Kufika China kwa mara ya kwanza kama mfanyabiashara

Kufika China kwa mara ya kwanza kama mfanyabiashara

Toka korona imeaanza mwaka jana...wafanyabiashara karibu wote hakuna anaekwenda China....kinachofanyika kwa sasa ni kuagiza mizigo bila kusafiri....na kwa hali ilivyo upo uwezokano mwaka huu ukaisha pia...wafanyabiashara wasiweze kusafiri....hata huduma ya viza kwa biashara hakuna....kama una mtu china muombe akusaidie kununua na kutumia....kwa Alibaba sikushauri Sana....bei zao kidogo ziko juu.
 
Toka korona imeaanza mwaka jana...wafanyabiashara karibu wote hakuna anaekwenda China....kinachofanyika kwa sasa ni kuagiza mizigo bila kusafiri....na kwa hali ilivyo upo uwezokano mwaka huu ukaisha pia...wafanyabiashara wasiweze kusafiri....hata huduma ya viza kwa biashara hakuna....kama una mtu china muombe akusaidie kununua na kutumia....kwa Alibaba sikushauri Sana....bei zao kidogo ziko juu.
Unashaur njia ipi mkuu , mi naona Alibaba nafuu boss? Kama huna mtu aliyeko kule inakuwaje ?
 
Unashaur njia ipi mkuu , mi naona Alibaba nafuu boss? Kama huna mtu aliyeko kule inakuwaje ?
Kama una mtu yeyeto alieko China....wasiliana nae akusaidie kununua mzigo...au kukutafutia wauzaji wenye Bei nzuri...Kisha wakutumie....angalia bei za vitu unavyotaka kuagiza Alibaba....alafu pita Kariakoo ulinganishe...changamoto kubwa kwenye biashara ni kuuza....sio kununua.
 
sasa hivi huwezi kuja China,ukiachana na corona ,sasa hivi wachina wanafunga maduka na viwanda kwa ajili ya sikukuu yao Chinese new year itakayo anza 12 February.Hadi maduka na viwanda kuanza kufanya kazi ni around march.Lakini pia corona bado inasumbua na wiki ilopita wameweka majina ya nchi 12 ambazo hawawezi pata visa ya China kwa sasa hivi.Kwa Afrika ni Ethiopia pekee,nchi zingine 11 ni za ulaya na Asia.Bado haieleweki hawa jamaa watafungua mipaka lini.Anyway mimi nipo Guangzhou,Yiwu nilikuwa 2 weeks ago soko la Futian.

Hongera
 
Muhimu hakikisha una hela ya kutosha tu mkuu. Maana mzigo ili safari ikulipe lazima ununue wa kutosha.

Pia huko China nikuambie ukweli tu, wafanya biashara wa kkoo huwa kuna hulka ya kukimbiana. Yaan mtu hataki chimbo lake la vitu vizuri lijulikane ili yeye ndo amiliki hizo mali. Kuwa makini sana juu ya hilo. Pia unaweza ukauziwa famba aisee.

Silent ocean si wapo? Hebu jaribu wao.

All the bests mkuu ijapokua wamefunga kwa sasa huko
 
Habari, samahani mimi ni mfanyabiashara mdogo wa accesories kofia miwani na pochi nataka kwnda China ninunue mizigo nije kuuza kwa jumla hasa yiwu lakini sina mwenyeji naomba ushauri? Na je kuna ma agent wakuja kukupokea airport na kukuzungusha af yiwu then unawalipa?

Au kama kuna yeyote anaweza kunisaidia nifanyaje tafadhali sijawahi fika China na sina wa kwenda nae, nmetafuta sana sijapata.
Mrejesho mkuu!
 
Back
Top Bottom