Kufanya biashara na ndugu ni hatari kubwa

Kufanya biashara na ndugu ni hatari kubwa

elezea mkuu nini kimetokea
Bado ajamaliza kulia. Akimaliza ataeleza ndugu sio wa kushirikiana ktk ishu yoyote ya fedha. Labda kama una Pesa za kufurahisha ndugu zako.
Ndio Maana apa mjini unaweza ukakuta kiwanja kipo sehemu nzuri akijaendelezwa, lakini ukiuliza unakuta ndugu wamepelekana mahakamani kwa sababu wameshindwa kuafikiana
 
Back
Top Bottom