Kuficha pesa Uswisi, ujinga wa kiwango cha juu

Jamaa wako very strategic. Wana pesa yako, afu wanakunyima VISA! Daah, lazima ufe kwa pressure ama uwehuke!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mazafanta zao wote wanaoficha ela huko
 
Nina mfano halisi. Nina marehemu babu yangu alikabidhiwa mashamba na matrekta kadhaa, na kigogo mmoja wa Serikali mwishoni mwa utawala wa Mwl, kilichotokea! Babu alimzima yule mh mazima!
 
Nina mfano halisi. Nina marehemu babu yangu alikabidhiwa mashamba na matrekta kadhaa, na kigogo mmoja wa Serikali mwishoni mwa utawala wa Mwl, kilichotokea! Babu alimzima yule mh mazima!
Hakuna maandishi ya kumfunga wala kumdai
 
Hakuna. Na Mh hakwenda mbali coz babu alikuwa "mzee wa msikiti". Na mpk leo Mashamba yapo, tumeyarithi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
 
Ulichoongea ni ukweli mtupu, kuna habari nimepitia kuna kipengere hiki

Now Switzerland, Nigeria and the World Bank have agreed the funds will be repatriated via a project supported and overseen by the World Bank, the Swiss government said.

Nimecheka sana, yaani wanataka kuwalipa Nigeria kwa miradi badala ya pesa taslimu
 
Faida juu ya faida
 
ni sawa tu na hawa jamaa zetu wanajifanya wanamiliki vyombo vya habari ilhali ni washenzi na wauaji na wauzaji wa madawa na majambazi wakuu wa hii nchi...... NAJIULIZAGA SANA KWA NINI HAWA WATU TUNAWACHEKI TU.
 
PUTIN: AFRIKA HAITOKAA IWE HURU

"Afrika haitokaa iwe HURU. Waafrika wanawaamini Wazungu, Wamarekani na Wachina zaidi kuliko wanavyojiamini wao wenyewe....hawajiamini wao wenyewe hata kidogo.

Mzungu au mtu mweupe anafanya makosa Afrika tena makosa ya jinai ila hakuna hatua za kisheria zitakazochukuliwa dhidi yake kwa sababu mamlaka za Afrika zinatutazama sisi weupe kama miungu, jambo ambalo liko mbali sana na ukweli.

Mtu mweusi (Mwafrika) anaweza kuteswa, kunyanyaswa na hata kuuawa kinyama Ulaya lakini hakuna mamlaka yoyote ya Afrika inayoweza kuuliza wala kuhoji.

Waafrika wamejikubali na kuamini kuwa wao ni watu DHAIFU wasio na tumaini haswa linapokuja suala la kupambana na Wazungu, Wamarekani na Wachina. Mzungu, Mmarekani au Mchina anaweza kumdhalilisha, kumtukana, kumpiga na hata kumuua Mwafrika katika ardhi ya Afrika tena kwenye nchi yake au nje ya Afrika na Viongozi wa Afrika wataliona hilo na kila mmoja atajiweka kana kwamba hakuona wala kusikia.

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika. Mwafrika mpe silaha, pesa au ahadi ya madaraka madogo tu kwa sharti moja tu la kumuua Mwafrika mwenzake, atamuua kinyama kuliko ulivyotarajia. Adui wa Mwafrika sio mzungu, sio Mmarekani wala sio mchina. Adui wa Mwafrika ni AKILI na fikra zake na ndio maana leo Wazungu, Wamarekani, Waarabu na Wachina wameitawala tena Afrika kwa kutumia dini, Elimu, uchumi, teknolojia, siasa na utamaduni.

Waafrika ni watu wanaochukiana na wasioaminiana na ndio maana Afrika haiwezi kuungana na haitokaa iungane kuwa na dola imara. Chuki ya wenyewe kwa wenyewe na utengano ndio inayowapa wakoloni wao nguvu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Afrika."

Je unakubaliana na Rais Vladmir Putin?
Je ni kipi unaweza kuongeza kuhusu Afrika?

Quote
 

Attachments

  • Screenshot_20200525_004117.jpg
    89 KB · Views: 7
Watawala wa kiafrica wote sawa wa Congo anaiba Congo anaficha Zimbabwe wa Zimbabwe anaficha Congo wa Uganda anaficha sudani wa sudani anaficha Angola.mugabe alijenga mahekalu Malaysia,hongkong,uk Leo amekufa hayana faida kwa Zimbabwe,kila mtawala akipata nafasi anatamani awe tajiri wa dunia kwa wizi.Do Santos kaiba kafichia kwa binti yake,nusu ya ardhi ya Kenya inamilikiwa na familia ya odinga,moi,na Kenyatta,wanashindana kupora Africa utadhani wataishi milele.Kaburu Botha alisema wape madaraka watahamisha hazina ya nchi kwao,hawana uwezo binafsi wa kujiongoza.Kila mtu ni mwizi akiingia uponda ya mtangulizi wake uanzisha miradi mipya hata isiyo na tija mradi tu apige 20%.Lkn ukuweza sikia watawala wa kikoloni mfano kina Ian Smith,kaburu Botha, leopard,nk wamejilimbikizia Kodi za wananchi au kujenga makasri mahekalu au kuishi kifahari Kama walivo hawa wakoloni weusi kina zuma, Mugabe,mobutu,Abacha,yaani wanatamani pesa zote ziwe zao hata wengi wafe njaa watawala Wana kiwango cha juu cha extremely inner selfness.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…