Kufuatia maoni ya Nape kuhusu deni la Taifa awamu ya tano, Wafuatao wachukuliwe hatua kali

Kufuatia maoni ya Nape kuhusu deni la Taifa awamu ya tano, Wafuatao wachukuliwe hatua kali

Gwajima

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2018
Posts
253
Reaction score
406
Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, nimeshuhudia marais wa awamu zote 6, katika wote nilimkubali sana JK Nyerere na JPM.

Nikirejea kwenye mada, kufuatia alichokisema Mh Nappe, endapo itathibitika kuwa fedha zilizokopwa na awamu ya 5 zilitumika vibaya, wafuatao wachukuliwe hatua

1. Aliyekuwa Makamu wa Rais wa awamu ya 5 kwakuwa hakumshauri vyema mwenza wake, ikumbukwe kuwa na yeye pia alikuwepo katika karatasi ya kura ya uchaguzi mkuu na mbele ya sura yake ndiyo wapiga kura waliweka alama ya vema.

2. Waziri Mkuu wa awamu ya 5, huyu alikuwa mtendaji mkuu wa Serikali, kwanini alifumbia macho uovu huo?

3. Aliyekuwa Waziri mwenye dhamana ya fedha, huyu nayeye asipone katika sakata hili maana yeye ndiyo mwangalizi wa kila senti ya serikali inatoingia na Kutoka.

Mwisho: kama Hawa hawatachukuliwa hatua basi nachukua fursa hii kumpongeza JPM kwa aliyoyafanya kila kona ya nchi hii.
 
Kabla ya mchango wangu, nina swali, je huyu ni Gwaji yule wa kutoamini chanjo au, wa I'd huru, baada ya hapo maoni na mtazamo wangu ni kuwa hata wahenga waliwahi sema kuwa mganga hajigangi, na wizi hajiibii, ila pia mgaagaa na upwa Hali wali mkavu, pia watani wangu wanase mwana kulitafuta mwana kulipata🏃.
 
Ukimjua Nape hutahangaika naye,huyu ni mzee wa kutumwa.
Alitumwa kumchafua Lowassa na Msogagang.
Mojawapo ya Hawa kamtuma Hangaya au mzee wa Msoga,ili kumchafua Jiwe.

Jiwe pamoja na kuwa hayupo,hicho ni kina kirefu,heri apambane na waliohai saizi yake.
 
Paul makonda atoa tamko wamachinga ruksq mchezo unaishia hapo bila taasisi imqrq hata mpige kelele adi kesho hampati kitu nan amshike PM HATA KUMPA ONYO TU THUBUTU
 
Ukimjua Nape hutahangaika naye,huyu ni mzee wa kutumwa.
Alitumwa kumchafua Lowassa na Msogagang.
Mojawapo ya Hawa kamtuma Hangaya au mzee wa Msoga,ili kumchafua Jiwe.

Jiwe pamoja na kuwa hayupo,hicho ni kina kirefu,heri apambane na waliohai saizi yake.
Mtu ukishakufa umekufa tu hakuna cha kina kirefu wala kifupi maana hautafufuka
 
Paul makonda atoa tamko wamachinga ruksq mchezo unaishia hapo bila taasisi imqrq hata mpige kelele adi kesho hampati kitu nan amshike PM HATA KUMPA ONYO TU THUBUTU
Kawaida climino haifutiki
 
Kwanza nipende kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, nimeshuhudia marais wa awamu zote 6, katika wote nilimkubali sana JK Nyerere na JPM.

Nikirejea kwenye mada, kufuatia alichokisema Mh Nappe, endapo itathibitika kuwa fedha zilizokopwa na awamu ya 5 zilitumika vibaya, wafuatao wachukuliwe hatua

1. Aliyekuwa Makamu wa Rais wa awamu ya 5 kwakuwa hakumshauri vyema mwenza wake, ikumbukwe kuwa na yeye pia alikuwepo katika karatasi ya kura ya uchaguzi mkuu na mbele ya sura yake ndiyo wapiga kura waliweka alama ya vema.

2. Waziri Mkuu wa awamu ya 5, huyu alikuwa mtendaji mkuu wa Serikali, kwanini alifumbia macho uovu huo?

3. Aliyekuwa Waziri mwenye dhamana ya fedha, huyu nayeye asipone katika sakata hili maana yeye ndiyo mwangalizi wa kila senti ya serikali inatoingia na Kutoka.

Mwisho: kama Hawa hawatachukuliwa hatua basi nachukua fursa hii kumpongeza JPM kwa aliyoyafanya kila kona ya nchi hii.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wizara ya fedha , mjomba wake Magufuli naye achunguzwe
 
BABA MWENYE NYUMBA AKIWA MLEVI NA ASIYESIKIA USHAURI, JEE UTAMLAUMU MKEWE NA WANAE. JAPOKUWA MAMA NA WANAWE HAWANYWI POMBE AU UTAWALAUMU MARAFIKI ZAKE WANAOKUNYWA NAE???
 
Back
Top Bottom