Kufikia 2025 hata Tundu Lissu ataanza kuhubiri mema ya Hayati Magufuli, Zitto Kabwe amefungua

Kufikia 2025 hata Tundu Lissu ataanza kuhubiri mema ya Hayati Magufuli, Zitto Kabwe amefungua

Mataga oyeeee! Furaha yenu ni kuona siku moja watanzania wote wanakiri kuwa Magu ni mungu kama alivyokuwa mungu kwenu. Sisi watanzania tushasema hapana. Tusilazimishane.
Hayo mambo yenu ya legacy bakini nayo nyie sukuma gang. Siyo agenda ya watanzania wote.
Walamba asali utawajua tu
 
Back
Top Bottom