Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kipaumbele ni Zanzibar kwanzaKama fedha zinazo katwa kwenye mafuta/petrol ili kuiwezesha Tanroad kujenga barabara zinaenda Zanzibar kujenga miradi na maghorofa watapata wapi pesa za kujenga madaraja ya Tanganyika. Katazame Zanzibar inavyojengwa. Piga hesabu za makusanyo ya Kodi yao ndiyo utajua Tanganyika ni shamba bibi. Itaporwa mpaka iishe na hakuna wa kuitetea. Taasisi za bara zinaharibiwa na kuuwawa makusudi kwa awamu hii.
Kuna haja ya kutazama mwendo tunaouendea, kule mbele tutakwamisha kizazi chetu na kitaba njia panda. Tupaze sauti zetu tunapoweza kuwap viongozi wetu mwelekeo mzuri. Siku raisi akiondoka madarakani anakuwa ametua mzigo wake lakini huo mzigo unabebeka kwa yule anamwachia/Wewe ni mtumishi wa TANROADS sio bure maana una uchungu nayo sana
Kama vyote taasisi hizo zote, zilifanya kazi kwa ufanisi mkubwa , na ghafla zote zinakufa, hatuna sababu ya kulaumu uanzishwaji wake, ila tatizo ni mfumo wa kisiasa kuamua malengo, na miradi kulingana na mtawala anataka nini, wapi na kwa nini. Tungekuwa na mfumo Bora wa vipaombele, katiba, taasisi,, miradi na melengo ya kitaifa, haya yasingeikuta Tanroad au yeyote. Ila kwa kuwa tangu Nyerere aondoke, kila Rais anayeingia madarakani anajichotea mali atakavyo na kufanya lolote atakalo, tutegemee Zanzibar kujengwa kwa pesa za bara kwa miradi mikubwa kuliko Pato lao. Akitoka atakuja mfano wa kusini au magharibi naye anakimbizia miradi huko nk nk nk. Mpaka tuiwekeke sawa Tanganyika, Yesu atakuwa ameisharudi. My dear Tanganyika is collapsing and perishing.Hii nchi ina watu wajinga sn una TANROAD unaanzisha TARURA hapo hapo una TEMESA, ni akili au matope?
Kama Tanroad ilianzishwa mwaka 2000 wakati wa Mkapa, Magufuli anahusikaje ? Kama ilifanya vizuri kwa Mkapa, Kikwete, na Magufuli kwanini ife ghafla leo. Chanzo cha fedha za Tanroad ni tozo kwenye mafuta, na bado ipo na mafuta yanauzwa kila uchao. Fedha za tozo hiyo zinachukuliwa na nani na zinafanya nini ? Tanroad wanaomba fedha mfano bilioni 300 lakini wanapewa bilioni 25, unategemea wafanye maajabu gani kwa pesa kiduchu mlizowapa. Ni sawa na ungeilaumu TRA inakufa wakati makusanyo yao yanapanda kila,tutakuuliza swali rahisi tu. Pesa anazokukusanyia umezipeleka wapi na umezifanyia nini ? Mashirika/viwanda yote wakati wa Nyerere yalihujumiwa makusudi ili kuwanufaisha watu binafsi au wazungu kwa mlango wa nyuma, kama kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi, tipper, kiwanda cha tairi za magari , general tire Arusha nkTANROADS UGANDA (UNRA) imevunjwa mwezi uliopita!
Kimsingi serikali iamue kama inataka hizi agencies na authorities ilizoziunda ziendelee lazima wazipe uhuru (semi autonomy), la sivyo majukumu yarudi wizara mama 💯.
Hili ni zao la sera za mwendazake!
Elewa hoja ya "muundo" aliyoileta mtoa mada, na autonomy niliyozungumzia!Kama Tanroad ilianzishwa mwaka 2000 wakati wa Mkapa, Magufuli anahusikaje ? Kama ilifanya vizuri kwa Mkapa, Kikwete, na Magufuli kwanini ife ghafla leo. Chanzo cha fedha za Tanroad ni tozo kwenye mafuta, na bado ipo na mafuta yanauzwa kila uchao. Fedha za tozo hiyo zinachukuliwa na nani na zinafanya nini ? Tanroad wanaomba fedha mfano bilioni 300 lakini wanapewa bilioni 25, unategemea wafanye maajabu gani kwa pesa kiduchu mlizowapa. Ni sawa na ungeilaumu TRA inakufa wakati makusanyo yao yanapanda kila,tutakuuliza swali rahisi tu. Pesa anazokukusanyia umezipeleka wapi na umezifanyia nini ? Mashirika/viwanda yote wakati wa Nyerere yalihujumiwa makusudi ili kuwanufaisha watu binafsi au wazungu kwa mlango wa nyuma, kama kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi, tipper, kiwanda cha tairi za magari , general tire Arusha nk
Mishahara, magari na majengo? gharama za uendeshaji lazima ziwe kubwa, kwanini tusiwe na ofisi za ujenzi?Kama vyote taasisi hizo zote, zilifanya kazi kwa ufanisi mkubwa , na ghafla zote zinakufa, hatuna sababu ya kulaumu uanzishwaji wake, ila tatizo ni mfumo wa kisiasa kuamua malengo, na miradi kulingana na mtawala anataka nini, wapi na kwa nini. Tungekuwa na mfumo Bora wa vipaombele, katiba, taasisi,, miradi na melengo ya kitaifa, haya yasingeikuta Tanroad au yeyote. Ila kwa kuwa tangu Nyerere aondoke, kila Rais anayeingia madarakani anajichotea mali atakavyo na kufanya lolote atakalo, tutegemee Zanzibar kujengwa kwa pesa za bara kwa miradi mikubwa kuliko Pato lao. Akitoka atakuja mfano wa kusini au magharibi naye anakimbizia miradi huko nk nk nk. Mpaka tuiwekeke sawa Tanganyika, Yesu atakuwa ameisharudi. My dear Tanganyika is collapsing and perishing.
Goodbye TANROADS, killed by Awamu ya 6.Taasisi nyingi za serikali zinapitia vipindi vigumu, ikiwa ni pamoja na changamoto mbili kuu: uhaba wa fedha katika kutekeleza majukumu yake na kuacha misingi ya kimuundo kwa taasisi hizo. Mfano wa wazi ni TANROADS.
TANROADS (Tanzania National Roads Agency) ilianzishwa rasmi Julai 1, 2000, chini ya Sheria ya Barabara Na. 13 ya mwaka 2007, kwa lengo la kuimarisha usimamizi wa barabara nchini Tanzania.
Dhima ya TANROADS:
1. Kusimamia na kuendeleza mtandao wa barabara kuu na barabara za mkoa zenye umuhimu wa kiuchumi na kimkakati nchini.
2. Kuhakikisha barabara ziko katika hali nzuri kwa matengenezo, uboreshaji, na upanuzi wa mtandao wa barabara.
3. Kuimarisha usafirishaji salama, wa haraka, na wa gharama nafuu, kuchangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya Tanzania.
TANROADS inasimamia zaidi ya kilomita 36,258 za barabara kuu na za mkoa, pamoja na madaraja makubwa. Pia inafanya kazi kwa kushirikiana na serikali kuu, washirika wa maendeleo, na wadau wengine katika sekta ya miundombinu.
Utendaji wa TANROADS:
Tangu kuanzishwa kwake hadi miaka ya 2020, TANROADS ilikuwa taasisi ya mfano katika kutimiza malengo yake, hasa kutokana na uongozi bora wa watendaji wakuu waliokuwa na nguvu na uhuru wa kufanya maamuzi. Hali hii ilichangiwa na kutokuwepo kwa muingiliano wa kisiasa kutoka wizara husika.
Changamoto za Sasa:
Katika miaka ya hivi karibuni, hali imebadilika kwa sababu ya:
1. Kuongezeka kwa muingiliano wa kisiasa, ambapo viongozi wa wizara huingilia mipango ya ndani ya TANROADS.
2. Kupunguzwa kwa uhuru wa maamuzi, hadi kufikia hatua ya watendaji wakuu kushinikizwa au kufokewa hadharani.
3. Kupungua kwa utendaji bora, hali ambayo imeathiriwa zaidi na kuingiliwa na siasa badala ya uhaba wa fedha pekee.
Changamoto za TECU:
TANROADS kupitia kitengo chake cha usimamizi wa miradi (TECU) imefanikiwa kwa kiwango kikubwa kusimamia miradi kwa ubora mkubwa. Hata hivyo, hali hii imeathiri sekta ya makampuni huru ya ushauri (Independent Consultant Companies), ambayo yanategemea serikali kwa ajira na kuendesha shughuli zao. Ushindani wa haki haupo, hali inayoweza kuathiri maendeleo ya makampuni ya ndani na kuondoa ajira.
Mapendekezo:
1. TECU itenganishwe na TANROADS ili iwe taasisi huru inayoweza kushindana na makampuni mengine kwa uwazi.
2. TANROADS ibadilishwe kutoka kuwa wakala na kuwa mamlaka kamili, ili ipate uhuru zaidi wa kufanya maamuzi bila kuingiliwa kisiasa.
Hali hii itaboresha utendaji wa taasisi, kuimarisha usimamizi wa barabara, na kufanikisha maendeleo endelevu ya miundombinu nchini.
Usipoelewa fani na industry ya Ujenzi, utendelea kulaumu tu.Hii nchi ina watu wajinga sn una TANROAD unaanzisha TARURA hapo hapo una TEMESA, ni akili au matope?
Taasisi nyingi za serikali zinapitia vipindi vigumu, ikiwa ni pamoja na changamoto mbili kuu: uhaba wa fedha katika kutekeleza majukumu yake na kuacha misingi ya kimuundo kwa taasisi hizo. Mfano wa wazi ni TANROADS.
TANROADS (Tanzania National Roads Agency) ilianzishwa rasmi Julai 1, 2000, chini ya Sheria ya Barabara Na. 13 ya mwaka 2007, kwa lengo la kuimarisha usimamizi wa barabara nchini Tanzania.
Dhima ya TANROADS:
1. Kusimamia na kuendeleza mtandao wa barabara kuu na barabara za mkoa zenye umuhimu wa kiuchumi na kimkakati nchini.
2. Kuhakikisha barabara ziko katika hali nzuri kwa matengenezo, uboreshaji, na upanuzi wa mtandao wa barabara.
3. Kuimarisha usafirishaji salama, wa haraka, na wa gharama nafuu, kuchangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya Tanzania.
TANROADS inasimamia zaidi ya kilomita 36,258 za barabara kuu na za mkoa, pamoja na madaraja makubwa. Pia inafanya kazi kwa kushirikiana na serikali kuu, washirika wa maendeleo, na wadau wengine katika sekta ya miundombinu.
Utendaji wa TANROADS:
Tangu kuanzishwa kwake hadi miaka ya 2020, TANROADS ilikuwa taasisi ya mfano katika kutimiza malengo yake, hasa kutokana na uongozi bora wa watendaji wakuu waliokuwa na nguvu na uhuru wa kufanya maamuzi. Hali hii ilichangiwa na kutokuwepo kwa muingiliano wa kisiasa kutoka wizara husika.
Changamoto za Sasa:
Katika miaka ya hivi karibuni, hali imebadilika kwa sababu ya:
1. Kuongezeka kwa muingiliano wa kisiasa, ambapo viongozi wa wizara huingilia mipango ya ndani ya TANROADS.
2. Kupunguzwa kwa uhuru wa maamuzi, hadi kufikia hatua ya watendaji wakuu kushinikizwa au kufokewa hadharani.
3. Kupungua kwa utendaji bora, hali ambayo imeathiriwa zaidi na kuingiliwa na siasa badala ya uhaba wa fedha pekee.
Changamoto za TECU:
TANROADS kupitia kitengo chake cha usimamizi wa miradi (TECU) imefanikiwa kwa kiwango kikubwa kusimamia miradi kwa ubora mkubwa. Hata hivyo, hali hii imeathiri sekta ya makampuni huru ya ushauri (Independent Consultant Companies), ambayo yanategemea serikali kwa ajira na kuendesha shughuli zao. Ushindani wa haki haupo, hali inayoweza kuathiri maendeleo ya makampuni ya ndani na kuondoa ajira.
Mapendekezo:
1. TECU itenganishwe na TANROADS ili iwe taasisi huru inayoweza kushindana na makampuni mengine kwa uwazi.
2. TANROADS ibadilishwe kutoka kuwa wakala na kuwa mamlaka kamili, ili ipate uhuru zaidi wa kufanya maamuzi bila kuingiliwa kisiasa.
Hali hii itaboresha utendaji wa taasisi, kuimarisha usimamizi wa barabara, na kufanikisha maendeleo endelevu ya miundombinu nchini.
Usipoelewa fani na industry ya Ujenzi, utendelea kulaumu tu.
Uhaba wa fedha huku wenye mamlaka wananunua Vieite huko. Hii nchi ili tutoboe ni hadi madaraka yashikwe na vibwengoTaasisi nyingi za serikali zinapitia vipindi vigumu, ikiwa ni pamoja na changamoto mbili kuu: uhaba wa fedha katika kutekeleza majukumu yake na kuacha misingi ya kimuundo kwa taasisi hizo. Mfano wa wazi ni TANROADS.
TANROADS (Tanzania National Roads Agency) ilianzishwa rasmi Julai 1, 2000, chini ya Sheria ya Barabara Na. 13 ya mwaka 2007, kwa lengo la kuimarisha usimamizi wa barabara nchini Tanzania.
Dhima ya TANROADS:
1. Kusimamia na kuendeleza mtandao wa barabara kuu na barabara za mkoa zenye umuhimu wa kiuchumi na kimkakati nchini.
2. Kuhakikisha barabara ziko katika hali nzuri kwa matengenezo, uboreshaji, na upanuzi wa mtandao wa barabara.
3. Kuimarisha usafirishaji salama, wa haraka, na wa gharama nafuu, kuchangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya Tanzania.
TANROADS inasimamia zaidi ya kilomita 36,258 za barabara kuu na za mkoa, pamoja na madaraja makubwa. Pia inafanya kazi kwa kushirikiana na serikali kuu, washirika wa maendeleo, na wadau wengine katika sekta ya miundombinu.
Utendaji wa TANROADS:
Tangu kuanzishwa kwake hadi miaka ya 2020, TANROADS ilikuwa taasisi ya mfano katika kutimiza malengo yake, hasa kutokana na uongozi bora wa watendaji wakuu waliokuwa na nguvu na uhuru wa kufanya maamuzi. Hali hii ilichangiwa na kutokuwepo kwa muingiliano wa kisiasa kutoka wizara husika.
Changamoto za Sasa:
Katika miaka ya hivi karibuni, hali imebadilika kwa sababu ya:
1. Kuongezeka kwa muingiliano wa kisiasa, ambapo viongozi wa wizara huingilia mipango ya ndani ya TANROADS.
2. Kupunguzwa kwa uhuru wa maamuzi, hadi kufikia hatua ya watendaji wakuu kushinikizwa au kufokewa hadharani.
3. Kupungua kwa utendaji bora, hali ambayo imeathiriwa zaidi na kuingiliwa na siasa badala ya uhaba wa fedha pekee.
Changamoto za TECU:
TANROADS kupitia kitengo chake cha usimamizi wa miradi (TECU) imefanikiwa kwa kiwango kikubwa kusimamia miradi kwa ubora mkubwa. Hata hivyo, hali hii imeathiri sekta ya makampuni huru ya ushauri (Independent Consultant Companies), ambayo yanategemea serikali kwa ajira na kuendesha shughuli zao. Ushindani wa haki haupo, hali inayoweza kuathiri maendeleo ya makampuni ya ndani na kuondoa ajira.
Mapendekezo:
1. TECU itenganishwe na TANROADS ili iwe taasisi huru inayoweza kushindana na makampuni mengine kwa uwazi.
2. TANROADS ibadilishwe kutoka kuwa wakala na kuwa mamlaka kamili, ili ipate uhuru zaidi wa kufanya maamuzi bila kuingiliwa kisiasa.
Hali hii itaboresha utendaji wa taasisi, kuimarisha usimamizi wa barabara, na kufanikisha maendeleo endelevu ya miundombinu nchini.
Mdau Ameongea Point sana, Autonomous kwenye hizi Agencies ni Muhimu sana sana na Wizara Ibaki Kusimamia issue za Policies tu na Kutoa Roadmap the rest Taasisi izi ziachwe zi operate independently itasaidia sana Kuongeza efficiencyWewe ni mtumishi wa TANROADS sio bure maana una uchungu nayo s
Zenji miundo mbinu wanajitahidi kazi zinaenda na kuonekanaKipaumbele ni Zanzibar kwanza
Siasa inaua TANROADS. Wanasiasa wanakipaumbele chao kumega 10% kwenye miradi.Kuna taasisi zina kazi zinazofanana. Ndio maana zinakuwa mzigo usiobebeka wa gharama.
Na kwanini kazi nyingi wanajigawia wenyewe kwa wenyewe?