Kufanya scrub kuna shida yoyote kiafya?

My Learned Brother Pasco, Thanks a lot, kumbe na huku umebobea? BM nilishakwenda pale wako vizuri sema tatizo huenda liwe MFUKO STREET, inabidi uwe vizuri kwenda pale vinginevyo utajikuta unapepesa macho, kuna siku karibu nikose mechi ya watani, walikunguta pochi haswa -ukitaka uzuri sharti udhurike
 

sea salt scrub? mh.....funguka kingasti
 
Must be everywhere nadhani? Mimi najua shoppers plaza first floor, kuna wafilipino flani. Am kwa maznat mikocheni
Japo mimi sio mtu wa scrub ila nafanya dana massage, hivyo kwa hap Wafilipino, nikakwenda kwa hilo. Maznat sio kwa wadada tuu na haswa maharusi?!.
P.
 
wapo na Wafilipino madada?
Scrub zote na massage zote hufanywa na wadada!. Kama unatumia massage, nenda Girraffe kuna wadada Wachina, wanafanya massage "zote!" ikiwemo reiki, thai, prostate, sensual etc, wewe tuu!.
P.
 
Aisee........:crying:
 
Kweli haya mambo ni mambo ya cultural differences.

Huko kwingine wanaume kuzungumzia tu mambo ya kufanyiwa scrub tayari utaitwa gay.

Na kusema ukweli kukuta mwanaume anafanyiwa scrub (mara yangu ya kwanza kusikia wanaume wanafanyiwa hivyo ni Tanzania) ni adimu. Na kama akiwepo basi ni gay.

Kwa hiyo bongo wanaume kufanyiwa hayo mambo ndo fasheni au ndo mambo ya status hayo?
 

pale bm kwakweli ni hatari, mara ya mwisho niliingia VIP basi baada ya huduma zote nikapewa bill ya 70, 0000/= nilichoka mwenyewe kwakweli. wamekaa kiujambazi tu kwakweli na kwa vile watu wenye ujiko hapa mjini ile ndio salon yao kwakweli itabidi sasa hivi nihamie saloon za sinza.
 

kwani wewe kwenu ni wapi? na umezaliwa wapi? bongo kuna masaji mpaka ya mboo kama ulikuwa hujui.
 
Yes BM kweli warefu ila kuna classes pale ukiingia VIP ndio lazima utakamuliwa, ila ikitokea siku uko vizuri kiuchumi, lipia huduma inaitwa sikumbuki nini nini ila mwisho inaishia na neno "De Capicin" inalipiwa TZS 250,000 ila you won't regrate!.
Pasco
 
...and your point is....?

si lazima kila wanachokifanya wao na sisi tufanye na si lazima wasichokifanya wao basi na sisi tusifanye. assume tu kwamba na sisi tunauwezo wa kubuni, kama miafrika ni mabingwa wa kuiga mbona hawawaigi waskotish kuvaa sketi?
 
si lazima kila wanachokifanya wao na sisi tufanye na si lazima wasichokifanya wao basi na sisi tusifanye. assume tu kwamba na sisi tunauwezo wa kubuni, kama miafrika ni mabingwa wa kuiga mbona hawawaigi waskotish kuvaa sketi?

Alrighty then. Knock yourself out.
 
napenda kujifunza mambo ya masj na scrub nimfanyie mpendwa wangu tunanunua tu vifaa na hizo components nadhani mkiwa na nyumba kubwa mnaweza mkatenga chu,ba kimoja kiwe cha masaji na scrub na kugegedana maana hayo mambo mwisho wake ni mbaya
 
Scrub zote na massage zote hufanywa na wadada!. Kama unatumia massage, nenda Girraffe kuna wadada Wachina, wanafanya massage "zote!" ikiwemo reiki, thai, prostate, sensual etc, wewe tuu!.
P.

salaaaale, una idea na bei zao hasa hiyo ya sensual?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…