Mimi ntakujengea kasri Shunie[emoji23][emoji23][emoji23]
ππππAsante Mungu nimepata zuzu langu
Hahaaaa. Kabisaaaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo zuzu tukiachana akitaka kubomoa nyumba tunamfunga
Ewaaaa akanijengee kwetu kabisa ataanzaje kuna kubomoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inategemea, kama kwenu ni masikini, shangazi hana chakula, bibi hana nguo/nyumba, mjomba antembea "uchi", watoto wa ndugu zako hawasomi, baba na mama hawana mahali pazuri pa kukaaa etc etc na mambo kama hayo, ukafanya 2 na 3 ni Uzuzu. Kama pesa ipo, iliyoya kujitosheleza, siyo uzuzu kuwasaidia unaowapenda!Habari wakuu,
Kuna mambo ambayo huwa ninashindwa kuelewa pale binadamu mwenzangu wa kiume anapofanya eti kwa ajili ya Mwanamke, tena wakati mwingine ni mpenzi tu.
Naandika haya nikijua sitafurahisha baadhi ya watu lakini ukweli ni kwamba kufanya yafuatayo kwa ajili ya mapenzi, kwa ajili ya mwanamke ni uzuzu
1. Kuchora tatoo yenye sura au jina la mpenzi ni uzuzu
2. Kumsomesha demu wako ni uzuzu
3. Kumjengea nyumba demu au familia yake ni uzuzu
4. Kuweka profile picture ya demu wako kwenye social media ni uzuzu
Taja uzuzu mwingine wanaofanya baadhi ya Wanaume katika mapenzi
Itakuwa vyema dada""" Utasimamia ujenziii maana Shunie nimshamtumia vocha ya laki [emoji23][emoji23][emoji23]
Umeonaeee. Huko ndio kuzuri mdogo wangu.Ewaaaa akanijengee kwetu kabisa ataanzaje kuna kubomoa [emoji23][emoji23]
Nipo hapa my dear you r welcomeNa mimi ipo siku nitapata zuzu langu
Itakuwa vyema dada""" Utasimamia ujenziii maana Shunie nimshamtumia vocha ya laki [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaaa. Nipo tayari kabisaaaaa.Itakuwa vyema dada""" Utasimamia ujenziii maana Shunie nimshamtumia vocha ya laki [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya kapikee chaiii twende kwa job""Atasimamia jamani kila kitu ni yeye
[emoji23][emoji23][emoji23] ila asije akanigeukia maaana huwa hawachelewii dada HajarHahaaaa. Nipo tayari kabisaaaaa.
Hata kesho. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haya kapikee chaiii twende kwa job""
[emoji23][emoji23][emoji23] ila asije akanigeukia maaana huwa hawachelewii dada Hajar