Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA inakaribia kufa, hii ndio njia yenu pekee ya kujinasua

Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA inakaribia kufa, hii ndio njia yenu pekee ya kujinasua

Tatizo la Chadema ni kuwa kigeugeu.
Hapo wanawaambiaje wananchi na wafuasi wao?
Jana Lissu katoa tamko la kutoitambua Bunge ndani ya Masaa 24 mwenekiti wa Bawqcha anaapa Bungeni.
Watu wakiwakimbia wanapiga kelele
 
Tuliwaonya mapema kuwa pelekeni timu uwanjani. Ila damage kisiasa ipo japo kidogo. Siku nyingine mjifunze. Maalimu Seif alisusa 2015 akakosa platform matokeo yake akadandia ACT huku muda ukiwa umemtupa mkono, tayari damage ilikuwepo. Mtoa mada katoa ushauri mzuri kwa CHADEMA.
 
Tatizo la Chadema ni kuwa kigeugeu.
Hapo wanawaambiaje wananchi na wafuasi wao?
Jana Lissu katoa tamko la kutoitambua Bunge ndani ya Masaa 24 mwenekiti wa Bawqcha anaapa Bungeni.
Watu wakiwakimbia wanapiga kelele
Lissu siyo mzoefu wa siasa za Tanzania 🇹🇿 ni much know tuuuu Kisiasa ni mweupe
 
Kama cdm wameungana na silinde na waitara huko ccm, ICC imeishia matopeni

Cdm imekuwa ccm B = Cuf + Tlp + nccr

Wote sasa wamekuwa ccm ..... maana yake Icc ni ccm Vs ccm, hili haliwezekani kabisaa.
Hao walidhani wahuni tuna survive kitaa bila ajira serikalini simple tu, spana za miezi michache tu wamegeuka snakes
 
Mapambano ya siasa ni ndani na nje ya Bunge.. CHADEMA kama chama kinahitaji kuendelea kusikika na kuwa na ushawishi.. siyo mbaya kuwaachia hawa Wabunge Wanawake kuendelea kuwa Bungeni.. Wao kuendelea kuwa Bungeni ni kuifanya Chadema kuwa 'relevant for now'..
Ni wakati wa Viongozi ambao hawapo Bungeni kurudi kwenye 'drawing board' na kuona mambo yatabadilika vipi..
Huenda pia Maalim Seif na chama chake wakajiunga na GNU Zenji..
Heri nusu shari.. Huu ni mchezo wa Siasa.. Hii ni 'Check-mate position'.. Ni wakati wa kuondokana na 'The winner takes it all..'
 
Ukichanganya yale na haya, SIASA ndIo hivi? Hapana!
Hapo the QUEERS wamedihirisha nature yao. Hawaaminiki kamwe!
Queer by definition:

"Queer is an umbrella term for sexual and gender minorities who are not heterosexual or are not cisgender. Originally meaning "strange" or "peculiar", queer came to be used pejoratively against those with same-sex desires or relationships in the late 19th century"

Rejea simulizi za vijimambo NCCR ilee pia. Judge for yourself. Aina zile zile. Mara huku, kule, katikati ...shame!
 
Pascal, hili la viti maalum ilikuwa leverage kwa chadema, ndo maana CCM wakawa wanahaha kila saa hadi kuja na ngonjera kuwa kuna mfumo dume.

CHADEMA kuwa ndani ya bunge sasahivi wanaeffect ndogo kuliko ambavyo wangeendelea kutokuwepo.

For survival ni heri CHADEMA wasiwepo ndani ya bunge ila wakabaki na leverage waliokuwa nayo. Through leverage many things can be accomplished, cause mtu ukiwa na leverage juu ya mtu, hiyo ni silaha.
Usimung'unye maneno, kwa namna yoyote ile CHADEMA kama kweli imepeleka wabunge ni wasaka tonge watupu.

Na kwa nini wawe kina Halima Mdee ambao wameshakula sana pesa bunge?

Hii ni laana itawaangamiza wao na vizazi vyao saba.
 
Mkuu,

The coffins of the members of family were about to be complete in the workshop, the dead bodies just shelved in the snow-casement, while the head of family who was lamenting alone in solitary hideout was approached by the grand-pa to discuss how they would manage to bury the beloved ones. The big boy who upon hearing of the demise he fled the mourning ceremony citing the event was magically advanced.

The spokeperson went viral in the social media denouncing members of the family were alive for public debut.

As the confusion gained momentum the head of familiy got promising note that one third of the unconscious bodies snized a revival hope. He did not hold the sentiment, he blatantly asked for blessing permission from the family grandpa to rush to the hospital to witness the good news that the purported the dead were showing life signs. Upon arrival, the head of familiy was immediately taken to the snow casement by the coroner in charge. The head of family standing in front the snow casement in the presence of the coroner a score of the dead concurently shouted 'get us out of this dinned yoke or risk you dead as well'

The head of family had no option other than conceding the confidently and aversed death denounce-the shelves were drwan out and all dead bodies stood to their legs alive triggering untold stampede.

Mashabiki wa siasa msichezee mchezo huo bila kujua kanuni zake unazidi bao utapata aibu na dunia itakutapika ukitamani ikumeze.
 
Chadema ilikufaga 2015, sioni kama kuna Chadema tena,, tamaa iliwaponza 2015 kwa kutoheshimu waliojenga chama na kualika watu wa CCM.

Na liwe funzo, kukubali kila mara kukumbatia watu wanaotoka vyama vingine.

Upinzani mpya utainuka tu, siku akina Mbowe watakapoachia madaraka na kuwaachia vijana wenye mawazo mapya.

Angalau Tundu Lissu na Mnyika wana anauwezo kupeleka chama hatua nyingine.

Ila wajifunze kwenye makosa.

Pia wajifunze kusolve issue zao za ndani kabla hazijaenda public. Sikuona sababu ya Bawacha kwenda faster bungeni kabla hawajakaa vikao vya ndani kwamba itakuwaje! Huko ni kuua chama.

Kwa ujumla sioni chadema tena.

Bora vyama vyote vya upinzani vife, kizaliwe chama kimoja chenye nguvu!
 
Huna Moral authority ya kukishauri chama chochote cha upinzani! Cha msingi andika mazuri ya CCM, huna credibility ya kuzungumzia mambo ya upinzani!
 
CCM wameshinda uchaguzi kwa msaada ya jeshi (polisi).
Ina maana unataka Chadema nao waanzishe jeshi?
 
Chadema ikufaga 2015, sioni kama kuna Chadema tena,, tamaa iliwaponza 2015 kwa kutoheshimu waliojenga chama na kualika watu wa CCM.

Na liwe funzo, kukubali kila mara kukumbatia watu wanaotoka vyama vingine.

Upinzani mpya utainuka tu, siku akina Mbowe watakapoachia madaraka na kuwaachia vijana wenye mawazo mapya.

Angalau Tundu Lissu na Mnyika wana anauwezo kupeleka chama hatua nyingine.

Ila wajifunze kwenye makosa.

Pia wajifunze kusolve issue zao za ndani kabla hazijaenda public. Sikuona sababu ya Bawacha kwenda faster bungeni kabla hawajakaa vikao vya ndani kwamba itakuwaje! Huko ni kuua chama.

Kwa ujumla sioni chadema tena.

Bora vyama vyote vya upinzani vife, kizaliwe chama kimoja chenye nguvu!
Hakuna chama kitakuja kukishinda CCM as long as polisi wako upande wao.
Wananchi option yetu sasa ni msaada wa wazungu hakuna namna, na kwa hili nawaunga mkono Lissu & Zitto kwa 110%.
 
Ngoja tuone.

Lakini politically speaking, Halima na team yake wameashakufa;

Next move ya CHADEMA itaamua hatma yao. Wakikubali, nao wanaenda kufa.
 
Back
Top Bottom