Kufanya masters/PhD vs kusoma vitabu kipi Bora?

Kufanya masters/PhD vs kusoma vitabu kipi Bora?

Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..
Nlichojifunza kwa hii mada yako ni kwamba, unaweza kuwa chochote duniani wakati wowote, hata kama unahisi umekosea huko nyuma whether katika elim mfano level ya elimu au aina ya fani uliyoisomea etc iwapo tu utatambua unataka nini na kuamua kubadili gia angani ,na unaweza huwa geek katika uwanja mpya mara 100 ya walio kutangulia ,even a sky is not a limit...period.
 
Nlichojifunza kwa hii mada yako ni kwamba, unaweza kuwa chochote duniani wakati wowote, hata kama unahisi umekosea huko nyuma whether katika elim mfano level ya elimu au aina ya fani uliyoisomea etc iwapo tu utatambua unataka nini na kuamua kubadili gia angani ,na unaweza huwa geek katika uwanja mpya mara 100 ya walio kutangulia ,even a sky is not a limit...period.
Exactly
 
aisee LIKUD umesema kitu cha ajabu mno...Mimi nasoma vitabu kadhaa kwa mwezi labda sita au saba vya page 600-700 aisee najua vitu hadi najiogopa.
ngoja nikupe mfano, kuna bidhaa moja ni chemical nilikua nataka kutengeneza maana niliishtukia inatengenezwa na watu wachache mno na inauzika kikirtimba mno,nikawafata manufacture kama nane tu ndo wapo hapa dar aisee sikuambulia kitu pamoja na offer yangu ya milion na laki tano kwa formula tu

nikaingia online nikapata wahindi flani aisee jamaa wanauza kitabu ila kiukweli kina formula nyingi zenye msaada usd 800,tamaa ikaniingia nikasema hapana siezi toa hela nyingi hv big no,aisee nilihaha online,soma majournal ya chemistry,ingia maforum ya chemistry download vitabu ilinichukua whole week nikawa na formula kama nane ila haziko wazi yaani kama ni percentage wanakwambia 10%-40% wakati mi nataka single digit

nikazinarrow down mpaka nikapata fomula yenyewe aisee nikaingia mzigoni bado changamoto ikawa raw material zinafanya production cost ziwe juu baadae nikairekebisha product moja % yake ndo ikakaa sawa nikaingia sokoni

ningekua mvivu watoto wasingeenda shule,sa hv nina bidhaa 20 za chemical natengeneza na nyingine najua ila sina tu mtaji, sasa basi hapo ni kwenye chemicals nasoma fani nyingine kama sasa hv naanza kusoma electromagnetic sijui kabisa ila nimevutiwa,pia naanza kichina mwakani na nataka nijifunze kuhusu markets and stocks in deep

usisahau nipo vizuri kwenye ujenzi 80%
nipo vizuri biashara na mauzo na utawala 60%
nipo vizuri space and 30%
nipo poa kwenye inteligence

lakini nilisomea architecture...

kusoma nakubaliana na ww LIKUD ni silaha ya hatari sana hulali njaa,sasa hv najikita kusoma vitabu vya kunipa hela tu yaani nakisoma nakigeuza hela

tujitahidi kusoma vitabu
 
Una Hoja mahala fulani ila na Wewe kuna sehemu umejichanganya na mpaka kutuchanganya na Sisi pia.

Je, unataka tujadili kuhusu Usomaji tu wa Vitabu ' Generally ' katika Kujiongezea Maarifa ( Knowledge ) au Msisitizo wako mkubwa hapa ni juu ya Somo la Hisabati ( Mathematics ) ambalo umeshaonyesha una Mahaba nalo zaidi?
A na B yote Ni sawa kwa sababu hata Mimi sijasoma vitabu vya mathematics pekee. Nimesoma pia vitabu vya fields kuanzia " intelligence" ( ujasusi) mpaka female anatomy. In addition to that Kama mwanaume hauja master somo la female anatomy both in theory and practice basi jua kwamba hauna uwezo wa kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani.. uki master somo Hilo linakupa uwezo wa kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe..
 
aisee LIKUD umesema kitu cha ajabu mno...Mimi nasoma vitabu kadhaa kwa mwezi labda sita au saba vya page 600-700 aisee najua vitu hadi najiogopa.
ngoja nikupe mfano, kuna bidhaa moja ni chemical nilikua nataka kutengeneza maana niliishtukia inatengenezwa na watu wachache mno na inauzika kikirtimba mno,nikawafata manufacture kama nane tu ndo wapo hapa dar aisee sikuambulia kitu pamoja na offer yangu ya milion na laki tano kwa formula tu

nikaingia online nikapata wahindi flani aisee jamaa wanauza kitabu ila kiukweli kina formula nyingi zenye msaada usd 800,tamaa ikaniingia nikasema hapana siezi toa hela nyingi hv big no,aisee nilihaha online,soma majournal ya chemistry,ingia maforum ya chemistry download vitabu ilinichukua whole week nikawa na formula kama nane ila haziko wazi yaani kama ni percentage wanakwambia 10%-40% wakati mi nataka single digit

nikazinarrow down mpaka nikapata fomula yenyewe aisee nikaingia mzigoni bado changamoto ikawa raw material zinafanya production cost ziwe juu baadae nikairekebisha product moja % yake ndo ikakaa sawa nikaingia sokoni

ningekua mvivu watoto wasingeenda shule,sa hv nina bidhaa 20 za chemical natengeneza na nyingine najua ila sina tu mtaji, sasa basi hapo ni kwenye chemicals nasoma fani nyingine kama sasa hv naanza kusoma electromagnetic sijui kabisa ila nimevutiwa,pia naanza kichina mwakani na nataka nijifunze kuhusu markets and stocks in deep

usisahau nipo vizuri kwenye ujenzi 80%
nipo vizuri biashara na mauzo na utawala 60%
nipo vizuri space and 30%
nipo poa kwenye inteligence

lakini nilisomea architecture...

kusoma nakubaliana na ww LIKUD ni silaha ya hatari sana hulali njaa,sasa hv najikita kusoma vitabu vya kunipa hela tu yaani nakisoma nakigeuza hela

tujitahidi kusoma vitabu
Ur the true son of ur father. Personally nimejifunza vitu vingi sana katika maisha yangu kupitia usomaji wa vitabu.
 
Hahaha, mleta mada ni muongo sana probably atakuwa na stress ama kabaniwa kuhitimu masomo yake sasa anamaliza stress.

Mkuu katika jambo ambalo haliwezekani ni kusoma vitabu 400 vya wana mahesabu alafu ukakosa angalau 100 vyakukosoa na kwa nature ya uandishi wako lazima ungekuja kuwakosoa humu humu JF.

Mkuu haihitaji kuwa nguli wa hesabu ili ujenge nyumba 3 kwa mwaka mmoja hii argument yako ni kichekesho sana mkuu.

Jambo lililo wazi ni elimu yoyote inahitaji foundation hauwezi ukaponda shule alafu ukadhani utapata elimu bora sehemu tofauti na shule, kumbuka shule inaweza kuwa sehemu maalumu yenye majengo yake au kutoka kwa kiongozi wako wa maarifa.

Nadhani utakubaliana na mimi kuwa kujifunza na kusoma kunahitaji nidhamu.
 
20210410_205330.jpg
 
Hapo inategemea na lengo lako binafsi ni nini kama kuajiriwa au kusaka maarifa
 
Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..


Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.
IMEKAA VIZURI..MWAKA JANA NILISOMA VITABU KAMA 60 HIVI NON FICTION..VILINIFUNGUA SANAA
 
Una Hoja mahala fulani ila na Wewe kuna sehemu umejichanganya na mpaka kutuchanganya na Sisi pia.

Je, unataka tujadili kuhusu Usomaji tu wa Vitabu ' Generally ' katika Kujiongezea Maarifa ( Knowledge ) au Msisitizo wako mkubwa hapa ni juu ya Somo la Hisabati ( Mathematics ) ambalo umeshaonyesha una Mahaba nalo zaidi?
Ameelezea upande wake..wewe waweza chagua wako
 
I solved every matical question they gave to me. Kuna profesa mmoja wa mathematics kutoka chuo kikuu kikubwa baada ya kusoma.paper yangu na kuambiwa sijasoma.hesabu chuo ali suggest nipewe PhD ya heshima ya Mathematics.



I solved every mathematical problem they gave to me. Halafu mkuu uki master mathematics, watu ambao hawajui mathematics wewe unakuwa Kama mungu kwao.
Kweli kabisa
 
LIKUD nakuunga mkono kwa 100% kuhusu kusoma vitabu kuliko kuwa hata na PHD. Mie nimesoma chuo fulani hapa TZ masomo ya Engineering. Kuna Tutorial Ass mmoja mstaafu kwa maana alikuwa na Degree moja tu ya Engineering alikuwa anatufundisha. Yeye katika maisha yake anakwambia mbali na kula kila siku lazima asome hesabu kila siku. Yaani na degree yake moja lakini wenye PHD walikuwa wanamkimbia kabisa. Maana masomo aliyokuwa anayakata ni yale ambayo wengine wanakimbia.
Na siyo hesabu tu, yeye anasoma vitu vyote ambavyo vipo kwenye tasnia yake. Kwakifupi anakwambia ana maisha mazuri sana kupitia kujisomea tu kwakuwa ana solve problems nyingi sana.
 
LIKUD nakuunga mkono kwa 100% kuhusu kusoma vitabu kuliko kuwa hata na PHD. Mie nimesoma chuo fulani hapa TZ masomo ya Engineering. Kuna Tutorial Ass mmoja mstaafu kwa maana alikuwa na Degree moja tu ya Engineering alikuwa anatufundisha. Yeye katika maisha yake anakwambia mbali na kula kila siku lazima asome hesabu kila siku. Yaani na degree yake moja lakini wenye PHD walikuwa wanamkimbia kabisa. Maana masomo aliyokuwa anayakata ni yale ambayo wengine wanakimbia.
Na siyo hesabu tu, yeye anasoma vitu vyote ambavyo vipo kwenye tasnia yake. Kwakifupi anakwambia ana maisha mazuri sana kupitia kujisomea tu kwakuwa ana solve problems nyingi sana.
Mathematics is a sacred knowledge
 
Nin haja ya kujua namba kiasi hiko na unaishia kujenga tu nyumba? Maana kama nyumba hata ambao hawajasoma vitabu wanazo zaidi ya hapo. Nazan wote ni utumwa kusoma vitu vya watu hata kuongeza elimu. Njia bora iliyobaki ni kutuminisha uwezo wako hadharan kwa vitendo na kufanya yale wanaojua hesabu walifanya. Tengeneza formula zako au zilizopo boresha au saidia kwa lolote vile watu wajue hesabu. E=mc2 aliwah kusema kujuwa kama unawezo mkubwa ni pale unaweza mfundisha mtoto wa miaka sita na akakuelewa bila shiida yoyote.
 
Hahaha, mleta mada ni muongo sana probably atakuwa na stress ama kabaniwa kuhitimu masomo yake sasa anamaliza stress.

Mkuu katika jambo ambalo haliwezekani ni kusoma vitabu 400 vya wana mahesabu alafu ukakosa angalau 100 vyakukosoa na kwa nature ya uandishi wako lazima ungekuja kuwakosoa humu humu JF.

Mkuu haihitaji kuwa nguli wa hesabu ili ujenge nyumba 3 kwa mwaka mmoja hii argument yako ni kichekesho sana mkuu.

Jambo lililo wazi ni elimu yoyote inahitaji foundation hauwezi ukaponda shule alafu ukadhani utapata elimu bora sehemu tofauti na shule, kumbuka shule inaweza kuwa sehemu maalumu yenye majengo yake au kutoka kwa kiongozi wako wa maarifa.

Nadhani utakubaliana na mimi kuwa kujifunza na kusoma kunahitaji nidhamu.
Mkuu siwezi kupingana na wazo lako bt ukweli unabaki palepale kwamba hesabu ndio mama wa maarifa yote duniani
 
Nin haja ya kujua namba kiasi hiko na unaishia kujenga tu nyumba? Maana kama nyumba hata ambao hawajasoma vitabu wanazo zaidi ya hapo. Nazan wote ni utumwa kusoma vitu vya watu hata kuongeza elimu. Njia bora iliyobaki ni kutuminisha uwezo wako hadharan kwa vitendo na kufanya yale wanaojua hesabu walifanya. Tengeneza formula zako au zilizopo boresha au saidia kwa lolote vile watu wajue hesabu. E=mc2 aliwah kusema kujuwa kama unawezo mkubwa ni pale unaweza mfundisha mtoto wa miaka sita na akakuelewa bila shiida yoyote.
Kaka kujenga nyumba tatu Kali jijini darusalama ndani ya mwaka mkoja only kwa kujua hesabu wewe unaona ni kitu kidogo hicho?
 
Back
Top Bottom