Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA inakaribia kufa, hii ndio njia yenu pekee ya kujinasua

Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA inakaribia kufa, hii ndio njia yenu pekee ya kujinasua

Nimeisoma hukumu, 1. Mahakama zetu zinarudia makosa yale yale ya ukosefu wa kutenda haki kwa sababu ya legal technicalities, kuwa Mahakama haiwezi kutoa uamuzi wa kitu ambacho hakikuombwa!.
2. Wabunge hawa 19 wa Chadema, walivuliwa uanachama wao kinyume cha katiba ya JMT na kinyume cha haki kwa kutokusikilizwa, kinyume cha katiba ya Chadema kwa kukiuka sheria, taratibu na kanuni!.
3. Kikao cha CCM ya Chadema, kilichowatimua kilikaa kama a kangaroo court na kutoa maamuzi ya kikangaroo!.
4. Katiba ya Chadema inasema mwanachama kabla hajafutwa uanachama, kwanza atatumiwa hati ya mashitaka kwa maandishi by despatch, kisha atapewa siku 14 za kujibu mashitaka. Chadema hawakuandaa hati zozote za mashitaka!. Hili Mahakama ilipaswa ilione!.
5. Baada ya watuhumiwa kupewa hati ya mashitaka, ndipo kikao cha CC kinaitishwa kama mamlaka ya nidhamu, kusoma majibu ya mashitaka, na ndipo kinawaita washikiwa na kuwasikiliza. Hili halikufanyika!.
6. Baada ya wabunge 19 wa Chadema kuapishwa, hapa Chadema waliposwa kufanya kitu kinachoitwa a due process ya nidhamu na sio zile Zimamoto za kikangaroo!. There was no emergency of whatsoever!. Mahakama ilipaswa ilione hili!.
7. Uthibitisho wa hakukuwa na any emergency ya kuitisha CC, ni the time taken, kuitisha kikao cha Baraza Kuu!.
8. Baada ya kuitishwa kikao cha Baraza Kuu, kitu cha kwanza kwa Baraza Kuu Chadema kuangalia ni uhalali wa kikao cha CC, pili jee katiba, sheria, taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu ya Chadema zilifuatwa?.
8. CC ya Chadema ni mamlaka halali ya nidhamu ya wabunge wa Chadema, lakini CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee ambaye ni Mwenyekiti wa Bawacha!, Mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu!, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Halima Mdee?!. Kikao cha Baraza Kuu kilipaswa hili kukuona!.
9. Japo kikao cha Baraza Kuu Chadema kiliitishwa kihalali kama mamlaka ya rufaa ya wabunge wa Chadema, lakini kitendo cha kikao hicho kubariki uamuzi wa CC kuwatimua bila kufanya mapitio yoyote, ni uthibitisho wa Chadema bado ni chama kichanga, mfano kingechukua nchi ile 2015!, it would have been disastrous!.
10. Kitendo cha Baraza Kuu kubariki maamuzi ya kikangaroo ya CC ya Chadema, kilifanya niyaite maamuzi yale pia ni ya kikangaroo, na kitendo cha Mahakama Kuu kuyabari maamuzi ya kikangaroo, Mahakama Kuu yetu nayo has joined the team!.
A Way Forward
1. Kwa vile Chadema imefanikiwa kuwatimua hao 19 sasa Chadema isikate tena rufaa, kupinga uamuzi huu, bali iitishe kikao cha Baraza Kuu , ASAP, kifanye a due process, hili la wabunge 19 liishe, wabunge hao 19 wavuliwe ubunge wao, Chadema wapeleke majina 19 mengine, wateuliwe waapishwe, tuwe na Bunge la vyama vingi!.

2. Chadema wakifanya tuu dillydalling kukaa rufaa, inakula kwao!. By the time rufaa inasikilizwa, ndipo kifuate kikao cha Baraza Kuu, I'm afraid the time left before the next election is too little too late, ikibaki muda wa chini ya miezi 12 kabla ya muda wa uhai wa Bunge kuisha, hakuna uchaguzi wowote wala uteuzi wowote wa wabunge wapya!.
3. Tena nashauri kikao hicho cha Baraza Kuu, pia sasa ndio kimtimue Halima Mdee, kikifuatiwa Mkutano Mkuu kuthibitisha. Hapa najua changamoto ni fedha!, kule kwenye kile chungu, zilikopatikana zile fedha za kugharimia Baraza Kuu lile, kile chungu bado kipo, kitagharimia vikao vyote viwili, na Chadema inaweza kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kwa mtu kupumzishwa kwa heshima na dereva mpya kupatikana!.
Paskali.
Wakifukuza waliopo na kuteua tena wengine kwenda bungeni kwa yakini watakuwa wamethibitisha uchaguzi ulifanyika mwaka 2020, kwamba ulikuwa huru na haki na kwamba JPM alishinda kwa uhalali na mgombea wa CDM alishindwa hivyo atawajibika kwenda tume ya uchaguzi kusaini kukubaliana na matokeo ya uchaguzi mkuu. Hivyo wataomba radhi kwa kulalamika isivyo halali kwamba kulikuwa na uchafuzi na kura ziliibwa!!!
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ushauri wa bure kwa CHADEMA, maana nimenote baadhi ya viongozi, wanachama, wafuasi wamepigwa na butwaa kwa uamuzi wa wanawake mashujaa, mashoka wa CHADEMA, kukataa ujinga wa chama chao and did the right thing.

Kitendo cha CHADEMA kususa kupeleka majina ya Wabunge wa Viti Maalum, ni kufanya kosa, ila kufanya kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa. Hili kosa la CHADEMA is a death mistake or a deadly mistake, hivyo CHADEMA hapo ilipo kwenye matokeo ya uchaguzi huu is almost dead, due to such deadly mistakes.

Uamuzi wa kina Halima Mdee kukataa ujinga wa chama chao, ndio the only hope for Chadema survival. Wakiwatimua, its adding an insult to an injury, huku kutakuwa ni kurudia kosa, it's do or die kwa CHADEMA. Warudie kosa wafe, au wakubali matokeo, waendelee kuishi, the choice is theirs.

Kuna wanasiasa wako kwenye siasa, na wametafuta uongozi wa siasa kwa kusaka madaraka tuu, uongozi as a means of livelihoods, lakini kiukweli siasa hawaziwezi, hawazijui wala hawajui uongozi wa umma sio utumishi wa chama ni utumishi wa watu.

Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!

Kwenye bandiko hili, nilieleza kuwa kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ya Tanzania, vyama vya siasa sio mali ya viongozi, sio mali ya wanachama, ni mali ya umma, hivyo maamuzi yoyote ya chama lazima yatangulize mbele maslahi ya umma.

Vyama vya siasa kama vilivyo vyama vya wafanyakazi, vina uhuru wa kugoma, kufanya maandamano na hata kususia jambo lolote, ili mradi kugomea huko au kususa huku, kwa kususa huko kuna something tangible they will achieve. Kususa tuu ili mradi kususa bila ku achieve anything nilikuita ni ujinga.

Leo, nimefarijika sana kusoma haya;

Naunga mkono hoja, hongera sana Mhe. Halima Mdee kwa kukataa ujinga na badala yake kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii, KM wa CHADEMA, J.J Mnyika amesema chama kama chama hakija poleka majina.

Hili ni bandiko la ushauri wa bure kwa CHADEMA, najua mtaitisha kikao cha dharura cha ile Kamati Kuu, na kukaa kama a kangaroo court kama kawaida yenu, kulijadili hili, na kuwatimua, nawashauri, msipoteze muda wala msithubutu kuwatimua as usual kama waasi, kwasababu hapo CHADEMA ilipo is almost dead ikiwatimua, this is a deadly mistake, huu ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA.

Kwa vile mule Bungeni hawa ni the minority, hata CHADEMA mkiwatimua kwa kuwafuta uanachama wao kikangaroo, kama mlivyo mfanyia Zitto, kwanza Spika atawalinda as the minority ila pia Watanzania wote wenye akili timamu, hawatawaelewa kabisa CHADEMA, kwasababu, hamtambui matokeo, hamlitambui Bunge, hivyo jikausheni tuu, muendelee kujivutia ruzuku.

Mkiwatimua this will be a very sad ending for what was used to be CHADEMA.

Hapo ilipo tayari CHADEMA is severely and deeply wounded, uchaguzi huu umewaacha with very big injuries, kitendo walichokifanya mashujaa hawa wanawake wa shoka wa CHADEMA, waiongozwa na shujaa Halima Mdee kukataa ujinga wa CHADEMA, ni kitendo cha kishujaa sana, kuwatimua its like adding an insult to an injury.

CHADEMA ikiwatimua, it will no be an instant death, but a slow poisoned death. Waliotimuliwa ndio watasikika, waliowatimua wenzao, ndio wataishia 6ft under kwa kupitia hukumu ya karma.

Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. Kususa kupeleka majina ni kosa, mimi niliuita ni ujinga, kina Halima Mdee wameukataa ujinga huu, kuwatimua ni kurudia kosa.

CHADEMA msifanye death mistake, deadly mistake, mtakufa slow death!

Paskali

Paschal ni mtu wa hovyo
 
Wakifukuza waliopo na kuteua tena wengine kwenda bungeni kwa yakini watakuwa wamethibitisha uchaguzi ulifanyika mwaka 2020, kwamba ulikuwa huru na haki na kwamba JPM alishinda kwa uhalali na mgombea wa CDM alishindwa hivyo atawajibika kwenda tume ya uchaguzi kusaini kukubaliana na matokeo ya uchaguzi mkuu. Hivyo wataomba radhi kwa kulalamika isivyo halali kwamba kulikuwa na uchafuzi na kura ziliibwa!!!
Mkuu Intelligence Justice , naunga mkono hoja hii, ila kwa taarifa nilizonazo, ni Chadema walipokubali kukaa mezani na CCM kwa breakfast ya pamoja na kukubaliana 2025 ,watagawana nusu mkate, nilisema humu, Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika! mtu aliyekuja kutibua mambo ya nusu mkate ni huyu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
P
 
Mkuu Intelligence Justice , naunga mkono hoja hii, ila kwa taarifa nilizonazo, ni Chadema walipokubali kukaa mezani na CCM kwa breakfast ya pamoja na kukubaliana 2025 ,watagawana nusu mkate, nilisema humu, Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika! mtu aliyekuja kutibua mambo ya nusu mkate ni huyu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
P
Acha ujinga Pascal hauna uchungu na Hii nchi Katu unawaona Hawa mchwa ni halali wanayoyafanya??
 
Acha ujinga Pascal hauna uchungu na Hii nchi Katu unawaona Hawa mchwa ni halali wanayoyafanya??
Kuwa mchwa ni jambo moja na haki na halali ni jambo jingine!. Let's assume hao 19 ni kweli wamekosa, then waadhibiwe kwa haki!, wapewe haki ya kusikilizwa na kutimuliwa kwa haki!. Katiba ya Chadema iko wazi wide open na imeweka taratibu zote za nidhamu, kwanini hazifuatwi?.
P
 
Kuwa mchwa ni jambo moja na haki na halali ni jambo jingine!. Let's assume hao 19 ni kweli wamekosa, then waadhibiwe kwa haki!, wapewe haki ya kusikilizwa na kutimuliwa kwa haki!. Katiba ya Chadema iko wazi wide open na imeweka taratibu zote za nidhamu, kwanini hazifuatwi?.
P
Paskali, bado unawang'ang'ania tu mpaka sasa! Miaka yote unatuambia Chadema inakufa ili ufarajike ikifa, hii ni tabia ya wachawi wa kisukuma na sijui ikifa itacheza ngoma ya maswezi?
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ushauri wa bure kwa CHADEMA, maana nimenote baadhi ya viongozi, wanachama, wafuasi wamepigwa na butwaa kwa uamuzi wa wanawake mashujaa, mashoka wa CHADEMA, kukataa ujinga wa chama chao and did the right thing.

Kitendo cha CHADEMA kususa kupeleka majina ya Wabunge wa Viti Maalum, ni kufanya kosa, ila kufanya kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa. Hili kosa la CHADEMA is a death mistake or a deadly mistake, hivyo CHADEMA hapo ilipo kwenye matokeo ya uchaguzi huu is almost dead, due to such deadly mistakes.

Uamuzi wa kina Halima Mdee kukataa ujinga wa chama chao, ndio the only hope for Chadema survival. Wakiwatimua, its adding an insult to an injury, huku kutakuwa ni kurudia kosa, it's do or die kwa CHADEMA. Warudie kosa wafe, au wakubali matokeo, waendelee kuishi, the choice is theirs.

Kuna wanasiasa wako kwenye siasa, na wametafuta uongozi wa siasa kwa kusaka madaraka tuu, uongozi as a means of livelihoods, lakini kiukweli siasa hawaziwezi, hawazijui wala hawajui uongozi wa umma sio utumishi wa chama ni utumishi wa watu.

Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!

Kwenye bandiko hili, nilieleza kuwa kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ya Tanzania, vyama vya siasa sio mali ya viongozi, sio mali ya wanachama, ni mali ya umma, hivyo maamuzi yoyote ya chama lazima yatangulize mbele maslahi ya umma.

Vyama vya siasa kama vilivyo vyama vya wafanyakazi, vina uhuru wa kugoma, kufanya maandamano na hata kususia jambo lolote, ili mradi kugomea huko au kususa huku, kwa kususa huko kuna something tangible they will achieve. Kususa tuu ili mradi kususa bila ku achieve anything nilikuita ni ujinga.

Leo, nimefarijika sana kusoma haya;

Naunga mkono hoja, hongera sana Mhe. Halima Mdee kwa kukataa ujinga na badala yake kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii, KM wa CHADEMA, J.J Mnyika amesema chama kama chama hakija poleka majina.

Hili ni bandiko la ushauri wa bure kwa CHADEMA, najua mtaitisha kikao cha dharura cha ile Kamati Kuu, na kukaa kama a kangaroo court kama kawaida yenu, kulijadili hili, na kuwatimua, nawashauri, msipoteze muda wala msithubutu kuwatimua as usual kama waasi, kwasababu hapo CHADEMA ilipo is almost dead ikiwatimua, this is a deadly mistake, huu ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA.

Kwa vile mule Bungeni hawa ni the minority, hata CHADEMA mkiwatimua kwa kuwafuta uanachama wao kikangaroo, kama mlivyo mfanyia Zitto, kwanza Spika atawalinda as the minority ila pia Watanzania wote wenye akili timamu, hawatawaelewa kabisa CHADEMA, kwasababu, hamtambui matokeo, hamlitambui Bunge, hivyo jikausheni tuu, muendelee kujivutia ruzuku.

Mkiwatimua this will be a very sad ending for what was used to be CHADEMA.

Hapo ilipo tayari CHADEMA is severely and deeply wounded, uchaguzi huu umewaacha with very big injuries, kitendo walichokifanya mashujaa hawa wanawake wa shoka wa CHADEMA, waiongozwa na shujaa Halima Mdee kukataa ujinga wa CHADEMA, ni kitendo cha kishujaa sana, kuwatimua its like adding an insult to an injury.

CHADEMA ikiwatimua, it will no be an instant death, but a slow poisoned death. Waliotimuliwa ndio watasikika, waliowatimua wenzao, ndio wataishia 6ft under kwa kupitia hukumu ya karma.

Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. Kususa kupeleka majina ni kosa, mimi niliuita ni ujinga, kina Halima Mdee wameukataa ujinga huu, kuwatimua ni kurudia kosa.

CHADEMA msifanye death mistake, deadly mistake, mtakufa slow death!

Paskali
Kufanya kosa ni kosa na kurudia kosa ni kosa pia, provided mtu anayefanya kosa anajua kwamba anafanya kosa.
 
Kufanya kosa ni kosa na kurudia kosa ni kosa pia, provided mtu anayefanya kosa anajua kwamba anafanya kosa.
Mkuu Magobe T ,
It's presumed wakati unafanya kosa kwa mara ya kwanza ni hukujua kuwa ni kosa, hivyo unajifunza kwa makosa, hivyo kukosea mwanzo sio kosa, ila kurudia kukosea ndio kosa!.
P
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ushauri wa bure kwa CHADEMA, maana nimenote baadhi ya viongozi, wanachama, wafuasi wamepigwa na butwaa kwa uamuzi wa wanawake mashujaa, mashoka wa CHADEMA, kukataa ujinga wa chama chao and did the right thing.

Kitendo cha CHADEMA kususa kupeleka majina ya Wabunge wa Viti Maalum, ni kufanya kosa, ila kufanya kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa. Hili kosa la CHADEMA is a death mistake or a deadly mistake, hivyo CHADEMA hapo ilipo kwenye matokeo ya uchaguzi huu is almost dead, due to such deadly mistakes.

Uamuzi wa kina Halima Mdee kukataa ujinga wa chama chao, ndio the only hope for Chadema survival. Wakiwatimua, its adding an insult to an injury, huku kutakuwa ni kurudia kosa, it's do or die kwa CHADEMA. Warudie kosa wafe, au wakubali matokeo, waendelee kuishi, the choice is theirs.

Kuna wanasiasa wako kwenye siasa, na wametafuta uongozi wa siasa kwa kusaka madaraka tuu, uongozi as a means of livelihoods, lakini kiukweli siasa hawaziwezi, hawazijui wala hawajui uongozi wa umma sio utumishi wa chama ni utumishi wa watu.

Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!

Kwenye bandiko hili, nilieleza kuwa kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ya Tanzania, vyama vya siasa sio mali ya viongozi, sio mali ya wanachama, ni mali ya umma, hivyo maamuzi yoyote ya chama lazima yatangulize mbele maslahi ya umma.

Vyama vya siasa kama vilivyo vyama vya wafanyakazi, vina uhuru wa kugoma, kufanya maandamano na hata kususia jambo lolote, ili mradi kugomea huko au kususa huku, kwa kususa huko kuna something tangible they will achieve. Kususa tuu ili mradi kususa bila ku achieve anything nilikuita ni ujinga.

Leo, nimefarijika sana kusoma haya;

Naunga mkono hoja, hongera sana Mhe. Halima Mdee kwa kukataa ujinga na badala yake kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii, KM wa CHADEMA, J.J Mnyika amesema chama kama chama hakija poleka majina.

Hili ni bandiko la ushauri wa bure kwa CHADEMA, najua mtaitisha kikao cha dharura cha ile Kamati Kuu, na kukaa kama a kangaroo court kama kawaida yenu, kulijadili hili, na kuwatimua, nawashauri, msipoteze muda wala msithubutu kuwatimua as usual kama waasi, kwasababu hapo CHADEMA ilipo is almost dead ikiwatimua, this is a deadly mistake, huu ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA.

Kwa vile mule Bungeni hawa ni the minority, hata CHADEMA mkiwatimua kwa kuwafuta uanachama wao kikangaroo, kama mlivyo mfanyia Zitto, kwanza Spika atawalinda as the minority ila pia Watanzania wote wenye akili timamu, hawatawaelewa kabisa CHADEMA, kwasababu, hamtambui matokeo, hamlitambui Bunge, hivyo jikausheni tuu, muendelee kujivutia ruzuku.

Mkiwatimua this will be a very sad ending for what was used to be CHADEMA.

Hapo ilipo tayari CHADEMA is severely and deeply wounded, uchaguzi huu umewaacha with very big injuries, kitendo walichokifanya mashujaa hawa wanawake wa shoka wa CHADEMA, waiongozwa na shujaa Halima Mdee kukataa ujinga wa CHADEMA, ni kitendo cha kishujaa sana, kuwatimua its like adding an insult to an injury.

CHADEMA ikiwatimua, it will no be an instant death, but a slow poisoned death. Waliotimuliwa ndio watasikika, waliowatimua wenzao, ndio wataishia 6ft under kwa kupitia hukumu ya karma.

Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. Kususa kupeleka majina ni kosa, mimi niliuita ni ujinga, kina Halima Mdee wameukataa ujinga huu, kuwatimua ni kurudia kosa.

CHADEMA msifanye death mistake, deadly mistake, mtakufa slow death!

Paskali
Navyoona wewe utakufa na CHADEMA utaiacha
 
Mkuu,

The coffins of the members of family were about to be complete in the workshop, the dead bodies just shelved in the snow-casement, while the head of family who was lamenting alone in solitary hideout was approached by the grand-pa to discuss how they would manage to bury the beloved ones. The big boy who upon hearing of the demise he fled the mourning ceremony citing the event was magically advanced.

The spokeperson went viral in the social media denouncing members of the family were alive for public debut.

As the confusion gained momentum the head of familiy got promising note that one third of the unconscious bodies snized a revival hope. He did not hold the sentiment, he blatantly asked for blessing permission from the family grandpa to rush to the hospital to witness the good news that the purported the dead were showing life signs. Upon arrival, the head of familiy was immediately taken to the snow casement by the coroner in charge. The head of family standing in front the snow casement in the presence of the coroner a score of the dead concurently shouted 'get us out of this dinned yoke or risk you dead as well'

The head of family had no option other than conceding the confidently and aversed death denounce-the shelves were drwan out and all dead bodies stood to their legs alive triggering untold stampede.

Mashabiki wa siasa msichezee mchezo huo bila kujua kanuni zake unazidi bao utapata aibu na dunia itakutapika ukitamani ikumeze.
Haueleweki. Heri ungeandika kwa kiswahili.

Amandla...
 
Wanabodi,

Kitendo cha CHADEMA kususa kupeleka majina ya Wabunge wa Viti Maalum, ni kufanya kosa, ila kufanya kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa.

Paskali
Taarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Mwamba Kabisa, Freeman Mbowe, Atazungumza na Dunia kupitia kwa Waandishi Wote wa Habari Duniani.

Taarifa ya Chama chake iliyosambazwa kote Duniani hii hapa

View attachment 3155564

Hatutaki kuongeza Chumvi, Tusubiri Habari kamili baada ya Mkutano huo

Usiondoke JF
Asante sana kwa taarifa hii, ushauri wangu ni atangaze chochote na alalakike vyovyote kuhusu hizi figisu figisu za uchaguzi wa serikali za mitaa, ila hala hala ,Chadema wasifanye kosa 2019 kususia uchaguzi wa serikali za mitaa,hivyo uchaguzi wa 2020 waliambulia jimbo moja tuu la ngama,wakasusia kuutambua uchaguzi,wakauita ni uchafuzi, baada ya maridhiano wakautambua na kuyatambua matokeo。

Kufanya kosa sii kosa,kosa kurudia kosa, Chadema wasirudie makosa,wasijitoe kwa kususia uchaguzi wa seikali za mitaa!。
P
 
Chadema wasifanye kosa 2019 kususia uchaguzi wa serikali za mitaa,hivyo uchaguzi wa 2020 waliambulia jimbo moja tuu la ngama,wakasusia kuutambua uchaguzi,wakauita ni uchafuzi, baada ya maridhiano wakautambua na kuyatambua matokeo。
Kweli kabisa, kususia uchaguzi kwa Chadema huku vyama vingine vikishiriki hakujawahi kuleta mabadiliko yoyote ya hizi chaguzi zinavyoendeshwa

Ila zaidi wanashiriki wakiwa pungufu uwanjani na sheria za mchezo hadi refa haziko upande wao.

Kingine viongozi wa juu hawana sauti ya pamoja.
 
Back
Top Bottom