anabana akibana ndio anatupa wakati Wa kufikili zaidi Maana maisha Sio lelemama kila Kitu kiende kirahisi Kama kumsukuma mlevi
 
Kiukweli Sihitaji Kujuia Ilani Ya CCM maana Magufuri Vision take ni ilani Tosha Yaani Magufuri Anatosha bila Ilanii Kwa Uthubu alionao Kweli kuna sehemu anabana akibana ndio anatupa wakati Wa kufikili zaidi Maana maisha Sio lelemama kila Kitu kiende kirahisi Kama kumsukuma mlevi
Vision za mzee wako hizo! Hakika in ilani tosha kwako.
Kweli wewe ni Dr Bill msomi kundi la kina profesa Majimarefu
Screenshot_20200902-110035.jpg
Screenshot_20200902-110311.jpg
 
Mpuuzi wewe ilani ya CCM? Labda CCM ndio wameinakili ya Chadema
 
Nimekuwekea attachment hapo juu ili usiendelee kuwa juakalulu
Attachment ya nini nyie ndio zenu kukopi mlipoona Lissu kaanza kuwapiga za uso mmeanza kuweweseka na dawa inawaingia hadi mmetoa ajira ya leo hatuhongeki mlikuwa wapi mwanzoni
 
Attachment ya nini nyie ndo zenu kukopi mlipoona lissu kaanza kuwapiga za uso mmeanza kuweweseka na dawa inawaingia hadi mmetoa ajira ya leo hatuhongeki mlikuwa wapi mwanzoni
Kumbe hata ilani hausomi halafu unaingia JF kwa mbwembwe
 
Kasome mbona umewekewa na jingalao mwenzako huyo
hoja hujibiwa kwa hoja sio vihoja.
weka hiko kilichoandikwa ukurasa wa 43...maana mimi nimekuwekea ukurasa unaozungumzia Afya wa Ilani ya Chadema.
 
Back
Top Bottom