Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,557
- 1,787
Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya mazoezi ya kukimbia barabarani mara kwa mara siku moja tukiwa tunapiga stori na rafiki yangu yeye ni “Dental Specialist” pale Muhimbili akaniambia hadhani kama kukimbia barabarani hasa hizi barabara zetu magari mengi, unavuta punzi ya moshi wa magari, unapisha na magari kwa ukaribu sana ambapo pia sio salama sana mfano ukijikwaa bahati mbaya unaweza angukia barabarani na ukakanyagwa na gari.
Nini maoni yako?
Nini maoni yako?