Kufikia 2025 hata Tundu Lissu ataanza kuhubiri mema ya Hayati Magufuli, Zitto Kabwe amefungua

Kufikia 2025 hata Tundu Lissu ataanza kuhubiri mema ya Hayati Magufuli, Zitto Kabwe amefungua

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hakuna mwanasiasa ataacha kumsifia Shujaa Magufuli wakati wa kuomba kura 2025.

Siyo wa CCM wala Upinzani kura zimebebwa na Nyota ya Magufuli.

Wale wajanja wameanza mapema na wataongezeka zaidi na zaidi.

Yesu akawaambia wale wanafunzi kamwambieni Johnthebaptist kuwa Viwete wanatembea na Vipofu Wanaona Wafu wanafufuliwa na Maskini wanahubiriwa habari njema Luka 7:22

Mbarikiwe sana!

Pia soma
- Zitto amsifia Hayati Magufuli kuleta nidhamu ya kazi kwa kipindi chake
 
Hakuna mwanasiasa ataacha kumsifia Shujaa Magufuli wakati wa kuomba kura 2025.

Siyo wa CCM wala Upinzani kura zimebebwa na Nyota ya Magufuli.

Wale wajanja wameanza mapema na wataongezeka zaidi na zaidi.

Yesu akawaambia wale wanafunzi kamwambieni Johnthebaptist kuwa Viwete wanatembea na Vipofu Wanaona Wafu wanafufuliwa na Maskini wanahubiriwa habari njema Luka 7:22

Mbarikiwe sana!

Pia soma
- Zitto amsifia Hayati Magufuli kuleta nidhamu ya kazi kwa kipindi chake
Uko sahihi,maana laana ya kumchafua inaanza kuwaumbua!
 
Ni kufuru kushirikisha kauli ya Yesu kwenye uzi wako wa kumpamba jiwe!
Kiongozi Tunae Mtaka Awe Mfano ni Yule [ATAKAE IHESHIMU KATIBA YA NCHI NA KUIISHI!]
Mengine yoote atakayofanya hata ya we mazuri vipi kama hakufuata KATIBA NI UBATILI!
 
Hakuna mwanasiasa ataacha kumsifia Shujaa Magufuli wakati wa kuomba kura 2025.

Siyo wa CCM wala Upinzani kura zimebebwa na Nyota ya Magufuli.

Wale wajanja wameanza mapema na wataongezeka zaidi na zaidi.

Yesu akawaambia wale wanafunzi kamwambieni Johnthebaptist kuwa Viwete wanatembea na Vipofu Wanaona Wafu wanafufuliwa na Maskini wanahubiriwa habari njema Luka 7:22

Mbarikiwe sana!

Pia soma
- Zitto amsifia Hayati Magufuli kuleta nidhamu ya kazi kwa kipindi chake
Mataga oyeeee! Furaha yenu ni kuona siku moja watanzania wote wanakiri kuwa Magu ni mungu kama alivyokuwa mungu kwenu. Sisi watanzania tushasema hapana. Tusilazimishane.
Hayo mambo yenu ya legacy bakini nayo nyie sukuma gang. Siyo agenda ya watanzania wote.
 
Mataga oyeeee! Furaha yenu ni kuona siku moja watanzania wote wanakiri kuwa Magu ni mungu kama alivyokuwa mungu kwenu. Sisi watanzania tushasema hapana. Tusilazimishane.
Hayo mambo yenu ya legacy bakini nayo nyie sukuma gang. Siyo agenda ya watanzania wote.
Mkuu,


Haya mawazo yako yanaingiliana vipi na mawazo ya unaowahisi hivyo!

Unatia neno lako kwenye mawazo yasiyo na neno hilo!

Magufuli ni Magufuli tu, sifa unazompa ni zako na mungu wako shetani

Tunamzungumza Magufuli kwa ubinadamu wake katika hali yake hiyo ya kibinadamu alijitahidi mno kufanya mengi makubwa aliyofanya, wewe unajua,

Lakini pia kama ulivyo wewe binadamu huna ukamilifu wote, kuna ambayo hakufanya vema kama kiongozi
 
Mataga oyeeee! Furaha yenu ni kuona siku moja watanzania wote wanakiri kuwa Magu ni mungu kama alivyokuwa mungu kwenu. Sisi watanzania tushasema hapana. Tusilazimishane.
Hayo mambo yenu ya legacy bakini nayo nyie sukuma gang. Siyo agenda ya watanzania wote.
Kama viongozi wako Wakuu (Lissu na zito) wameukubali muziki, wewe KENGE JIKE ni nani?
 
Kaa nafasi ya Lisu A to Z ungefanya hivyo??
Sio tu mkuki kwa nguruwe unafūrahi....
Aliyemtwanga Lissu Risasi ni yule aliyemuua CHACHA WANGWE.

Kama hutaki kazikwe na Mama Zito
 
Hakuna mwanasiasa ataacha kumsifia Shujaa Magufuli wakati wa kuomba kura 2025.

Siyo wa CCM wala Upinzani kura zimebebwa na Nyota ya Magufuli.

Wale wajanja wameanza mapema na wataongezeka zaidi na zaidi.

Yesu akawaambia wale wanafunzi kamwambieni Johnthebaptist kuwa Viwete wanatembea na Vipofu Wanaona Wafu wanafufuliwa na Maskini wanahubiriwa habari njema Luka 7:22

Mbarikiwe sana!

Pia soma
- Zitto amsifia Hayati Magufuli kuleta nidhamu ya kazi kwa kipindi chake
Wanaoona Magufuli alikuwa mwema ni kwasababu ya kutokuelewa mambo.
 
Hakuna mwanasiasa ataacha kumsifia Shujaa Magufuli wakati wa kuomba kura 2025.

Siyo wa CCM wala Upinzani kura zimebebwa na Nyota ya Magufuli.

Wale wajanja wameanza mapema na wataongezeka zaidi na zaidi.

Yesu akawaambia wale wanafunzi kamwambieni Johnthebaptist kuwa Viwete wanatembea na Vipofu Wanaona Wafu wanafufuliwa na Maskini wanahubiriwa habari njema Luka 7:22

Mbarikiwe sana!

Pia soma
- Zitto amsifia Hayati Magufuli kuleta nidhamu ya kazi kwa kipindi chake
Shujaa kwako
 
Labda kama akipata ushahidi usio na chembe ya mashaka kuwa waliojaribu kumuua hawakutumwa na huyu ndugu.
 
Back
Top Bottom