Ndio apate sasa nyumba za kishua na penyewe mama mwenye nyumba awe mzungu ila kama ni kama hawa ambao mfanyakazi akionekana amekaa anapewa kazi hata ya kutoa vyombo vyote stoo kisha asafishe na kuvirudisha eti kisa amepumzika tu baada ya kumaliza majukumu yake ya muhimu kwa siku husika basi we have a long way to go!
Wabongo tuna roho za kinyanyasaji sana hakyamungu!