jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Wakitoroka watakamatwa na wataanza moja kwa kifungo chao,ni swala la kuamua tu!!Halafu watoroke!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakitoroka watakamatwa na wataanza moja kwa kifungo chao,ni swala la kuamua tu!!Halafu watoroke!!
Kweli tulikua tunaliwa sana! Nilikua na Babu yangu mmoja alikua Mkuu wa gereza flani hapa Nchini,mbona Msosi kwake ulikua hakauki hadi tunafungashiwa kurudi nao makwetu!!Wafungwa hawakuanza kulimishwa leo au jana. Ni kitambo tu. Sema mavuno askar magereza walikuwa wakigawana. Hii sasa wanalia awamu hii.
Hilo mbona linajulikana! Special case zitashuhulikiwa ki special!!Siyo kila mfungwa anatakiwa kuzurula nje. Hamjui tabia za wafungwa nyie
Mkaruka yeye anajua kua Magereza wanalima tu,hajui kuna mpaka karakana za service za vyombo vya Moto!!Mkaruka usiruke ruke kwa jazba. Toa maelezo yakutosha Ni wafungwa wepi, sababu, idadi yao na wako wapi.
Hata wale wasio ruhusiwa kutoka nje ya gereza wanaweza kuzalisha Mali humo humo gerezani.
Sio lzm kila mfungwa akalime au kupasua kokoto
kabisa mkuu.... unaokoaje pesa uliyoipangia bajeti?Hiyo ni lugha tu ya kisiasa kuwahadaa wadanganyika!