Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
- Thread starter
- #21
Unajua si kwamba nakukwepa ila nataka epuka kuwa derailed kirahisi kutoka ktk lengo la msingi.Ingekuwa vyema kama ungechangia haraka kuhusu typing erros halafu ukawahi ktk lengo la msingi.Hapana, ni wewe umekuwa mjinga katika mambo serious. Unakandya mmomonyoko wa elimu na maadili kwa post iliyomomonyoka mpaka spelling! Do you really mean what you write? When you come come correct or not at all.
That's where you are wrong. Nini ni "minor things"? Presentation ni "minor things"? Presentation is not minor at all, some would give presentation the same importance as content. What you write is as important as how you write it. Kuna watu watakuangalia unavyochapia tu spelling watasema "huyu hajui anachoandika". Utashindwa mawasiliano.
Sasa wewe nawe unalaumu wa divison four na zero?
Backlog ya ujinga tuliyo nayo unaionyesha wewe, unayekuja hapa kukandya ujinga kwa kutumia ujinga. Yani hata vinara wa kupiga vita ujinga wanatumia ujinga kupiga vita ujinga.Hilarious. I couldn't even read some of your earlier posts.
Wapi nimehalalisha uozo? Nionyeshe hapa, ama nitake radhi.
Comprehension please. Halafu wewe ndiye unalaumu mfumo wa elimu, wakati mwenyewe hujiwezi.
Huwezi kutofautisha mtu asiyetaka ujinga so much, kiasi kwamba hata anaposikia ujinga unapigwa vita kwa kutumia ujinga atasema, na mtu anayetetea ujinga. Do you know the vast difference between the two?
Watoto wengine wakiwa "wamezaliwa na kunisikia" watajifunza kwamba hutakiwi kupost bila kuhakikisha spelling zako ziko correct. It is inconsiderate, it is selfish, it is wrong, it is ignorant.
Kati yangu mie ninaesisitiza uandishi makini na wewe unayekwenda harijojo kuliko yoyo lililovunjika nani anafanana na vilaza hao?
Wewe ni mtu wa kuongea maadili ya taifa wewe? Maadili ya kuandika kwa correct spelling tu yamekushinda, unatatiza wasomaji, halafu unataka kurukia maadili ya taifa? Hilarious.
Haya pata wewe wafuasi walio intellectuals basi, waandike kwa hati kama yako. Huwezi kuchukuliwa seriously na hao "wafuasi" watakaokuwa intellectuals hapa kama kuandika sentensi iliyonyooka tu kunakuwia shida.
Lakini wengine hawa spellcheck posts zao, licha ya kuwa na macho.
Hembu ndiyo mdudu gani? Ndiyo lugha ya u intellectual hii unayoisema? Kiingereza tutasema lugha ya mkoloni, Kiswahili je?
Wajibika? Unaweza kuniambia niwajibike mimi wewe? Ungejua kuwajibika ungeanza mwenyewe kuwajibika kusahihisha spelling mistakes (Im talking on a massive scale here) kabla ya kukimbilia kwangu.
Niachie thread iendelee kwani nimeizua wapi? Mie Mod hapa? Comprehension please!
Hapana, wewe unayeleta uharo wa maandishi hapa ndiye mwenye kukomalia ujinga.
JK hanijui simjui, sina association na watu kama yeye, itabidi afanye kazi ya ziada kuingia kwenye circle yangu. Nishaalikwa na wapambe wake kwenda kumsalimia in a family setting nikatoa nje, sasa sioni kwa nini nijipendekeze hapa JF ambapo tunatumia majina anonymous.
You do not know the meaning of Radical.Kuwa radical ni lazima u communicate kitu radical, wewe huna kipya halafu unakiandika kwa style ya uharo, radical my foot.
Siina nia ya kuku silence wewe, nipate faida gani.
Mimi nataka kumaliza huu upuuzi wa kutumia ujinga kujifanya unapiga vita ujinga.
Learn to write a straight sentence first, then you can say what you want to say.
Wewe hujajua kuandika unataka kujiita radical, radical wa nini, uharo?
Au ungeanzisha threat ya kuongelea haya ili tukapeane majibu huko.Ila hapa nilishakuambia ni kuchafua thread.Ni kujionyesh ajinsi unavyoogopa mwanga, umezoea giza.So what is your intention.kM ni point naweza kupa ili upishe wengine waongee amabo yenye maana.
Wenzako wamelinda uovu na ujinga na wakaumia na baadaye wakapewa ujira.maisha yao yote wataumia wakijiangalia, na kujikuta bado wanamatumiakia aliayechezea miili yao, si bora mimi nipoteze uhai bila ku give in ktk ujinga ?
Kiranga nipo serious kuliko unavyodhani.Sasa unaniambia nini hapa?Kuwa nipo sahihi ujinga haupigwei vita na ujinga?Pengine ungerudia hotuba ya msigwa bungeni kuhusu ujinga, halafu kma dini yako inakuruhu pia soma "kauli ya Yesu kuhusu Shetani na utawala wake pale watu waliposema kuwa anatoa people kwa jian la people" Ujinga logically hauwezi toa ujinga .Sababu ni rahisi.:
-Ujinga nao unafight for survival.
-Pia ujinga hauwezi jibeba na kujiondoa.Apply Newtonian laws of physics.There should an external forces kusaidia kitu kubadili state of mortion au give a restin object a motion.
Tafuta msaada, hata huta achieve kitu zaidi ya ku demonstrate nilichosema.