Kiplayer JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 1,180 Reaction score 1,964 Jun 29, 2023 #1 Umesoma kwa wakati, umeoa/umeolewa kwa wakati, umepata watoto kwa wakati, umekuwa na kipato kwa wakati, umesomesha kwa wakati na kila kitu kimekaa sawa kwa wakati. Maana yake hata kufa utakufa kwa wakati/mapema baada ya kukamilisha mambo yako.
Umesoma kwa wakati, umeoa/umeolewa kwa wakati, umepata watoto kwa wakati, umekuwa na kipato kwa wakati, umesomesha kwa wakati na kila kitu kimekaa sawa kwa wakati. Maana yake hata kufa utakufa kwa wakati/mapema baada ya kukamilisha mambo yako.
jojoe35 JF-Expert Member Joined Aug 2, 2014 Posts 262 Reaction score 378 Jun 29, 2023 #2 Hili nalo mola alitazame
Kiplayer JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 1,180 Reaction score 1,964 Jun 29, 2023 Thread starter #3 jojoe35 said: Hili nalo mola alitazame Click to expand... Anaetaka kuishi muda mrefu afanye delay katika mambo yake 😀
jojoe35 said: Hili nalo mola alitazame Click to expand... Anaetaka kuishi muda mrefu afanye delay katika mambo yake 😀
Mangi shangali JF-Expert Member Joined Feb 9, 2023 Posts 533 Reaction score 820 Jun 29, 2023 #4 Hii kitu ni kweli MUNGU anaharakisha mambo yako ili ufanye yote kwa wakati ufe Lakini akikucheleweshea anakupa wakati wa kuishi miaka mingi
Hii kitu ni kweli MUNGU anaharakisha mambo yako ili ufanye yote kwa wakati ufe Lakini akikucheleweshea anakupa wakati wa kuishi miaka mingi