Kufanya Hivi kwa Ajili ya Mwanamke ni Uzuzu

Kufanya Hivi kwa Ajili ya Mwanamke ni Uzuzu

1-Awe demu au mke iyo namba moja Ataishia kuisikilizia Maredioni na mitandaoni.

3-Kama ni Mke wangu, na uchumi umekaa kisawasawa siwezi mjengea nyumba ila Nitajenga kwao ili tukiwa tunaenda kwao Nilale nilipohusika kujenga...( nahii itategemea Familia ya mwanamke, huwez Oa kwa Mama Samia alafu

4-Kuweka profile Demu/Mke wako ni kitu kizuri ili mradi nayeye anakuweka.

2-Sitegemei mke nitakayeoa ARUDI TENA KUSOMA naoa aliyemaliza kusoma ,unless Asome huku anatokea nyumban naahakikishe anabehave km Mke wamtu(hapa Nitahusika ).nahii ndo inafanya Kigezo cha Elimu kwa mwanamke kwangu hakitakua namaana .


So mtoa mada... Baadhi ya maeneo ulotaja, Nitakua Zuzu !!
Sawa mkuu. Vipi kwa demu?
 
1-Awe demu au mke iyo namba moja Ataishia kuisikilizia Maredioni na mitandaoni.

3-Kama ni Mke wangu, na uchumi umekaa kisawasawa siwezi mjengea nyumba ila Nitajenga kwao ili tukiwa tunaenda kwao Nilale nilipohusika kujenga...( nahii itategemea Familia ya mwanamke, huwez Oa kwa Mama Samia alafu

4-Kuweka profile Demu/Mke wako ni kitu kizuri ili mradi nayeye anakuweka.

2-Sitegemei mke nitakayeoa ARUDI TENA KUSOMA naoa aliyemaliza kusoma ,unless Asome huku anatokea nyumban naahakikishe anabehave km Mke wamtu(hapa Nitahusika ).nahii ndo inafanya Kigezo cha Elimu kwa mwanamke kwangu hakitakua namaana .


So mtoa mada... Baadhi ya maeneo ulotaja, Nitakua Zuzu !!
Hivi kuwekana kwenye profile picha ni kulazimishana au hiyari ya kila mmoja?
 
Sawa mkuu. Vipi kwa demu?
Uloyasema siwezi fanya kwa demu. Ispokua ilo la Profile naweza tena inategemea na Bond ilopo.

Sio unaweka dem kwa profile. ,,then anakuchoreshaaaaa, alafu anakupiga chini duuh utakua umeharibu.

Maana madem wengine watajitenga naww wakiona iyo kitu.
 
Uloyasema siwezi fanya kwa demu. Ispokua ilo la Profile naweza tena inategemea na Bond ilopo.

Sio unaweka dem kwa profile. ,,then anakuchoreshaaaaa, alafu anakupiga chini duuh utakua umeharibu.

Maana madem wengine watajitenga naww wakiona iyo kitu.
Mkuu, hizo bond huwa zinavunjika tu, sekunde tu.

Baada ya uhusiano kuvunjika unafanyaje? Ukimpata mwingine unaweka picha yake tena?
 
Mkuu, hizo bond huwa zinavunjika tu, sekunde tu.

Baada ya uhusiano kuvunjika unafanyaje? Ukimpata mwingine unaweka picha yake tena?
Kwenye maisha *Hakikisha huruhusu kitu kikupe wakati mgumu hata ushindwe kua wazi nahuru kwa hofu ya kuogopa utaonekana vipi*.

mimi ikitokea , nikapata mwingine ,nakaa kidogo namuweka ,laifu linaenda, na ningeakua ivoivo mpaka pale ambapo wakuoa angeoleka .
 
Hata kumpenda mwanamke ni Uzuzu kuwa nae kimahusiano ila usimpende
 
Kuna Uzi wa MAKAPUKU, sasa naona ushapatikana Uzi wa MAZUZU!
 
Back
Top Bottom