1-Awe demu au mke iyo namba moja Ataishia kuisikilizia Maredioni na mitandaoni.
3-Kama ni Mke wangu, na uchumi umekaa kisawasawa siwezi mjengea nyumba ila Nitajenga kwao ili tukiwa tunaenda kwao Nilale nilipohusika kujenga...( nahii itategemea Familia ya mwanamke, huwez Oa kwa Mama Samia alafu
4-Kuweka profile Demu/Mke wako ni kitu kizuri ili mradi nayeye anakuweka.
2-Sitegemei mke nitakayeoa ARUDI TENA KUSOMA naoa aliyemaliza kusoma ,unless Asome huku anatokea nyumban naahakikishe anabehave km Mke wamtu(hapa Nitahusika ).nahii ndo inafanya Kigezo cha Elimu kwa mwanamke kwangu hakitakua namaana .
So mtoa mada... Baadhi ya maeneo ulotaja, Nitakua Zuzu !!