Kufanya kazi TAMISEMI shida tupu, kila ukilala unaota uko jela

Kuna uchawa hatari Kuna jamaa yangu ni chawa mbaya ukikaa na kunywa moja baridi utasikia wanavyopanga kwenye simu namna ya kumuuliza mtu huwa nachoka kazi ya njaa Ina unafiki mwingi Sana.
 
Kuna uchawa hatari Kuna jamaa yangu ni chawa mbaya ukikaa na kunywa moja baridi utasikia wanavyopanga kwenye simu namna ya kumuuliza mtu huwa nachoka kazi ya njaa Ina unafiki mwingi Sana.
Kumuulizaje boss?
 
Sasa hapa wake za watu si watakuwa wanapitia magumu sana mkuu??
 

TAMISEMI huku kumejaa uchawi,kusemana na kuingizana mkenge
Boss naomba connection
 
Hao mabosi wanazoom nini ikiwa kuna wizi kiasi hicho?!
 
Kwa hiyo mnataka kuifananisha Tamisemi na Kule Manzese, Au Tandale? Huku sekta zingne zikiwa kama Mbez beach, masaki, Oysterbay nk.
 
Acha woga kula hela. Rwjea ripoti ya CAG mamilioni yameliwa halafu pametulia. Serikali imeliachia bunge halafu bunge nalo linaizoom serikali
 
Nadhani pote tu, kuanza wizarani mpaka huku kwa wtega mabomu. Ila hali ni mbaya sana ngazi ya halmashauri, muda wote kama umekalia bomu likulipue!
 
Uchawi uko huku polisi hasa trafik.
Usituone tumependeza na nguo nyeupe, tunapitia mengi.
Kweli mkuu yaani hizi KAZI watu wanazitamani lakini zimewalaza wengi.
Juu job descriptions
Kati kikokotoo
Chini ndumba na ulozi.

We can't breathe.
 
Ukipata gap la kuchota mwanangu chota hasa ili hata kama ukikamatwa ukafungwa watoto unawaacha vizuri! Sasa tamaa zenu za kudokoa elfu 50 zitawaponza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…