Observer2010
Senior Member
- Oct 29, 2010
- 195
- 44
Kwenye salun nyingi siku hizi kuna hii huduma ya scrab. Tukiangalia kwa upande wa afya mara nyingi mtu akitoka kunyoa especially ndevu kunakuwa na vijimichubuko flani, baada ya kunyoa akienda kufanyiwa scrab na wale mabinti ambao majority huwa ni mapepe. Sasa kama huyo anayekufanyia scrub ana vijimichubuko mkononi, hv maambukizi ya magonjwa kama ngoma si ni more likely kutokea ?
Wadau tusaidiane katika hili.
Mimi Scrab ananifanyiaga Wife na wewe Makushauri kama ni Mpenzi wa Mambo hayo basi Mwambie wife wako akusaidie
Scrub si mbaya kama unatumia vitu halisia vya kufanya hivyo kama parachichi, ila zile products tunazonunua angalia zimetengenezwa na nini epuka chochote chenye kemikali mbaya kama hydoquinone.. pia scrub usipende kujisugua kupitiliza ifanye kama massage, na usikae nayo sana mwilini isizidi dk 5.
scrub ya wapi?
usoni mdau, kwani kuna nyingine?
Yah zipo scrub za mwili mzima,za miguu na za uso!
unamanisha nn?Tumia vitu asili kama liwa ni nzuri haina madhara
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mkuu Amavubi,Kuuliza si ujinga ndugu zangu wana JF, kufanya scrub kuna shida yoyote kiafya?
King'asti, asante kwa hii, hiyo sea salt inafanywa wapi?.Pasco, epuka wizi, nenda kwa professionals. Na wasiwasi wangu wa huko knondoni na sinza ni usafi. Hiyo process ya exfoliation inafungua pores zote na ni rahisi sana kupata infections. Na katika ulivyovitaja hapo, umesahau sea salt scrub. Asante kwa somo zuri rafiki.