LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...
Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.
Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)
Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .
Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.
Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.
Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.
1. To acquire power
2. To maintain power
3. To protect power .
( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.
Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.
Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi
# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..
Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.
Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.
Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)
Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .
Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.
Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.
Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.
1. To acquire power
2. To maintain power
3. To protect power .
( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.
Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.
Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi
# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..
Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.