Afrika nzima wanapita Ethiopia kwenda huko, wakipiga stop Ethiopia then ina maana hawataki mwafrika yeyote kwa sasa.sasa hivi huwezi kuja China,ukiachana na corona ,sasa hivi wachina wanafunga maduka na viwanda kwa ajili ya sikukuu yao Chinese new year itakayo anza 12 February.Hadi maduka na viwanda kuanza kufanya kazi ni around march.Lakini pia corona bado inasumbua na wiki ilopita wameweka majina ya nchi 12 ambazo hawawezi pata visa ya China kwa sasa hivi.Kwa Afrika ni Ethiopia pekee,nchi zingine 11 ni za ulaya na Asia.Bado haieleweki hawa jamaa watafungua mipaka lini.Anyway mimi nipo Guangzhou,Yiwu nilikuwa 2 weeks ago soko la Futian.
Jiandae kupimwa corona kwenye makalio hiyo ndio changamoto kubwa zaidi hasa kama marinda bado yapo [emoji28]mengine wadau watamalizia.Habari, samahani mimi ni mfanyabiashara mdogo wa accesories kofia miwani na pochi nataka kwnda China ninunue mizigo nije kuunza kwa jumla hasa yiwu lakini sina mwenyeji naomba ushauri? Na je kuna ma ageng wakuja kukupokea airport na kukuzungusha af yiwu then unawalipa?
Au kama kuna yeyote anaweza kunisaidia nifanyaje tafadhali sijawahi fika China na sina wa kwenda nae, nmetafuta sana sijapata.
Kumbe Upo World widesasa hivi huwezi kuja China,ukiachana na corona ,sasa hivi wachina wanafunga maduka na viwanda kwa ajili ya sikukuu yao Chinese new year itakayo anza 12 February.Hadi maduka na viwanda kuanza kufanya kazi ni around march.Lakini pia corona bado inasumbua na wiki ilopita wameweka majina ya nchi 12 ambazo hawawezi pata visa ya China kwa sasa hivi.Kwa Afrika ni Ethiopia pekee,nchi zingine 11 ni za ulaya na Asia.Bado haieleweki hawa jamaa watafungua mipaka lini.Anyway mimi nipo Guangzhou,Yiwu nilikuwa 2 weeks ago soko la Futian.
Wasiliana na kampuni ya kusafirisha mizigo kutoka China ya silent ocean. Wao huwa wanatoa hizo huduma unazotaka.Habari, samahani mimi ni mfanyabiashara mdogo wa accesories kofia miwani na pochi nataka kwnda China ninunue mizigo nije kuunza kwa jumla hasa yiwu lakini sina mwenyeji naomba ushauri? Na je kuna ma ageng wakuja kukupokea airport na kukuzungusha af yiwu then unawalipa?
Au kama kuna yeyote anaweza kunisaidia nifanyaje tafadhali sijawahi fika China na sina wa kwenda nae, nmetafuta sana sijapata.
Mkuu unataka kwenda kutalii au unataka kwenda kununua mzigo?Unajua ni mzigo gani unataka kwenda kuchukua? Unajua mzigo uko mji gani?Je umeshajua utafikia hoteli gani?Utakaa siku ngapi?Habari, samahani mimi ni mfanyabiashara mdogo wa accesories kofia miwani na pochi nataka kwnda China ninunue mizigo nije kuunza kwa jumla hasa yiwu lakini sina mwenyeji naomba ushauri? Na je kuna ma ageng wakuja kukupokea airport na kukuzungusha af yiwu then unawalipa?
Au kama kuna yeyote anaweza kunisaidia nifanyaje tafadhali sijawahi fika China na sina wa kwenda nae, nmetafuta sana sijapata.
sasa hivi huwezi kuja China,ukiachana na corona ,sasa hivi wachina wanafunga maduka na viwanda kwa ajili ya sikukuu yao Chinese new year itakayo anza 12 February.Hadi maduka na viwanda kuanza kufanya kazi ni around march.Lakini pia corona bado inasumbua na wiki ilopita wameweka majina ya nchi 12 ambazo hawawezi pata visa ya China kwa sasa hivi.Kwa Afrika ni Ethiopia pekee,nchi zingine 11 ni za ulaya na Asia.Bado haieleweki hawa jamaa watafungua mipaka lini.Anyway mimi nipo Guangzhou,Yiwu nilikuwa 2 weeks ago soko la Futian.
Muhimu tu uwe makini. Siku ukienda huko, usijaribu kabisa kumsaidia mtu yeyote yule mzigo wake! Uwe mkubwa au mdogo uwapo uwanja wa ndege wa Bongo au wa huko China
Akijitokeza mdada mzuri au jamaa fulani lenye six packs, mwambie Mzee wangu Tate Mkuu amenizuia kumsaidia mtu yeyote yule mzigo wake. China ni Wanyongaji wakubwa wa watu wanao ingiza madawa ya kulevya Nchini mwao.
Na usisahau aliyekamatwa na ngozi, ndiye mla nyama!
Mkuu si ununulie Tu Alibaba unaangalia trusted supplier mwenye review nying na affordable price , alaf kusafrisha unatumia silent ocean , ya nini kujichosha kwenda huko , nauli ungeongezea kwenye mzigo
Mkuu, hiko kipimo cha Corona ni kweli huko kinafanywa hivyo?!lini.Anyway mimi nipo Guangzhou,Yiwu nilikuwa 2 weeks ago soko la Futian.
Kwenda sio issue boss, ila issue ipo kwenye kupima Covid 19 kwa kipimo chao kipya walicho kigundua huko huko China juzi tu.
SWALI LA KUJIULIZA - Je, upo tayari kufanya hicho kipimo boss?View attachment 1690320
Kama upo tayari, basi nakutakia kila la heri boss. Ila ukirudi usisahau kuanzisha uzi wa kutupa mrejesho juu ya hicho kipimo chao kipya.
*Usisahau kuni tag katika uzi wako boss.
Naomba nikuulize Kama hautajali.
Nikitaka kuna kununua simu China nije kuuza Tz je million 5 itatosha kuanzia?.
nijibu kwa experience yako sio Google.
jisomee mwenyewe kwa hii link 😛 😛Mkuu, hiko kipimo cha Corona ni kweli huko kinafanywa hivyo?!!