Kuficha pesa Uswisi, ujinga wa kiwango cha juu

...Inauma. Pesa ambayo ingewasaidia kwa namna Fulani wanaijeria wanayohusika nayo imeishia kueasaidia Waswisi...kwa sababu tu ya Ujinga na Uroho wa Viongozi wake!
Hivi kwa nini we we no kiongozi unayefanya mema kwa wananchi unaowaongoza kwa nini had I ufikie pa kujiona kuwa una Haki ya kuwaibia Wananchi wako na kutunza hela za wizi wako kwenye Mabenki ya Nje??
 
Hii in Uzi Mzuri sana hapo unaoumiza sana, Mkuu Mshana.
Nitakushukuru sana ukiufanya Mwema zaidi ukitueleza baadhi ya mitihani ambayo Mficha hela anayokumbana nayo Akitaka kudraw kwa mfano dola Milioni Moja take mwenyewe aliyoificha huko...ama tabu inaanza tu pale anapokufa?
 
Dah nimemkumbuka putini aliwahi kusema waafrika benki yao ni uswisi ,wanajenga USA,wanawekeza uk ,matembezi ni France ila wakifa wanazikwa afrika kwaiyo afrika ni makaburini inashangaza Sana.
 
Waulize wote walioficha kule kama waliweza ku draw hata dola laki 5 kwa mara moja...
Kuweka vigezo ni rahisi sana...! Nenda katoe sasa zittatumika taratibu zote za bank pamoja na IMTA (international money transfer act)
. Ni lazima ustate unaenda kuzifanyia nini
. lazima kuwe na mtu unayefanya naye biashara
. ni lazima kuwe na kitu kama proforma invoice
. ni lazima kuwe na kiwango maalum
Hapo ndipo wengi hugundua wamepigwa
Huwezi kufanya manunuzi makubwa wakati huna background ya biashara
Huwezi ku draw cash halafu ukaondoka nayo.. Kuna sheria za kimataifa za kiwango cha kutembea na cash
mbaya mbaya zaidi zile pesa hazina mrithi

Jr[emoji769]
 
Dah nimemkumbuka putini aliwahi kusema waafrika benki yao ni uswisi ,wanajenga USA,wanawekeza uk ,matembezi ni France ila wakifa wanazikwa afrika kwaiyo afrika ni makaburini inashangaza Sana.
Uswizi: Mali za mtoto wa Rais wa Equatorial Guinea kupigwa mnada - JamiiForums

Jr[emoji769]
 
Sasa hapa mimi ninaona kama waswisi ni wazuri kwa yule aliyeibiwa na ni wabaya kwa yule aliyeiba! Maana kama wangelkuwa na utaratibu mzuri kwa aliyeiba, tungekuwa hatuna kitu sasa hivi, maana wezi wawili tu wanaweza wakafilisi Nchi milele. Waendelee na utaratibu huo kutusaidia sisi wanyonge ili tusiwe tunaibiwa kirahisi
 
...Ukweli unaomiza Sana kwa Wana wa Nchi...lakini unaooneka kutowaumiza ama japo kuwafikirisha tu Viongozi wake Kiafrika. [emoji848][emoji848]
 
Wangetusaidia sasa tukidai chetu michakato isiwe mirefu na yenye gharama kubwa

Jr[emoji769]
 
Wangetusaidia sasa tukidai chetu michakato isiwe mirefu na yenye gharama kubwa

Jr[emoji769]
Hivi zile Mali za Mugabe zilizopo Malaysia, UK na hongkong na za mobutu zilizopo ubelgiji,France na Swiss yakifa haya madikteta huwa zinakuwa Mali za watoto wao au za nchi.
 
Hivi zile Mali za Mugabe zilizopo Malaysia, UK na hongkong na za mobutu zilizopo ubelgiji,France na Swiss yakifa haya madikteta huwa zinakuwa Mali za watoto wao au za nchi.
Inategemea wamewekeza kwa majina ya nani na kama wosia unasemaje... Ninachojua ni zile za uswiss kuwa hazina mrithi

Jr[emoji769]
 
[emoji144][emoji144][emoji144]ila wametuibia

Jr[emoji769]
Hapana, wao hawajatuibia sisi ila tumejiibia sisi wenyewe halafu tukawapeekea wao watutunzie. Kwenye sheria za Nchi yetu kwa mfano, ukiingia mkataba wa kuuziana bang na mtui halafu akakudhulumu, ukienda kumshtaki mahakamani unakuwa wa kwanza kufungwa wewe uliyeenda kushtaki mahakamani!
 
Jamaa wana akili sana hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…