Kufuatia kifo cha Rais Magufuli, CHADEMA yaahirisha Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliopangwa kufanyika Makao Makuu ya chama

Kufuatia kifo cha Rais Magufuli, CHADEMA yaahirisha Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliopangwa kufanyika Makao Makuu ya chama

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ndugu Mwandishi wa Habari tafadhali zingatia tangazo hili kutoka CHADEMA .

Instagram media - CMiZxsvHJVp ( 692 X 640 ).jpg
CHADEMA
 
Alimpigia Lowassa push-ups, akajipa utukufu wa Mungu, huku wateule wake wakimuita "mh mungu". Wengine wakisema eti, "lazima CCM ishinde uchaguzi, Mungu apende ama asipende". Mungu Baba yetu wa mbinguni ni Mungu wa haki. Mvua yake hunyeshea wenye haki na wenye dhambi...
Unahangaika, hadi sasa hujalala, kwani na wewe umefiwa, si huyo aliyekufa mlisema hammutambui?
 
Back
Top Bottom