Kufanya mapenzi kwa simu

Kufanya mapenzi kwa simu

Yeah, huo ni mwanzo na mwisho kuja kulala kwangu.... sikufahamu before kama anatabia hiyo then ukimuona she is so smart... huwez mdhania

Na yeye amezidi hata hajifichi jamani, angemwambia huyo mpenzi wake kuwa asubiri mpaka atakaporudi home. Ila na yeye haogopi hata watu wengine jamani. Kuna mihemko inahitaji privace.
 
Mhhh uyo mgeni mi ningemtimua akalale next room,
yaelekea hii kitu is such a turn on,sijawahi jaribu,..
 
Na yeye amezidi hata hajifichi jamani, angemwambia huyo mpenzi wake kuwa asubiri mpaka atakaporudi home. Ila na yeye haogopi hata watu wengine jamani. Kuna mihemko inahitaji privace.

namshangaa ht hzo stimu anazipataje mbele ya mtu
 
namshangaa ht hzo stimu anazipataje mbele ya mtu

Itakuwa alitaka kumsaga tu huyo dada sema akawahi kuhama chumba. Mie kulala kitanda kimoja na mwanamke mwenzangu siwezi.
 
Kamchezo ka simu/skype kana pros na cons aisee. Kama Kaunga alivyosema huwa kanaishia na either wet dreams ama masturbation kwa kuwa u just turn each other on na hampo karibu kumalizia what u started. Kidogo naweza kusema kanasaidia couples zilizo mbali kupunguza kiu and stay connected kimahabat. To me naona hasara ni nyingi kuliko faida
 
Huyu alikua anataka kukusaga bora ukala kona shukuru, utakuta anapesa toka kwa yale mashoga ya US yakiongozwa na jaluo Obama na lile shoga lingne Cameroun...
 
It is not, nimeona couple za kutosha tu wakipitia wakati mgumu baada ya kurudi kuishi pamoja.

Haina tofauti na masterbation, tena wengi baada ya simu anaendeleza kwa kuwatch porn. It is very bad kwakweli. Niliacha before it was not too late, it was kwaresma like this time, na nikamuomba Invisible aniondoe jukwaa la wakubwa.

Salute Kaunga,

Kwenye hii mada, nilichomshangaa mlete mada nikuuliza habari ya kufanya ngono kwa simu.... Nilidhani story ilisharudiwa rudiwa sana na haina mvuto. Kumbe yeye kwake inakuwa breaking news...Anyway, ndiyo dunia yenyewe.

Ila story yenyewe ingezama kwa huyo mgeni kukosa aibu na kufikia hatua ya kufanya upuuzi wake mbele ya rafiki yake. Hapa ndipo penye maswali kibao....we can all speculate endlessly!

Kwa upande wako, nakushukuru kwa ushuhuda. Haya mambo yanafanyika sana na pia yana faida nyingi tu. Hata hivyo ni very addictive... Ndipo tunapowashauri watu wachanganye na zao!

Nani mbabes apa ako tayari tufanye hayo makitu? Gongeni like apa chaaap

Nisome hapo juu kaka...

Wakati mwingine ni muhimu kuongea na wajukuu...

Kuna watu wanataka kutufanya tuhisi kama vile dunia imeumbwa leo...lol!!

cc: Karucee, Fixed Point, Asprin, snowhite, maskini gfsonwin.....
 
Last edited by a moderator:
Emb ninong'oneze tena kidogo....ati una........ okey nimekusoma.... mmh unajua mmmmh unajua mmh yani eehhhhee yani .......sijui niseme.....mmmmhhmm yani dada kwa kweli mmmmmhh yani.........simu inaita ngoja nipokee nitarudi!
Shaloom
 
Salute Kaunga,

Kwenye hii mada, nilichomshangaa mlete mada nikuuliza habari ya kufanya ngono kwa simu.... Nilidhani story ilisharudiwa rudiwa sana na haina mvuto. Kumbe yeye kwake inakuwa breaking news...Anyway, ndiyo dunia yenyewe.

Ila story yenyewe ingezama kwa huyo mgeni kukosa aibu na kufikia hatua ya kufanya upuuzi wake mbele ya rafiki yake. Hapa ndipo penye maswali kibao....we can all speculate endlessly!

Kwa upande wako, nakushukuru kwa ushuhuda. Haya mambo yanafanyika sana na pia yana faida nyingi tu. Hata hivyo ni very addictive... Ndipo tunapowashauri watu wachanganye na zao!



Nisome hapo juu kaka...

Wakati mwingine ni muhimu kuongea na wajukuu...

Kuna watu wanataka kutufanya tuhisi kama vile dunia imeumbwa leo...lol!!

cc: Karucee, Fixed Point, Asprin, snowhite, maskini gfsonwin.....

Nimekusoma mkuu Dark City salute...nakupigia punde kuna issue....
 
Last edited by a moderator:
wewe bado mkulima utajuaje mambo hizi? mimi nnamwaka mmoja nipo mbali na gf wangu lakini najiona kama nipo nae coz kwa njia hii inanisaidia sana tena kwa kiwango na speed.
kama unataka kufundishwa mapenzi haya ongea vizuri upewe somo
Thanx... no need
 
watu wanatumia sana iyo kitu hasa kwa wale wanaosafir sana mbali na wenza wao!!! kwa msiojua jifunzen iyo art it can save ur relationship and money maana jamaa wengi wakisafirigi mikoani wanaanza kuchukua malaya so unapoteza pesa na unaweza pata hata magonjwa ya zinaa nk pia inasave pesa maana hutumii cost yoyote!!!
 
Salute Kaunga,

Kwenye hii mada, nilichomshangaa mlete mada nikuuliza habari ya kufanya ngono kwa simu.... Nilidhani story ilisharudiwa rudiwa sana na haina mvuto. Kumbe yeye kwake inakuwa breaking news...Anyway, ndiyo dunia yenyewe.

Ila story yenyewe ingezama kwa huyo mgeni kukosa aibu na kufikia hatua ya kufanya upuuzi wake mbele ya rafiki yake. Hapa ndipo penye maswali kibao....we can all speculate endlessly!

Kwa upande wako, nakushukuru kwa ushuhuda. Haya mambo yanafanyika sana na pia yana faida nyingi tu. Hata hivyo ni very addictive... Ndipo tunapowashauri watu wachanganye na zao!



Nisome hapo juu kaka...

Wakati mwingine ni muhimu kuongea na wajukuu...

Kuna watu wanataka kutufanya tuhisi kama vile dunia imeumbwa leo...lol!!

cc: Karucee, Fixed Point, Asprin, snowhite, maskini gfsonwin.....

Sijawahi kujaribu. I think its silly and fake.
 
Ujue kuna njia nyingi za kuridhishana japo nyingne uwadhiri akili yani ubongo kwa kufanya kitu kisichokuwepo....Kufanya mapenzi kwa njia ya simu hii ni nzuri pia ni mbaya ubaya wake pale ukivuta hisia kikweli unatumia akili kuvuta picha kuwa mpenzi wako anakufanyia kitu fulani njia hii ina athari sana kwa mwanaume kuliko mwanamke kwan mwanaume uwenda akakojoa kabisa hasa pale anapopata vilio vya mahaba na kujenga taswira kuwa anafanya kitu na mpenzi wake kufikia hatua ya kukojoa huwa tayari amevuta picha na kutengenza hisia thabiti ivo ukojoa sasa pale katika kukojoa utumia akili na zinapotoka anakuwa hana tafauti na aliyepiga punyeto ivo uwathir mishipa ya uume na kuilegeza ufanya uume kuchongeka ikiwa anafanya sana huyo man.....faida yake mtu anaridhika na huyo mtu wake na kuondoa hamu yake kwa mwanamke yeye akivuta picha na kujishika katika sehemu anazojua yeye atapagawa basi anaweza kujimaliza japo si asilimia kubwa ikiwa mwnamke atakojoa kwa njoa hiyo basi anakuwa anahashk nyingi za kimapenzi lakini mara nyingi kwa mwanamke ataoka maji ya matamanio kwa wingi hapo akioga anakuwa sawa..........sema kwa huyo mgeni nae balaaa hadi kwa watu anafanya tena kwa kuvua nguo tobaaaa me uwa nasikia mambo haya nikayafatilia kujua faida yake ni nzuri kwa waliombali yani wako mikoa tafaut may be au mmoja yuko masomon o wateva ilvo but wako far.....inasaidia kuondoa nyeee......
 
Sijawahi kujaribu. I think its silly and fake.


I can understand mdogo wangu....and that was not my intent to say that everyone including you ni mteja wa haya mambo...lol!!.

I just wanted to say that this is not news to most of us and the practice is as old as human history..

But doing something like that mbele ya rafiki yako ndiyo big issue...
 
Back
Top Bottom