Kufanya mapenzi kwa simu


Ikispiriensi at work lol.......

shikamoo kaka
 
Ikispiriensi at work lol.......

shikamoo kaka

Ha ha ha ha.. Marahaba dada yangu Heaven on Earth.. Unajua dada inawezekana wako watu wachache ambao ni innocent na hawajui but majority wanajua hii na wengi wana-practice.. Hata yule ambae haelekei anayafanya haya sis.. Na kwa kuangalia so far inasaidia kupunguza maambukizo ya magonjwa ya zinaa na ukimwi vile vile..
 
Last edited by a moderator:

Sio tu wenye heshima wanafanya , wanafanya wakiwa wazi bila nguo. Lait kuta zingekuwa transparenti mbona wengi tungeshaacha hata kuvaa nguo!!!!!

Umkute sasa yuko hewani halafu mtandao unazingua au salio limekata!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…