Vision za mzee wako hizo! Hakika in ilani tosha kwako.Kiukweli Sihitaji Kujuia Ilani Ya CCM maana Magufuri Vision take ni ilani Tosha Yaani Magufuri Anatosha bila Ilanii Kwa Uthubu alionao Kweli kuna sehemu anabana akibana ndio anatupa wakati Wa kufikili zaidi Maana maisha Sio lelemama kila Kitu kiende kirahisi Kama kumsukuma mlevi
Attachment ya nini nyie ndio zenu kukopi mlipoona Lissu kaanza kuwapiga za uso mmeanza kuweweseka na dawa inawaingia hadi mmetoa ajira ya leo hatuhongeki mlikuwa wapi mwanzoniNimekuwekea attachment hapo juu ili usiendelee kuwa juakalulu
Kumbe hata ilani hausomi halafu unaingia JF kwa mbwembweAttachment ya nini nyie ndo zenu kukopi mlipoona lissu kaanza kuwapiga za uso mmeanza kuweweseka na dawa inawaingia hadi mmetoa ajira ya leo hatuhongeki mlikuwa wapi mwanzoni
Kwan ya chadema inazungumzia nn page 43Nimekuwekea attachment hapo juu ili usiendelee kuwa juakalulu
Mkumbusheni Mzee apitie makabrasha vizuri, leo kamnadi mgombea wa upinzani.Aibu sana mgombea Urais kuwa mwongo mwongo.
Kumbe hata ilani hausomi halafu unaingia JF kwa mbwembwe
Kasome mbona umewekewa na jingalao mwenzako huyoweka hapa tuone....