Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nakataa.Mimi nitakuwepo.Weye ndiye utakufa.Pumzika kwa amani ndugu yangu.Mola akurehemu.Zingatia ukweli kwamba hutakuwepo, kipindi hicho CCM itakuwa imesahaulika, kigamboni imemezwa na bahari, hakuna muungano tena wa upande wa pili na sisi, kila mwanamke atakuwa mwanaharakati akitaka haki sawa kwa asilimia 70, sasa givi wanataka 50/50.
Nakataa.Mimi nitakuwepo.Weye ndiye utakufa.Pumzika kwa amani ndugu yangu.Mola akurehemu.
Wekeza kwenye vitu vya maana utakumbukwa, mother alikuwa mgao wake wa Banda la Babu walilouza kkoo akatupatia na sisi in migao tukafanya mtaji kwanini Babu tusimkumbuke? Hadi mwanangu nimempa jina la Babu yake, maana bila Babu sijui ingekuwajeMiaka 70 kuanzia leo yaani 2110. Sisi Sote tutakuwa makaburinipamoja na jamaa zetu na marafiki zetu . Watu tusiowajua wataishi katika majumba na maeneo yetu.
MALIzetu zooote zitamilikiwa na watu tusiowajua. Watu hao wala hawatotukumbuka. Hivi ni wangapi kati yetu wanaowakumbuka mababu wa mababu zao?.
Majumba yetu ya Goba na Masaki yatakuwa yanamilikiwa na watu wengine kabisa; Drea house yako uliyozika ndugu yako ili mtu asiuze hilo kaburi litahamishiwa Kimbiji na nyumba itavunjwa kufanuywa night club.
Tutabaki kuwa historiakwa vizazi vyetu na wakati huo huo watu watatusahau hata majina yetu na maumbile yetu.
Wakati huo tutakuja kugundua jinsi tulivyokuwa wajingana jinsi tulivyojidanganya kutaka kupata kila kitu kwa njia yeyote .
Tutaomba angalau tupewe uhaikwa muda mfupi ili tutubie ikiwa ni pamoja na kutoa sadaka lakini itakuwa haiwezekani.
Zingatia kuwa, Leo tuna nafasi kutenda wema kwa ajili ya faida yetu wenyewe na wengine. Kitu pekee kitakachobaki milele ni matendo yetu mema katika Dunia hii na maisha baada ya kifo. Muda bado tunao. Fanya matendo mema kabla hujachelewa sana
*Mungu atusaidie katika hili.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu atuwezeshe kutenda wema na kupata mwisho mwema.
--
.."au tukiwa wenye afya ni themanini"...Sasa;-Zaburi 90:10 BHN - Bible.com
https://www.bible.com › BHN
Miaka ya kuishi ni sabini, au tukiwa wenye afya, themanini; lakini yote ni shida na taabu! Siku zapita mbio, nasi twatoweka mara.
Sasa wewe unapingana na Biblia?
umenena vyema sana. Wacha inyeshe tujue palipotobokaaaah me mamb nitazikwa wapi sio big deal kwangu ... nakushauri kijana tafuta pesa duniani tunapita tu
Mtoto wa mwaka mmoja yuko JF?Acha fiksi.Na mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja unamuombea awe amekufa?
bora usaidie kumuuliza huyu maana hajielewi, huku JF kutakuwa na members wapya, akaunti zetu zitakuwa hazina watumiajiMtoto wa mwaka mmoja yuko JF?
Tupo.Kwani hauoni tunavyochangia.Mtoto wa mwaka mmoja yuko JF?
Kuna mtoto wa mwaka mmoja jf?Acha fiksi.Na mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja unamuombea awe amekufa?
Mkuu kabla hujafa hebu ongeza msamiati kwa maktaba yako, Mirathi (sio miradhi) na warithi (sio waridhi)nikawaza kesi za miradhi namna waridhi wanavyoziponda.
Hauamini?Shauri yako.Kuna mtoto wa mwaka mmoja jf?