Kufanya Hivi kwa Ajili ya Mwanamke ni Uzuzu

Kufanya Hivi kwa Ajili ya Mwanamke ni Uzuzu

Acha ujinga mkuu. Hawa viumbe ni watamu. Hata kuweka tu profile pic ni uzuzu. Khaaa! Ila hiyo ya kusomesha gegeduo huo ni uzuzu kweli. Kumjengea nyumba halafu hati ni yangu au kumnunulia gari halafu kadi nabaki nayo ni ujanja sio uzuzu
 
Habari wakuu,

Kuna mambo ambayo huwa ninashindwa kuelewa pale binadamu mwenzangu wa kiume anapofanya eti kwa ajili ya Mwanamke, tena wakati mwingine ni mpenzi tu.

Naandika haya nikijua sitafurahisha baadhi ya watu lakini ukweli ni kwamba kufanya yafuatayo kwa ajili ya mapenzi, kwa ajili ya mwanamke ni uzuzu

1. Kuchora tatoo yenye sura au jina la mpenzi ni uzuzu

2. Kumsomesha demu wako ni uzuzu

3. Kumjengea nyumba demu au familia yake ni uzuzu

4. Kuweka profile picture ya demu wako kwenye social media ni uzuzu

Taja uzuzu mwingine wanaofanya baadhi ya Wanaume katika mapenzi
Inategemea, kama kwenu ni masikini, shangazi hana chakula, bibi hana nguo/nyumba, mjomba antembea "uchi", watoto wa ndugu zako hawasomi, baba na mama hawana mahali pazuri pa kukaaa etc etc na mambo kama hayo, ukafanya 2 na 3 ni Uzuzu. Kama pesa ipo, iliyoya kujitosheleza, siyo uzuzu kuwasaidia unaowapenda!
 
Kuachwa na demu na kuamua kuwa kapombe yani kulewa/kuwa mchafu ni uzuzu.
 
Back
Top Bottom