ningekuwa na uwezo ningemuamsha marehemu mobutu seseseko kuku wa zabanga aje amuelezee jamaa jinsi
waswisi walivyomnyima visa ya kuingia uswiss kufuata pesa na mali yake. hatimaye mobutu ilibidi akahifadhiwe morocco.
Na zilikuwa zake lakini za wizi, ukinipa kitu cha wizi nikufichie huna haki ya kisheria kukidai, kukurudishia itategemea huruma yangu tuu
Mara zote watu wanafikiri hizi ni stori za kufikirika na kwamba ni kitu kisichowezekana, lakini watu wamepigwa za uso na waswisi na bado wataendelea kupigwa
Ishu ya Escrow kulikuwa na uwezekano kabisa wa kwenda kufanyia ile miamala Uswisi ambako hakuna kelele wala hatari ya kujulikana kwa urahisi, lakini wanajua fika nini kingetokea! Hivyo wakaamua kujitoa ufahamu na kujilipua hapahapa nchini LIWALO NA LIWE lakini kila mtu achukue chake hapahapa
NB:Nazungumzia ile miamala mikubwa kuanzia USD million moja
In May 2014, Rostam Azizi sold a 17% stake in Vodacom Tanzania, the country's largest mobile phone operator, to South Africa's Vodacom Group for $250 million. He still owns nearly 18% of Vodacom Tanzania through Cavalry Holdings, an investment company registered in Jersey, a known tax haven. His other assets include Caspian Mining, the largest contract mining firm in Tanzania, which performs work forMore »Waswisi ni wezi werevu, wanaishi kama peponi kwa pesa za wezi na kuhalalisha wizi wao wamejitungia sheria za kujilinda na kubariki wizi huo.
Wana mabilioni ya dola wanayafanyia biashara na miamala mbalimbali huku wamiliki wao wakiwa kimya tuli kabisa, hawaulizi kuhusu riba wala faida itokanayo na mapesa yao! Wataanzia wapi nao ni wezi?
Mtu anayesumbukia pesa yake, mfanyabiashara mwenye biashara zake halali kamwe hawezi kwenda kuficha pesa zake kule! Anajiamini kazipata kwa halali.
Waswisi wajanja wana utaratibu mzuri na salama sana unapotaka kuwapelekea pesa za wizi, hawashindwi kukodisha ndege kufuata mzigo popote ulipo, customer care yao ni nzuri sana kwenye hilo! Lakini kimbembe ni siku utakapotaka kuzichukua, utaambiwa kuna sheria za kimataifa za kusafirisha pesa utapewa utaratibu mno na wenye gharama kubwa wa kutoa hizo pesa
Pesa nyingi huishia mikononi mwao, ni pesa ya wizi kwahiyo hata kuhifadhi kwake ni kwa siri
Pesa ya Uswisi Haina mrithi
Signatory ni mmoja tu (muwekaji)
Haina mashahidi
Hizi pesa nyingi huishia huko huko kama mmiliki akifa au akifungwa
Na ikitokea nchi husika ikajua kuwa kiongozi/viongozi wake wameficha hela huko na wakadai hiyo hela utaratibu wake was kuipata nao ni mgumu mno tuneyaona kwa Sani Abacha wa Nigeria na wengineo
Hapa nchini tunaambiwa kuna watanzania kama mia hivi wameficha mapesa Kule! Hao imekula kwao nyingi zitaishia huko! Na hakuna mtu mwenye uwezo wa kwenda kuzirudisha ni porojo za kisiasa tuu
In May 2014, Rostam Azizi sold a 17% stake in Vodacom Tanzania, the country's largest mobile phone operator, to South Africa's Vodacom Group for $250 million. He still owns nearly 18% of Vodacom Tanzania through Cavalry Holdings, an investment company registered in Jersey, a known tax haven. His other assets include Caspian Mining, the largest contract mining firm in Tanzania, which performs work forMore »
Sometimes wanaweka hela nje legally,bongo makodi kibao
SAFI SANA,,,,,,,Dhulma huwa mwisho wake ndo huo!!!ningekuwa na uwezo ningemuamsha marehemu mobutu seseseko kuku wa zabanga aje amuelezee jamaa jinsi
waswisi walivyomnyima visa ya kuingia uswiss kufuata pesa na mali yake. hatimaye mobutu ilibidi akahifadhiwe morocco.
TUMSAMEHE BURE. hao ndiyo WATZ wezi wanatetea wizi wao. Mtu aliyechuma hela yake kihalali hawezi ihifadhi Uswisi kwenye masharti magumu namna hiyo. wezi wa mali za umma huwa nio wakali. Nadhani unakumbuka jinsi walivyopambana kuhakikisha wanahalalisha wizi wao mpaka kwenye ile katiba ya Chenge na SitaTokyo40 tuonyeshe weledi na hekima zetu katika kuchangia, tuepuke kutumia lugha ngumu na za kuudhi
Acha porojo, mkulima gani wa kahawa/chai/mahindi ataweka pesa zake Uswizi kunakonyima wanafamily urithi? Msitufanye mazuzu, ndiyo maana tunadharaulika, kwa ujinga huu. Halafu kesho asb, unaenda na bakuli kuomba msaada huko. Kama busara yako ndiyo iko hivi, ni moja ya hasara kwa nchiNimekuelewa Mkuu. Lakini mtu akinitusi kikanzu narudisha kombora mara mbili. Hii ni tabia yangu. Sina panic ya aina yoyote. Ninajiamini na ninachokiandika kila siku hapa.
Kila mtu anajifunza kitu hapa lakini kuna tabia ya wengi JF kukimbilia kuwaita watu wahujumu uchumi au mafisadi bila ya kuthibitisha. Inakera sana.
Acha porojo, mkulima gani wa kahawa/chai/mahindi ataweka pesa zake Uswizi kunakonyima wanafamily urithi? Msitufanye mazuzu, ndiyo maana tunadharaulika, kwa ujinga huu. Halafu kesho asb, unaenda na bakuli kuomba msaada huko. Kama busara yako ndiyo iko hivi, ni moja ya hasara kwa nchi
Acha porojo, mkulima gani wa kahawa/chai/mahindi ataweka pesa zake Uswizi kunakonyima wanafamily urithi? Msitufanye mazuzu, ndiyo maana tunadharaulika, kwa ujinga huu. Halafu kesho asb, unaenda na bakuli kuomba msaada huko. Kama busara yako ndiyo iko hivi, ni moja ya hasara kwa nchi
Hatuzungumzii benki za kimataifa, twazungumzia Benki za Uswisi. Kiukweli kuweka pesa nchi za nje, ni ujinga wa Kitanzania. Rais wa Marekani hana akaunti huku Bongo. Ni ujinga tu, kujenga taifa la mwenzako huku la kwako likibaki ombaomba.mwakaboko,
Nilijua tu hutaweza kuleta kithibitisho cha wanafamilia kunyimwa urithi kiatika benki za Uswisi.
WEWE ndio mwenye porojo na hadithi za vijiweni.
Ukipenda kujua jinsi wanafamilia wanavyoweza kupewa urithi wao katika benki za kimataifa, niulize tu, nitakufahamisha process BURE.
Waambie wazi wazi labda wataelewa, ni ujinga unaharibu kwenu unahamia kwa wenzako waliojenga kwao.Wewe jamaa una akili sana. Contrary hao wanoficha pesa huko wana ujinga uliotukuka, yaani ni bora ufungue akaunti hata 200 kwenye nchi tofauti tofauti then uwe unawekeza kidogo kidogo kwenye miradi nchini kwako ili nao wainuke kiuchumi, yaan roho mbaya tu!
Hatuzungumzii benki za kimataifa, twazungumzia Benki za Uswisi. Kiukweli kuweka pesa nchi za nje, ni ujinga wa Kitanzania. Rais wa Marekani hana akaunti huku Bongo. Ni ujinga tu, kujenga taifa la mwenzako huku la kwako likibaki ombaomba.
Jamaa wako very strategic. Wana pesa yako, afu wanakunyima VISA! Daah, lazima ufe kwa pressure ama uwehuke!ningekuwa na uwezo ningemuamsha marehemu mobutu seseseko kuku wa zabanga aje amuelezee jamaa jinsi
waswisi walivyomnyima visa ya kuingia uswiss kufuata pesa na mali yake. hatimaye mobutu ilibidi akahifadhiwe morocco.