Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,054
- 3,263
Siku moja nilikutana na jamaa kwenye daladala kajichora tatoo ya jina la ex wake karibu mwili mzima. mikononi,shingoni,kifuani, chavuni kote kajaza tatoo kawa kama Lil Wayne . watu tulimshangaa sana lakin yeye hata chembe ya aibu hana yupo comfortable kabisaMkuu na mimi ndio najiuliza, na sipati majibu