Kufanyike nini sasa ili Hayati Magufuli achukiwe na wote? Naona waliokuwa wanamchukia wanabaki kuwa walewale

Kufanyike nini sasa ili Hayati Magufuli achukiwe na wote? Naona waliokuwa wanamchukia wanabaki kuwa walewale

Mmekuwa walalamishi kama watoto wadogo
Wezi walioiba CCM na Serikalini ndio vinara wa kumsema vibaya Magufuli.Mungu yupo hajafa

Wezi wa mali za CCM na waliokwapua Pesa za umma kwa njia mbalimbali ziwe za moja kwa moja au tenda sasa hivi ndio vinara wa kuponda marehemu Magufuli

Wanaweza kujifanya kujisafisha waonekane wazuri mbele ya wananchi kwa laghai zao wakati ni uozo mtupu

Wakumbuke kitu kimoja Mungu hajafa kama Magufuli yuko hai anajua uovu wao vizuri sana na anajua cha kufanya

Waweza laghai wananchi na wakamdhihaki sana marehemu Magufuli huku wakikenua meno ila wakumbuke kitu kimoja Mungu.yuko hai hafi leo wala Kesho ambaye halaghaiwi wala hadhihakiwi na ndie mshika hatima za leo na Kesho na za kizazi vyao vya leo na Kesho.Awezae kujua awafanyie nini majizi na walaghai na vizazi vyao vya leo na Kesho

Kifupi wezi wote na walaghai mnaojitia kumponda Magufuli kesi zenu tunamwachia Mungu
 
Tusifichane,

Imebaki kuwa wale wale wenye chuki na Hayati JPM, tena ni wale wale ambao yeye aliwaita wakwamishaji wa maendeleo ya nchi, na aliwashughurikia kisawasawa

Waliokuwa wakila pesa za walipakodi Kwa mgongo wa wafanyakazi hewa, ndio hao hao wana chuki naye mpaka leo, kwa sababu mirija yao ilizibwa!

Wenzangu na Mimi waiba majina ya watu ili tu waajiriwe bila kupita shule, ndio hao hao wameendelea kumchukia, lakini majuzi kuna rafiki yangu mmoja alimshukuru JPM baada ya yeye kutimliwa akiwa na cheti feki kipindi hiko, aliamua kuingia shule kwa hasira, amehitim majuzijuzi na akaajiriwa idara ya Maji Dawasa, alimshukuru saana JPM kwa kumfanya awe na elimu bora.

Wale waliokuwa wakishirikiana na mabeberu ili kukwamisha ujenzi wa Bwawa la Umeme Rufiji na mazungumzo ya wamiliki wa migodi mbalimbali nchini ndio hao kila leo kelele na bahati mbaya wako mpaka huko juu, na ndiyo maana hata mradi huo hauendi utadhani anayekomolewa ni JPM, kumbe tunakomolewa wananchi! Hizo hasira zingine hazifai bhana.

Mashoga wenyewe wanajulikana, bishara zao walizifanya kwa taaabu mno kiasi kwamba wakaingia kinyongo na JPM.

Hata hivyo, Raia wema na wapenda nchi, wote walimwelewa huyu mwamba na bado wako upande wake lije jua au inyeshe Mvua, wataendelea kumtetea kila kunapotokea uhuni.

Na cha kushangaza, hao hao 2025 wataomba kura kwa kutumia jina na mifano yake ya uchapa kazi!
Katika Dunia/maisha hakuna kitu chochote kinachochukiwa na kila mtu hata kiwe Cha hovyo kiasi kama Magufuli vile!

Wanyiha wa Songwe wana kamsemo kao kwamba: "One man's terrorist is another man's freedom fighter"!

Sisi tunaomchukia Magufuli with a passion tunatosha, Masukumagang na mazuzu hata ufanye nini hawajielewi, tuwaache waendelee kumpigia makofi after all limeshakufa, tutachukia limzoga linateketea jehanamu huko milele mpaka lini? haina tija!
Tuliache liendelee kuungua limzoga lake! [emoji848]
 
Katika Dunia/maisha hakuna kitu chochote kinachochukiwa na kila mtu hata kiwe Cha hovyo kiasi kama Magufuli vile!

Wanyiha wa Songwe wana kamsemo kao kwamba: "One man's terrorist is another man's freedom fighter"!

Sisi tunaomchukia Magufuli with a passion tunatosha, Masukumagang na mazuzu hata ufanye nini hawajielewi, tuwaache waendelee kumpigia makofi after all limeshakufa, tutachukia limzoga linateketea jehanamu huko milele mpaka lini? haina tija!
Tuliache liendelee kuungua limzoga lake! [emoji848]
Unaushahidi juu ya hili! Au leo umejivika ushetani huko jehanam ukiongoza jahazi
 
Back
Top Bottom