Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
- Thread starter
-
- #41
First of all ghadhabu ikiniona yenyewe inapata gadhabu kwa sababu haiwezi kunifikia.
Kwa hiyo kama kweli unataka kunipa respect, futa kauli ya "kunitoa gadhabu".
Umeanza cyclic reasoning tena ndugu yangu.Nilijua nikiswitch ghafla hutakuwa na jipya.Utatafuta sababu nyingine ili nianze kutongoza kujibu mambo mepesi sana ambayo nilidhani utakuwa ukiyajua ndio maana umepoteza muda sana kujaza junks humu.Huna tofauti na magamba na vile vizee vichawi ktk miji vinavyoitwa vizee vya chama huwa vitaishi kwa threat, na kudaia vinajua historia kwa hiyo dunia isitembee bila wao.Ho back to hell.
Kukupa respect ni kukuoa nafsi ujieleze na si kuku appease wewe mtu, sasa naona umeshaanza bweteka na kudai an extra inch.Zaidi unazidi thibitisha kitu ambacho unakitafuta.Hizi predatory Behaviours kwa ajili ya kulinda magamba hazitawasaidia sana.Sasa mnataka ifanya JF kuwa TBC?Fanyeni kazi kwa bidii.
TBC imebaki skeletoni tuu sasa hivi.Utadhani Hata hawavumi ya enzi hizo ITV ilikuwa juu kuliko kila kitu cha TBC ya leo