Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina mfano halisi. Nina marehemu babu yangu alikabidhiwa mashamba na matrekta kadhaa, na kigogo mmoja wa Serikali mwishoni mwa utawala wa Mwl, kilichotokea! Babu alimzima yule mh mazima!Na zilikuwa zake lakini za wizi, ukinipa kitu cha wizi nikufichie huna haki ya kisheria kukidai, kukurudishia itategemea huruma yangu tuu
Mara zote watu wanafikiri hizi ni stori za kufikirika na kwamba ni kitu kisichowezekana, lakini watu wamepigwa za uso na waswisi na bado wataendelea kupigwa
Ishu ya Escrow kulikuwa na uwezekano kabisa wa kwenda kufanyia ile miamala Uswisi ambako hakuna kelele wala hatari ya kujulikana kwa urahisi, lakini wanajua fika nini kingetokea! Hivyo wakaamua kujitoa ufahamu na kujilipua hapahapa nchini LIWALO NA LIWE lakini kila mtu achukue chake hapahapa
NB:Nazungumzia ile miamala mikubwa kuanzia USD million moja
Hakuna maandishi ya kumfunga wala kumdaiNina mfano halisi. Nina marehemu babu yangu alikabidhiwa mashamba na matrekta kadhaa, na kigogo mmoja wa Serikali mwishoni mwa utawala wa Mwl, kilichotokea! Babu alimzima yule mh mazima!
Hakuna. Na Mh hakwenda mbali coz babu alikuwa "mzee wa msikiti". Na mpk leo Mashamba yapo, tumeyarithi.Hakuna maandishi ya kumfunga wala kumdai
Ulichoongea ni ukweli mtupu, kuna habari nimepitia kuna kipengere hikiPesa ya Sani Abacha dola za marekani zinazozidi 250milioni zilikuwa kule, Gaddafi wa Libya ana mapesa yake kule mengi sana mtoto wa Wade naye pia anazo zinazofikia usd 220 hawa wote imethibitika pasi na shaka kuwa pesa ni zao, lakini serikali zao zimekuwa na wakati mgumu kuzidai au kurudishiwa
Uswisi wameweka taratibu ngumu mno, ni pesa ambazo hazina mrithi wala mirathi, wanazifanyia miamala wannazifanyia biashara wanapata faida kubwa lakini mwenye nazo hafaidiki chochote sanasana analipia gharama ya kuzitunza
Na inapotokea wakaamua kuzirudisha kwa serikali husika sio cash bali huzirudisha kwa njia ya miradi mbali mbali kama Barbara elimu na afya na makandarasi hutafutwa na wao wenyewe, mwisho wa Siku bado faida kubwa hurudi kwao, mradi ambao kwa mfano ungegharimu USD laki5 wao huleta makadirio ya milioni
Tunaitajirisha uswisi kwa rohombaya zetu na uchoyo uliopitiliza, Wananchi wetu wanakufa kwa kukosa huduma muhimu viongozi wanakimbizia mabilioni uswisi kuyaficha
Faida juu ya faidaUlichoongea ni ukweli mtupu, kuna habari nimepitia kuna kipengere hiki
Now Switzerland, Nigeria and the World Bank have agreed the funds will be repatriated via a project supported and overseen by the World Bank, the Swiss government said.
Nimecheka sana, yaani wanataka kuwalipa Nigeria kwa miradi badala ya pesa taslimu