Kufanya kazi na watu wanaoielewa dunia ni raha sana

Dada anatakiwa kupata job description kabla ya ajira, tena wastaarabu wengine una deki nyumba mara moja kwa wiki. Anaishi yeye na mke wake tu watoto wako boarding sachool.
 
Na wengine kuajiri vitoto vidogo jamani.
Kutokana na hali halisi ya maisha hii sekta inategemewa na wengi kuleta kipato. Kama kungekua na system nzuri unapomuona mtoto kwenye ajira unampeleka kwenye nyumba ya kulelea watoto.
 
Ndio maana na sie tunanyanyaswa na Wahindi na Waarabu eeh fair game mamaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…