Kufuatia kifo cha Rais Magufuli, CHADEMA yaahirisha Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliopangwa kufanyika Makao Makuu ya chama

Alimpigia Lowassa push-ups, akajipa utukufu wa Mungu, huku wateule wake wakimuita "mh mungu". Wengine wakisema eti, "lazima CCM ishinde uchaguzi, Mungu apende ama asipende". Mungu Baba yetu wa mbinguni ni Mungu wa haki. Mvua yake hunyeshea wenye haki na wenye dhambi...
Unahangaika, hadi sasa hujalala, kwani na wewe umefiwa, si huyo aliyekufa mlisema hammutambui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…